Asprin: Mwangalie kwanza, una machunusi mpaka ukipigwa picha inatokea kama msasa
Daughter: (natanguliza samahani)..wewe una MEWATA kubwa mpaka unavaa bra long-sleeved!!!!lol
Hashy: Nyie kwenu ni maskini mpaka mnakula ugali na hadithi za nyama..
Gongotamu: kwenu ni kuchafu mpaka wewe hutoa viatu ukitoka nje..hahahahahahaha (got u..)
Afrodenzi: wewe ni mfupi mpaka voters ID card yako ina picha yako ukiwa umesimama...teh teh teh...
The next reader: Wewe ni mbaya mpaka siku za cha mama na baba wewe ulikuwa mbwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big::smile-big: