DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Tutampa na powercef za kumeza😂😬 😬 😬 endelea tu, ARV si wanagawa bure bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutampa na powercef za kumeza😂😬 😬 😬 endelea tu, ARV si wanagawa bure bana
hahahapowercef za kumeza
Ndio TV na SIMTANK vikae chumba kimojaHuenda kapangisha, akiweka maji nje jirani anapita nayo😂😂
me sijamaanisha watu wanaowajua wakiwaona ila nimemaanisha wao wenyewe wanajisikiaje au na wao hawatajijua?Uzuri hawaonekani sura
Ni kweli, ila unakuta ni hatua katika kutafuta maishaDaaahkuna maghetto yanatia huruma
achs tu ndugu yangu, maana ndio kula inapotokeaUna differentiate tu😂😂
Kama kiwandaniDaaahkuna maghetto yanatia huruma
Nimeshangaa inawezekanajeHioo picha ya kwanza cjaelewa mchizi anaishi na SIMTANK ndani
Hata mm yaani TV, jiko, simtank vyote chumba kimoja