Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

Matajiri wanazidi kuwa matajiri na masikini wanazidi kuwa masikini

Pia inategemea, kama muda mwingi utautumia pekee yako katika kufanya utafiti na kutafakari, lazima uje na wazo lenye tija
ndio lakini elon ana miradi mingi sana michache ninayoijua me ni kama TESLA , SPACE X , TWITTER ss unadhan mtu moja anaweza kufukilia mambo yote ayo kwa wakati moja kama mimi ni mtunzi na muandishi wa riwaya na tamthilia kuna mda nashindwa kufikiria mpaka inapelkea story za wahusika wawil kutaka kufanan .
 
nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu

ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
Platinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.

Ile idea ya Bronze member, gold member na silver member waliondoa imebaki Platinum member tu.

Kuna vihera vya ufisadi nitapata siku si nyingi nitawawezesha na Mimi nirudishwe Platinum member, inasaidia sana kutongozea vitoto vya MMU.
 
nakumbuka kuhusu michango ya kutoa ili jf iwe hewani hata nami nilishaambiwaga hiyo kitu

ila sasa nataqka kujua hilo neno platnum liko kivipi kwa mtu ambaye ni member?
ni kama unavyosikia mtu kapewa cheo cha heshima baada ya mchango wake kuleta mafanikio chanya eneo fulani.
 
Platinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.

Ile idea ya Bronze member, gold member na silver member waliondoa imebaki Platinum member tu.

Kuna vihera vya ufisadi nitapata siku si nyingi nitawawezesha na Mimi nirudishwe Platinum member, inasaidia sana kutongozea vitoto vya MMU.
hahhaaaaaaaaaaa uwiiii aisee Matola umetisha kumbe wakiona hilo neno watoto wanajisongesha aiseeee.
 
ndio lakini elon ana miradi mingi sana michache ninayoijua me ni kama TESLA , SPACE X , TWITTER ss unadhan mtu moja anaweza kufukilia mambo yote ayo kwa wakati moja kama mimi ni mtunzi na muandishi wa riwaya na tamthilia kuna mda nashindwa kufikiria mpaka inapelkea story za wahusika wawil kutaka kufanan .
Kuwa na timu imara ni muhimu, na hiyo timu unaiunda wewe; ukiwa na watu sahihi na mifumo mizuri, lazima ufike mbali.
 
Platinum ni appreciation kwa anayeendelea kuchangia kila mwaka.

Ile idea ya Bronze member, gold member na silver member waliondoa imebaki Platinum member tu.

Kuna vihera vya ufisadi nitapata siku si nyingi nitawawezesha na Mimi nirudishwe Platinum member, inasaidia sana kutongozea vitoto vya MMU.
😁😁😁 nakubal nakubal mkuu lakini nakukumbusha ukimwi upo
 
na verification badge mumeipata baada ya kutimiza sifa zipi hapa JF
Wakuu,

Kumekuwa na maombi kadha wa kadha ya watu kutaka kuwa verified.

Tumeona vema tuweke urahisi wa mtu kuomba kuwa verified badala ya utaratibu wa awali. Kuwa verified kwako ni kwa hiari yako. Unaweza kusoma Sera yetu ya Faragha kama una concerns zozote > Privacy policy ambayo ina ufafanuzi wa kina.

Kwa wanaotaka kuwa verified, utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:

Utabonyeza (ukiwa kwenye web browser) sehemu imeandikwa Account, kisha fuata utaratibu huu:

View attachment 1897917

Utabonyeza "Request Verification Badge". Utaweza kuona sehemu inakuja na eneo la kuweka ujumbe wa kuwasiliana nasi ukiambatanisha na copy ya ID inayothibitisha majina unayotaka yawe verified ni yako

View attachment 1897898

Ukishatuma request, vumilia kidogo kwani itakuwa processed na ikiwa ina changamoto progress itaonekana kwako baada ya sisi kuwasiliana nawe kuhusu ombi lako.

Profile yako au ya mdau mwingine, ukipeleka cursor itaonyesha maandishi haya (mfano):

View attachment 1898044

ILANI:
1) Kwa waliokuwa verified awali, huna ulazima wa kufanya mchakato huu, lakini ikikupendeza kujaribu - UNAKARIBISHWA
2) Unaweza kuwa verified ukiwa na ID yako ya JF (not a real name) endapo tutajiridhisha kuwa ID ni mtu tunayefahamiana naye na maudhui ya akaunti yake hayashushi hadhi ya badge husika; mfano wa waliokuwa verified kwa IDs kawaida ni Bujibuji na Madame B.

Wanachama ambao ni VERIFIED wataonekana hapa: Verified Members

NB: Napokea requests nyingi za kubadili majina, tafadhali fanya hivyo mwenyewe kwa kutembelea https://www.jamiiforums.com/account/username

Asante
Soma hapa mkuu
 
Back
Top Bottom