Old Woman
Member
- Apr 22, 2020
- 69
- 131
Naam hili halina ubishi.
Morogoro kumekuwa na migogoro mingi sana ya ARDHI ambapo chanzo ni matapeli kuuza maeneo ya watu.
Matapeli wa Morogoro wanatamba Wanavyotaka na wanatapeli pesa nyingi sana kupitia kuuza maeneo ya watu, wamekuwa na kiburi Kwa vile mgao wanapeleka Kwa wakubwa wa polisi na polisi wapelelezi. Yaani Hawa Wana mtandao kuanzia RPC, wapelelezi baadhi ya mahakimu na watu wa ARDHI
Morogoro ukitapeliwa ARDHI ukimpeleka mtu wako kituoni kesho anarudi uraiani na anaendelea kutapeli na hakuna kinachoendelea.
Naandika haya nikiwa nimejionea mwenyewe, ni kitendo Cha kusikitisha kuona mtu kama RPC anajihusisha katika vitendo ambavyo vinawaumiza wananchi ambao yeye amepewa dhamana ya kushughulikia usalama wao Huku akishare good time na matapeli.
Pale morogoro polisi pameoza, vyombo vya juu chunguzeni, migogoro ya ARDHI MOROGORO chanzo ni hizi taasisi za umma wanawajua matapeli na wao wanawapa mbinu za kukwepa wakitapeli na kutoa mgao.
RPC wa morogoro ni jibu sana.
Morogoro kumekuwa na migogoro mingi sana ya ARDHI ambapo chanzo ni matapeli kuuza maeneo ya watu.
Matapeli wa Morogoro wanatamba Wanavyotaka na wanatapeli pesa nyingi sana kupitia kuuza maeneo ya watu, wamekuwa na kiburi Kwa vile mgao wanapeleka Kwa wakubwa wa polisi na polisi wapelelezi. Yaani Hawa Wana mtandao kuanzia RPC, wapelelezi baadhi ya mahakimu na watu wa ARDHI
Morogoro ukitapeliwa ARDHI ukimpeleka mtu wako kituoni kesho anarudi uraiani na anaendelea kutapeli na hakuna kinachoendelea.
Naandika haya nikiwa nimejionea mwenyewe, ni kitendo Cha kusikitisha kuona mtu kama RPC anajihusisha katika vitendo ambavyo vinawaumiza wananchi ambao yeye amepewa dhamana ya kushughulikia usalama wao Huku akishare good time na matapeli.
Pale morogoro polisi pameoza, vyombo vya juu chunguzeni, migogoro ya ARDHI MOROGORO chanzo ni hizi taasisi za umma wanawajua matapeli na wao wanawapa mbinu za kukwepa wakitapeli na kutoa mgao.
RPC wa morogoro ni jibu sana.