Wewe zombokoko taila unaelewa niniNafikiri watanzania wengi hamwelewi kabisa mambo yanavyokwenda na ni rahisi mno kudanganyika na siasa nyepesi nyepesi.
Kama hali ilikuwa hivi kama Ulivyoandika, ilikuwaje Uchumi ukapanda?Mkuu acha uongo, kipindi cha Mwendazake mgao wa umeme ulikuwepo, sukari iliadimika ikapanda bei, kilimo kiliporomoka, ajira zilisimama na biashara zilikufa. Kadanganye kwingine sio humu!
Uchumi na ustaarabu wa nchi hii uliharibiwa sana wakati Magufuli alipokuwa rais. Wajinga wanafikiri ni uzushi! Watu wameteswa na kuuwawa akina Lissu na Ben Saanane ni vielelezo wazi.Wewe zombokoko taila unaelewa nini
Yaani hii inchi ina mataila mengi ikiongozwa na wewe
🤣🤣🤣🔭Kama hali ilikuwa hivi kama Ulivyoandika, ilikuwaje Uchumi ukapanda?
Sijaelewa hapo kwa lisu na Ben na uchumi panahusika je kuharibu uchumi ..hatakam wsngekufu waking lisu 100 inahusikaje na uharibu wa uchumiUchumi na ustaarabu wa nchi hii uliharibiwa sana wakati Magufuli alipokuwa rais. Wajinga wanafikiri ni uzushi! Watu wameteswa na kuuwawa akina Lissu na Ben Saanane ni vielelezo wazi.
Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.
Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Misingi ya taifa chini ya ccm ilishabomoka kitambo.Hata wangekuwa 100% ni wale wale tofauti ya uongozi ina influence kubwa sana how people behave.
Magufuli alikuwa hands on kwenye domestic challenges, well informed on what is going serikalini saa zingine kabla ya matukio ya upigaji kutokea na anataka maelezo na solution (options) mambo yakienda mrama.
Huyu mama toka sakata la umeme, sukari na report za CAG kama vile sio yake, yeye ni raisi wa Tanzania ya kufirika sio ile yenye ardhi na watu anaotakiwa kuwaongoza na kuwasimamia. Anachojua ni kusafiri, kuteua, kuhudhuria makongamano na kutoa pongezi za mafanikio ya michezo tu. Yale magumu ya nchi hana habari nayo zaidi ya kuwatafutia hela za kwenda kutumbua huko serikalini.
Kwenye hili naunga mkono 100% kuhusu Dola na sukari atasingiziwa mana haya mawili ni mchakato WA uzembe Kwa wahusika.Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.
Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema,
Inaonekana unaliwa kiboga sasa Lisu na huyo ben saanane wanausikaje na uchumi wa Tanzania??Uchumi na ustaarabu wa nchi hii uliharibiwa sana wakati Magufuli alipokuwa rais. Wajinga wanafikiri ni uzushi! Watu wameteswa na kuuwawa akina Lissu na Ben Saanane ni vielelezo wazi.
Kwenye ishu ya umeme usiandike kabisa!!Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.
Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.
Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.
Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.
Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.
Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?
Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Hata kutetea tu ccm huwezi? Huoni miradi yoyote iliyoanzishwa na chama chako ccm? Au wewe unamtetea tu Magufuli? Panua wigo wako wa kufikiri, umeishia darasa la ngapi?Inaonekana unaliwa kiboga sasa Lisu na huyo ben saanane wanausikaje na uchumi wa Tanzania??
Kwa hiyo kipindi hichi ndio uchumi upo sawa?? Mbona hatuoni hata miradi mipya iliyoanzishwa zaidi ya miradi ileile ya Magufuli??
Wewe chizi mimi sina chama natetea yoyote anayefanya vizuri na katika Marais waliofanya vizuri ni Magufuli na laiti angekuwepo bado Tanzania tungekuwa juu na sizani kama East Africa kuna nchi ingetufikia sasa hivi pesa zinaenda kwa majizi badala ya miradiHata kutetea tu ccm huwezi? Huoni miradi yoyote iliyoanzishwa na chama chako ccm? Au wewe unamtetea tu Magufuli? Panua wigo wako wa kufikiri, umeishia darasa la ngapi?
