Matani

Matani

Jamani nilipokuwa mdogo hii ndo ilikuwa hobby yangu maana kwa umbo langu dogo sikuweza kupigana ila ukinikosea kidogo..nitakupa neno utakaa kimya mwenyewe!
Najikumbushia tu...(usinichukie...)

Unataka matani..

Nyani Ngabu
, una bichwa kubwa mpaka shuleni ulikuwa unaitwa Headboy! twende twende..
Fidel80, wewe umekonda mpaka ukisimama kwenye ukuta unakaa kama crack...
Mzee Mwanakijiji demu wako amekonda mpaka akivaa t-shirt ya bluu anafanana na sim card ya tiGO..

Asprin
unamashavu kama mimba ya panya..

Na wewe TUKUTUKU uso kama shamba la matuta...

Unataka unataka..

Mwangalie kwanza, wewe Bigirita yaani wewe ni mbaya mpaka hutumia lotion inayoitwa 'why bother!'..teh teh..

Zak wewe ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kuomba tochi...
watu8 wewe ni mshamba hadi mara ya kwanza kupanda daladala ulianza kutandika vitambaa kwenye siti.


PS: On a light touch...

Dah mkuu upo?
 
hehehe wivuuu! Paw ni handsome hujapata kuona. chezeiya chotara wewe


Wivu!??? Ndiyo maana umekonda hadi pajama zako zina 'stripe' moja!

Hanini....nawewe umepotea njia mwone...macho ka umepachikwa.

Mbwa wenu ni mzee hadi akiona wezi lazima ajiegemeze na ukuta ndio abweke! hehehe


Hahaha 😱

We ni mnene mpaka ukikalia shilingi 100 inakuwa 50 mbili!

Dah mkuu upo?

Wewe ni mwizi hadi ukishika sarafu ya shilingi 200, Karume anabaki na vest!
 
Mwone kwanza, ninyi kwenu ni maskini hadi geti la nyumba mnafunga kwa pini!



Kwenda huko, nyie kuku wenu ni malaya hadi wao hufanyaga abortion ya mayai!!!

muone ulivyo na bichwa kubwa mpaka unashndwa kusikitika.
 
Last edited by a moderator:
Piere. Fm umefulia hadi ukiweka mkono mfukoni kunatoka mwangwi!



Kwenda huko Happylady nyie kwenu ni wachoyo hadi mkipika chapati mkaanga na dagaa pembeni ili kupoteza harufu!!!!

Special one to janeth1; umekonda hadi ukipanua mdomo unaona ka hole ka mata.ko

mmh had nimeogopa duh..
 
Last edited by a moderator:
Piere. Fm umefulia hadi ukiweka mkono mfukoni kunatoka mwangwi!



Kwenda huko Happylady nyie kwenu ni wachoyo hadi mkipika chapati mkaanga na dagaa pembeni ili kupoteza harufu!!!!

Special one to janeth1; umekonda hadi ukipanua mdomo unaona ka hole ka mata.ko

twende sasa Muone jinsi ulivyo una mdomo mpana mpaka unakula chapati bila kukunja.
 
Last edited by a moderator:
Muone ulivyo mrefu ukinya maziwa fresh adi yafike tumboni yamesha ganda kua mtindi hahahaaaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nafikiri tunajaribu kuondoa stress za uchaguzi eeehh, haya bwana taratibu tu usijemtukana mkweo, naskia mpaka vidingi vimo humu JF!!! Sijajua JK na PINDA wanatumia nickname gani bt i think ni moja kati ya ulizotaja hapo juu, Makamba yeye anatumia nickname ya Malaria sugu au ZUBEDA

Wassira naye yupo anatumia "Chloroquine"
 
Piere. Fm umefulia hadi ukiweka mkono mfukoni kunatoka mwangwi!



Kwenda huko Happylady nyie kwenu ni wachoyo hadi mkipika chapati mkaanga na dagaa pembeni ili kupoteza harufu!!!!

Special one to janeth1; umekonda hadi ukipanua mdomo unaona ka hole ka mata.ko

Nimecheka hadi bhaaasi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom