Matapeli ya Kenya yaiba sukari mpakani

Matapeli ya Kenya yaiba sukari mpakani

Kazi yenu kuibiwa tu, mtaisha jameni maana mnaliwa na kila mtu, Mkenya anawatafuna, Mchina, Msouth Afrika, Mzungu wote wamewapania... Hilo shamba lenu la bibi limebaki mahandaki matupu. Fanyeni hima muamuke maana wenyewe pia ni ovyo mumejaa na vyeti vya kughushi hivyo hata sera hamjui kuzitengeneza na kuzilinda.

Halafu mkiamua kufuata walioghushi vyeti, huwa mnafuata wale wa vyeo vya chini na kuacha akina Bashite eti mawaziri, wakuu wa mikoa na wabunge vigezo vyao ni darasa la saba, yaani darasa la saba ya Tanzania...hadi kicheko jameni, mtaliwa hadi mkome halafu mnaishi kimajungu majungu badala ya kuwa wajanja.

Wewe acha kauli za kinyonge.
 
Kazi yenu kuibiwa tu, mtaisha jameni maana mnaliwa na kila mtu, Mkenya anawatafuna, Mchina, Msouth Afrika, Mzungu wote wamewapania... Hilo shamba lenu la bibi limebaki mahandaki matupu. Fanyeni hima muamuke maana wenyewe pia ni ovyo mumejaa na vyeti vya kughushi hivyo hata sera hamjui kuzitengeneza na kuzilinda.

Halafu mkiamua kufuata walioghushi vyeti, huwa mnafuata wale wa vyeo vya chini na kuacha akina Bashite eti mawaziri, wakuu wa mikoa na wabunge vigezo vyao ni darasa la saba, yaani darasa la saba ya Tanzania...hadi kicheko jameni, mtaliwa hadi mkome halafu mnaishi kimajungu majungu badala ya kuwa wajanja.
Huko kenya wakikagua vyeti hata wewe utakuwa na vyeti feki maana unavyoshadadia wizi lazima uliiba cheti!
 
POLITICIANS TURN TO TANZANIAN WITCHDOCTORS TO WIN ELECTIONS
Posted on Feb 28, 2017

Politicians from Migori County are trooping to Tanzania to seek the services of witchdoctors in a bid to win the August elections.

The aspirants for various seats are travelling to Tarime and Mwanza towns to seek intervention of the “seers” ahead of the polls.

A spot check by the Nation revealed that the politicians believe that the witchdoctors can make them beat their opponents in the contests.

“Business is very good whenever Kenyans approach elections. Their aspirants usually come for our services and they pay whatever we tell them,” said Mr Mohammed Yaya, a witchdoctor based in Tarime.

“They fulfil all the requirements and they make payments upfront,” he added.

Aides of various politicians said their bosses seems to trust the “actions” of the witchdoctors.

“We visited one in Mwanza recently and my boss paid Sh150,000 for the service. I was particularly against it but some of our campaign committee members encouraged him to seek the intervention of the witchdoctors,” said the aide who asked not to be named because it might expose his boss.

Migori to Mwanza is a four –hour drive while to Tarime is only 50 minutes away by a car.

The Nation further established that even politicians who are self-confesed Christians are also seeking the help of the witchdoctors. Mr Yaya said their charges are determined by the political post a client is seeking although the rates are negotiable.

Politicians turn to Tanzanian witchdoctors to win elections - Nairobi News
Aisee nimecheka mpaka mbavu zinauma[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huko kenya wakikagua vyeti hata wewe utakuwa na vyeti feki maana unavyoshadadia wizi lazima uliiba cheti!

Mtaliwa sana nyie hadi mtie akili na ifike siku muondoe walioghushi vyeti kama akina Bashite maana ndio wapo wengi kwenye uongozini. Si mlisema eti mawaziri na wakuu wa mikoa wanahitaji kujua kuandika na kusoma tu basi, yaani mnategemea sera za nchi ziundwe na watu walioishia darasa la saba halafu mnaishia kulialia kwamba nchi inaliwa.

Aisei nawahurumia wasomi wa Tanzania, maana mtu unazungukwa na viongozi ambao hawajasoma eti ndio wanakuamrisha na kukupa maagiza na kuunda sera.
 
Back
Top Bottom