Nimesoma tu ulivyoelezea suala la umeme nikaona unachoongea hakina mashiko.Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.
Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.
Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.
Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.
Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.
Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?
Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Magari yanatapaswa kufanyiwa service kila baada ya kilometer kadhaa, lakini wapo wanaooitiliza hata mara 2 ya muda uliopangwa. Ndivyo ilivyofanyika kwa mashine za kufua umeme zililazimishwa kufanya kazi bila service leo nyingi zipo juu ya mawe. Magufuli aliagiza hivyo; sitaki kusikia umeme umekatika nikisikia nitakutumbua. Watu wameua mashine zetu kwa mtindo huo.Nimesoma tu ulivyoelezea suala la umeme nikaona unachoongea hakina mashiko.
Baada ya kifo cha Magufuli aliteuliwa J. Makamba kuwa Waziri wa Nishati. Hoja yake ya kwanza ilikua ni mgao ili kukarabati mashine. Jiulize toka Septemba 2021 bado wanakarabati mitambo tu ?
Yaani miaka miwili na nusu wanafanya ukarabati tu. Kama ni kweli basi ilipaswa wafukuzwe wote kwa kuwa hawawezi kazi.
Jiulize mitambo inaweza kumtii mwanadamu kuwa hata ikiwa imechoka ifanye tu kazi kwa kuwa boss atatumbuliwa ? Tumia fikra pevu kuwasilisha hoja maana utaonekana unaongea pumba.
Magufuli akitumia propagandists kutangaza eti Tanzania tupo uchumi wa kati; unajua uhalisia wa jambo hilo? Ulikuwa ni uongo wa Magufuli kama ilivyokuwa kusema tunajenga miundombinu kwa fedha za ndani kumbe tunakopa. Leo ndio ukweli unazidi kujulikana kwani dikteta hayupo na watu wanasema bila woga. Je elimu yako imekusaidia kuona makosa ya Magufuli au na wewe umedanganyika kama kama mjinga?Wewe chizi mimi sina chama natetea yoyote anayefanya vizuri na katika Marais waliofanya vizuri ni Magufuli na laiti angekuwepo bado Tanzania tungekuwa juu na sizani kama East Africa kuna nchi ingetufikia sasa hivi pesa zinaenda kwa majizi badala ya miradi
Maisha yanakuwa magumu na nchi haiendi
Kuhusu elimu yangu ukoo wenu hakuna wa kunifikia
Na kama wewe ndio msomi kwenye ukoo wenu basi ukoo wenu ni machizi wote
Kwa hiyo toka September 2021 mpaka leo February 2024 bado wanaendelea na service tu ?Magari yanatapaswa kufanyiwa service kila baada ya kilometer kadhaa, lakini wapo wanaooitiliza hata mara 2 ya muda uliopangwa. Ndivyo ilivyofanyika kwa mashine za kufua umeme zililazimishwa kufanya kazi bila service leo nyingi zipo juu ya mawe. Magufuli aliagiza hivyo; sitaki kusikia umeme umekatika nikisikia nitakutumbua. Watu wameua mashine zetu kwa mtindo huo.
Ile mitambo ya kufua umeme sio kama hivi vigenerator vya mtaani ni custom made ni mikubwa mno na spea zake hazipo madukani hata huko Ulaya, unapaswa kuweka order utengenezewe. Hivyo hugharimu mabilioni ya fedha. Mingi ipo kwenye hali mbaya ndio maana ikiharibika huchukua muda mrefu kutengamaa.Kwa hiyo toka September 2021 mpaka leo February 2024 bado wanaendelea na service tu ?
Kumbuka hiki kisingizio Januari Makamba ndiye alikuja nacho alipoteuliwa. Inawezekana vipi kufanya service ya mitambo kwa miaka miwili na nusu ?