Matani

ati unafanya kazi kwenye kiwanda cha unga...ukioga unanukia ugali ulioiva!
 
- Mentor, inaonesha wewe mjinga kiasi ulimwuliza Bill Gates kwa nini anauza Windows (madirisha) badala ya milango.
- Uko mweusi mpaka ukisimama mbele ya "Blackboard" ikiwa hukucheka huonekani.
- Una sura mbaya mpaka mama yako anakiri kuwa wewe mbaya.
- Unaharisha mpaka unatembea mbele ya mabata ili kujizimua.
 
Unajifanya mfanyabiashara mzuri mpaka ulienda Iceland kuwauzia mafriji Waeskimo.
 
Dada yako ni mshamba kiasi hujitia manukato anapotaka kupiga picha ili picha yake inukie!!
 
Twende twende kwenye ukoo wenu wewe ndio mrefu kama chupa ya vimto
 
imebidi niweke mbav za kchna,orgno kushnei!
 
Duh! Washikaji mmenikumbusha mbali saaana! Salute Mentor! Paka wako noma mpaka akishika panya anaomba uma, chumvi na pilipili.
 
Kwenu ni wakristo mpaka mbwa wenu wakiona mwizi anaiba, wanawaambia "wee iba tu Mungu anakuona".

 
Duh! Washikaji mmenikumbusha mbali saaana! Salute Mentor! Paka wako noma mpaka akishika panya anaomba uma, chumvi na pilipili.

(Natanguliza apology)
Demu wako ni mshamba mpaka bra yake imeandikwa, "WEKA MATITI HAPA!"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…