King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Miezi kadhaa iliyopita kuna jamaa nilikutana nae kwenye mgahawa, alinifuata kwenye meza yangu wakati napata
Kifungua kinywa, akaniambia anaomba nimsaidie chochote kwani mke wake amejifungua kwa operation na bado
Yupo hospital hana msaada wowote.
Kwa kifupi niliguswa na maneno yake ukizingatia jamaa alikuwa anaongea kwa hisia hadi anataka kulia,
Ikabidi nimpe chochote kitu na pole nyingi pamoja na maneno ya kumtia moyo.
Sasa baada ya miezi kama 3 kupita nikakutana nae tena akanisimamisha, hapo inaonekana alishanisahau kabisa,
Cha ajabu akawa ananieleza the same story, kuwa mkewe amejifungua kwa Op na hana msaada, sikumjibu nikaondoka na hamsini zangu.
Umewahi kukutana na utapeli wa namna yoyote? share experience tujifunze.
Kifungua kinywa, akaniambia anaomba nimsaidie chochote kwani mke wake amejifungua kwa operation na bado
Yupo hospital hana msaada wowote.
Kwa kifupi niliguswa na maneno yake ukizingatia jamaa alikuwa anaongea kwa hisia hadi anataka kulia,
Ikabidi nimpe chochote kitu na pole nyingi pamoja na maneno ya kumtia moyo.
Sasa baada ya miezi kama 3 kupita nikakutana nae tena akanisimamisha, hapo inaonekana alishanisahau kabisa,
Cha ajabu akawa ananieleza the same story, kuwa mkewe amejifungua kwa Op na hana msaada, sikumjibu nikaondoka na hamsini zangu.
Umewahi kukutana na utapeli wa namna yoyote? share experience tujifunze.