Matarajio ya wasafi tv yamekuwa negative kwa wahusika

Matarajio ya wasafi tv yamekuwa negative kwa wahusika

jamaa walitegema itashika sana aisee lakin naona baada ya mwezi imekuwa kama youtube channel tu au kama tv zilizoanza kwa mbwembwe ila hazikufika popote kama TTV1 Kwanzatv bongonativetv swahili tv yaaani hata milardayo tv japo ni online ina wafuatiliaji wengi kuliko wasafi pole wahusika uwekezajinwa tv ni mgumu zitaendelea kubamba zilizobamba tu

Na kama tv imeshindwa kubamba je radio mtaweza ? Waulizen ufm
mjitu ambayo inakula ugali wa shikamoo mpaka leo,haiwez ikaelewa yenyewe inachoelewa ukifungua biashara leo hii bac kesho wateja kibao.Hata hii jamiiforums ilichukua miaka zaidi ya mitano mpaka Leo hii hata we mjinga unaifahamu.
 
Uelewi maana ya majaribio rudi shule ww. TV bado aija anza kurusha matangazo ni testing tu
 
Bongo tv zenye mpangilio mzuri na maudhui mazuri atleast ni Eatv,na labda itv..hao wengine ovyo tu..wasafi tv bado haijaanza rasmi ila inabidi waache uswahili waweke ueledi mbele..

Tv zipo kenya bana,kuna KTN,hawa jamaa ijumaa wana kipindi kinaitwa friday briefing,aisee ubora wa hiki kipindi ni wa kimataifa..

Kuna citizen tv,hawa jamaa wanajua exactly maana ya tv station..
 
Back
Top Bottom