Matangazo ya biashara yaliyowahi kuvuma

Matangazo ya biashara yaliyowahi kuvuma

haiwezi kua taabu, na hiki ni kipindi cha joto halafu maasika baadae hii rangi lazima itaharibika,. mashaka. mhh
 
Tangazo la MRUGA RUGA la Vodacom....

konda mi silipi sh' 150 nalipa sh75 tu sababu sifiki mpaka mwisho....

Kama unachotaka ni kipande tu, Kwanini ulipie kitu kizima?

Was very interesting AD!
 
Mabati ya Simba sasa ni Simba dumu! Ule wimbo ulikuwa mtamu sana hadi kuna mtu aliurequest redioni akijua ni wimbo wa msanii kumbe ni tangazo!
 
Cafenno no dawa kuliko Aspirin peke take utulizia maumivu, homa Mafia na fluu.Hutuliza haraka zaidi imeshinda nyingine zote. Cafeno ni dawa number one cafeno cafeno bampa.
 
Chibuuku oyeee hongera hongeraa
Na hili la Chai bora kilele cha uboraaa
 
Habari zenu watz wenzangu,,kwaupande wangu nimeona moja ya burudan za kila siku kwa binadamu ni pamoja na matangazo ya biashara ya kwenye mabango,,televishen pamoja na radio,,
Mojawapo ya matangazo yanayoweza kua zaidi ya tangazo bali burudan kwa upande wangu ni
1) ni tangazo la mcharo kawa mtaamu(vodacom)
Matangazo yapo mengi sana ila matangazo ya COCA COLA ni mwisho wa yote mkuu.
 
Back
Top Bottom