Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Haitakuwa hivyo, utaomba verification kwa utaratibu wa kawaida ila kwa sharti ukipewa unatakiwa ulipie hiyo verificationtunasubir kuona maparody nayo hakiwa na verification badge ss unashindwa kujua huyu J Makamba Wenyew au sio
Fafanua watumiaji wanalipaje?Ikiwa watumiaji watalipa $ 8/m kwa mwaka itakuwa;
Mkuu umedondosha pwoint moja ya maana sanaTatizo ni masikini kutokujua huo mchezo, akijua tu atapanda kama uyoga. Angalia vijijini, familia inaishi vijumba vya kimasikini, ila mmoja akijua na kufanya yake, umasikini unakufa. Ila michezo mingi ni kuthubutu.
🤣ngoja waje mamods hapa tuone kama hao walio maplantum sijui kama hawatapgwa ban gagaaaaa
Kwamba haifunguki ,mbona mi kwangu inafunguka ? , jina lipo kwenye screenshotJina mkuu jamaa washaifunga
Pp shukran mkuu acha niitfuteKwamba haifunguki ,mbona mi kwangu inafunguka ? , jina lipo kwenye screenshot View attachment 2405853
wanalipa online kila mwisho wa mwez dollar 8 . japo mpaka now utaratib rasmi wa malipo bado haujawekwa wazi upojeFafanua watumiaji wanalipaje?
Kuna watu hawaelewi hayo mambo wanaona umeandika madudu tu hapo
Yaan ili nitumie Twitter a/c yangu itabidi nilipiewanalipa online kila mwisho wa mwez dollar 8 . japo mpaka now utaratib rasmi wa malipo bado haujawekwa wazi upoje
hapana unaweza kutumia twitter free kabisa ila kama ukiitaj verification badge ndo utalipia.Yaan ili nitumie Twitter a/c yangu itabidi nilipie
Sawa hapo umeeleweka mkuuhapana unaweza kutumia twitter free kabisa ila kama ukiitaj verification badge ndo utalipia.
pamoja sana kiongoziSawa hapo umeeleweka mkuu
'Status' tu
We jamaa fara sana hahaha haKuna watu wanafatilia hizo status? Kwamba dem akiona platinum member ndio anakuja pm na chupi begani?
Kabla ya tozo mpya Twitter ilikua ina mapato ya dola billion 5 kwa mwaka 2021 sawa na Trilioni 11.5 za Kitanzania ndani ya kwaka mmoja.Elon Musk tajiri Mpya wa Twitter amesema watu ambao wako Verified huko Twitter watalipia Tsh 19,000 kwa mwezi na sio Tsh 46,000 tena. Wakishindwa kulipa wataondolewa Verification badge ( Blue tick). Pia amesema mtu yoyote yule atakaye kuwa tayari kulipia kiasi hicho naye atakuwa Verified.
Kwa haraka haraka hii ni mbinu ya Elon kurudisha zile pesa zake ambazo ametumia kununulia Mtandao wa Twitter.
Elon Musk alinunua Twitter kwa $44b.
Ikiwa watumiaji watalipa $ 8/m kwa mwaka itakuwa;
Kwa watumiaji milioni 10 $0.96b
Kwa watumiaji milioni 100 $9.6b
Twitter ina watumiaji 397.5m wanaofanya kazi.
Ikiwa watumiaji milioni 200 pekee watalipa, watazalisha $19.2b kila mwaka
Katika miaka 3 - 4 ijayo itatengeneza zaidi ya $60b kila mwaka.
Sasa kupitia mpango wa Elon musk tunatakiwa kujifunza kuwa kuna pesa nyingi sana imejificha kwenye Technology ( Simu & Mitandao yake).