Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

sijajua kwani ukiwa platinum unalipia na unapata faida zipi has

Kuna watu wanafatilia hizo status? Kwamba dem akiona platinum member ndio anakuja pm na chupi begani?
Tumeendesha JF kwa michango, msione vinaelea.

Hapakuwa hata na sponsor yeyote wa kuiwezesha JF, na servers za JF ziko Marekani.
 
Tumeendesha JF kwa michango, msione vinaelea.

Hapakuwa hata na sponsor yeyote wa kuiwezesha JF, na servers za JF ziko Marekani.
Anhaa apo sawa...Sasa mbona sijawai kuona tangazo?
 
Tumeendesha JF kwa michango, msione vinaelea.

Hapakuwa hata na sponsor yeyote wa kuiwezesha JF, na servers za JF ziko Marekani.
nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu

ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
 
na ana watu wa maana wamemzunguka siamini elon yeye idea zote anabuni yeye. kuna nyengine anapata kutoka kwa watu waliomzunguka
Pia inategemea, kama muda mwingi utautumia pekee yako katika kufanya utafiti na kutafakari, lazima uje na wazo lenye tija
 
nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu

ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
na mimi nataka kujua swala la verification badge☑️ lipo vipi
 
Back
Top Bottom