Matarajio ya wasafi tv yamekuwa negative kwa wahusika

Wana kazi kubwa sana ya kukamata soko. labda bashite aingilie kati kwa kuinyong"onyeza clouds. Clouds kwenye management wapo creative sana hicho ndo wanachotakiwa kupambana nacho Wasafi TV
 
Mkuu samahani kukwambia kwanza biashara hujui na hautajua,kwa jinsi ulivyoandika unaonekana wewe ni mwajiriwa.
 
Wangeseek consultancy ya market research kwenye industry ya media ili kucapture consumers' needs and preferences etc. sasa wao wamekurupuka tu wakajiaminisha kwamba umaarufu wao plus kuwaweka akina Wema sepetu kuendesha vipindi kutaifanya tv ibambe which is very wrong.
 
Mkuu hawajafikisha hata mwaka tv ina changamoto tuwape mda
 
Yaani kila biashara ina strategies zake,sasa hivi wanatest signal (bado TCRA wana waangalia) hata hivyo vipindi vyenyewe bado na kama umefuatilia TV nyingi zikianza mara nyingi huwa wanapiga nyimbo kutest signal na inaweza kuchukua hata miezi sita baada ya hapo sasa rasmi,ndio wanaanza kurusha vipindi ,hapo sasa ndio unawahitaji hao ma-consultancy,sasa from no where uanze na ma-consultancy,hata hiyo content ya kuwapa hao ma-consultancy waipromoti hauna,yaani unavyoongea wewe ni sawa sawa umfuate consultant alafu hujui unafanya biashara gani.
 
Hivi SIBUKA tv ipo?
 
Mkuu samahani kukwambia kwanza biashara hujui na hautajua,kwa jinsi ulivyoandika unaonekana wewe ni mwajiriwa.
Wew uliyejiajiri una nn labda
 
Wana kazi kubwa sana ya kukamata soko. labda bashite aingilie kati kwa kuinyong"onyeza clouds. Clouds kwenye management wapo creative sana hicho ndo wanachotakiwa kupambana nacho Wasafi TV
Unauelewa fulan ivi wa haya mambo nakuona
 
Duh TV hata haijaanza vipindi rasmi unasema imefeli? utakuja kuficha sura yako soon...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…