Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

Alipe na kodi sasa ,yeye na mwenzake bezos ni vinara wa kukwepa kodi na kulialia kama watoto wakati wanabebwa na government privelled contracts bado wanapewa subsidies na mikopo ya bei nafuu toka federal government yet hawataki lipa kodi ,kila siku visingizio , huu mzigo wote anabebeshwa raia wa Marekani kwa kuminywa kodi kubwa .

Huyu pimbi na mwenzake Bezos wanachukiwa sana pale US kutokana na tabia zao mbovu za tax evasion .

Hii ndio gross income inequality sasa ., mwananchi wa kawaida anaminywa kodi mpaka anakuwa homeless halafu pimbi anayefaidi pesa za uma na contracts doesn't pay his/ her fair share ya Kodi .
Ndio maana yeye na kiasi mwenzake bezos
Wanamchukia Biden na progressive democrats wengine Maana wanawabana kulipa kodi stahiki.
wenye nacho uongezwa ... lakini jamaa walipe kodi
 
Alipe na kodi sasa ,yeye na mwenzake bezos ni vinara wa kukwepa kodi na kulialia kama watoto wakati wanabebwa na government privelled contracts bado wanapewa subsidies na mikopo ya bei nafuu toka federal government yet hawataki lipa kodi ,kila siku visingizio , huu mzigo wote anabebeshwa raia wa Marekani kwa kuminywa kodi kubwa .

Huyu pimbi na mwenzake Bezos wanachukiwa sana pale US kutokana na tabia zao mbovu za tax evasion .

Hii ndio gross income inequality sasa ., mwananchi wa kawaida anaminywa kodi mpaka anakuwa homeless halafu pimbi anayefaidi pesa za uma na contracts doesn't pay his/ her fair share ya Kodi .
Ndio maana yeye na kiasi mwenzake bezos
Wanamchukia Biden na progressive democrats wengine Maana wanawabana kulipa kodi stahiki.
Mzigo wa kodi anabebeshwa mlaji wa mwisho; mfanyabiashara anatumika kama sehemu ya kupitishia makusanyo kutoka kwa walaji wa mwisho(kodi), ndio maana matajiri wanazidi kuwa matajiri.
 
wenye nacho uongezwa ... lakini jamaa walipe kodi
Tena kama bezos ndio notorious kabisa kwenye kukwepa kodi nakumbuka ilikuwa 2014 kuna inquiry ilifanywa na serikali ya Uingereza dhidi ya kampuni yake ya Amazon Maana wanaoperate in a shady way na tax heavens Kule Luxembourg huku hawalipi kodi uingereza , wakati ndio wanafanyia biashara na kupigia faida , ni aibu kwa mtu kujiita tajiri namba moja au tajiri namba mbili duniani wakati ni mnyonyaji mkubwa wa kukwepa kodi .

Si wajifunze kwa mwenzao atleast bill gates
 
Tena kama bezos ndio notorious kabisa kwenye kukwepa kodi nakumbuka ilikuwa 2014 kuna inquiry ilifanywa na serikali ya Uingereza dhidi ya kampuni yake ya Amazon Maana wanaoperate in a shady way na tax heavens Kule Luxembourg huku hawalipi kodi uingereza , wakati ndio wanafanyia biashara na kupigia faida , ni aibu kwa mtu kujiita tajiri namba moja au tajiri namba mbili duniani wakati ni mnyonyaji mkubwa wa kukwepa kodi .

Si wajifunze kwa mwenzao atleast bill gates
Dunia ngumu sana hii
 
Mzigo wa kodi anabebeshwa mlaji wa mwisho; mfanyabiashara anatumika kama sehemu ya kupitishia makusanyo kutoka kwa walaji wa mwisho(kodi), ndio maana matajiri wanazidi kuwa matajiri.
Ni hatari jomba , aisee kuna makampuni makubwa duniani wanatabia ovu , yaani wanaoffshore bank accounts kabisa mfano kile kisanga cha Panama files nk,na ukifuatilia mara nyingi unakuta labda kampuni kama Amazon wakiamua kukwepa kodi katika nchi husika wanakuja na kuoperate kwa kununua vikampuni vidogo then wao wanacheza michezo yao michafu ya ukwepaji wa kodi nyuma ya pazia , hii global cancer hata pale USA ni hivyo hivyo .
Kuna documentary niliwahi kuicheki ,aisee ni noma ,jamaa wana networks zao za upigaji kabisa
 
Ni hatari jomba , aisee kuna makampuni makubwa duniani wanatabia ovu , yaani wanaoffshore bank accounts kabisa mfano kile kisanga cha Panama files nk,na ukifuatilia mara nyingi unakuta labda kampuni kama Amazon wakiamua kukwepa kodi katika nchi husika wanakuja na kuoperate kwa kununua vikampuni vidogo then wao wanacheza michezo yao michafu ya ukwepaji wa kodi nyuma ya pazia , hii global cancer hata pale USA ni hivyo hivyo .
Kuna documentary niliwahi kuicheki ,aisee ni noma ,jamaa wana networks zao za upigaji kabisa
hiyo documentary inaitwaje
 
na ana watu wa maana wamemzunguka siamini elon yeye idea zote anabuni yeye. kuna nyengine anapata kutoka kwa watu waliomzunguka
Yes ana timu kubwa sana, ni wataalamu anaowanunua toka kwenye makampuni mbalimbali ili waje kuongeza nguvu kwenye kampuni zake
 
Back
Top Bottom