Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Matatizo mengi tuliyonayo nchini leo yameanzia na awamu ya tano; hapakuwepo na uhuru wa kusema wala kurekebisha mambo, sasa tunalipa kwa maumivu

Du nimekutana na zu-zu leo, achana na Jamii Forum kabisa nakushauri wee endelea huko vijiweni kunakufaa zaidi mkuu.
Wewe mat*ko ndio taila hizo shahawa bora baba yako angemwaga chooni tusingepata lihitu lijinga kama wewe wewe hauna tofauti na paka wangu ninayemfuga akili zako zipo mat*koni
 
Mavi ni wewe mwenyewe usiye na alili ya kuchambua. Magufuli alikuwa anatengeneza nchi ya hovyo. Tungekuwa sawa na Yemen au Zimbabwe.
Kwa hiyo wewe taila ndio una akili ya kuchambua
Labda unaakili ya kuchambua karanga😃
 
Huyo mama ni mwendelezo wa awamu ya tano, hana lolote la maana. Ila watu lazima wajue kuwa chimbuko la baadhi ya matatizo leo hii ni akina Magufuli.
Kwahy hizo mashine za kufua umeme zimeshindwa kufanya kazi baada ya JPM kufa.? Yn kwann zimesubiri kifo chake ndipo nazo zianze kushindwa kufanya kazi.?
 
Kuna mtu alikua fisadi kama magufuli
Magufuli alishaingia mitini na trillion 1.5 kwa mara moja haijawah tokea uwizi mkubwa namna hiyo
N awamu ipi kulikuwa hakuna ufisadi.!
 
Wewe mat*ko ndio taila hizo shahawa bora baba yako angemwaga chooni tusingepata lihitu lijinga kama wewe wewe hauna tofauti na paka wangu ninayemfuga akili zako zipo mat*koni
Huyu ilitakiwa mama ake afanye blow job bao lililomleta duniani
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
🔊👍👏💐🗼
 
Unakuwa kama ‘artificial intelligence’ (AI) uwezo wa kufanya tathmini unaishia kwenye programmed algorithms nje ya hapo uwezi reason given other factors.

Yaani karibu miaka minne baadae bado unalaumu marehemu

Ndugu na bado kinachoendelea sio bahati mbaya ni uwezo mdogo wa raisi na team yake; the worst is yet to come.

Hakuna nchi inaendeshwa kama Tanzania ikapiga hatua, uongozi ni science na ushahidi upo wazi it will never work kwa style ya uongozi wa huyo mama.
Mkuu it never worked during Mwendazake's reign! Vyuma vilikaza bro!
 
Kwa hivyo Magufuli ndio aliemtuma aache watu wapige hela za serikali kufa mtu. Halafu wakishapata hiyo mihela wakanunue midola na kuleta upungufu.

Magufuli ndio aliemfundisha kulea wazembe serikalini.

Magufuli ndio aliemfundisha kuchekea watu wanao sabotage uchumi na mipango ya serikali

Magufuli kaacha mitambo yote ya umeme inafanya kazi, umeona services ya mitambo inachukua miaka 3 ya matengenezo

Magufuli ndio aliemtuma Bashe kugawa vibali kwa watu wasio na mitaji wala uwezo wa kuagiza sukari na kuwaletea wananchi shida.

Magufuli ndio aliemwambia Bashe asizingatie lead time ya kuagiza; yaani utoe sukari Brazil kwa miezi miwili; wakati Uganda na Zambia unaipata kwa siku tu given the dire situation ya nchi.

I can go and on

Acha kutumia akili za AI wewe ni binadamu you’re a reasonable being.
Mkuu acha uongo, kipindi cha Mwendazake mgao wa umeme ulikuwepo, sukari iliadimika ikapanda bei, kilimo kiliporomoka, ajira zilisimama na biashara zilikufa. Kadanganye kwingine sio humu!
 
Heshima yako mkuu, huyu jamaa ni chawa wa Mama

Kwa mujibu wa maandishi yake japo atapinga
Mkuu yeye kuwa chawa wa Mama kama unavyo sema, kuna shida gani? Mbona wewe unajipambanua wazi kuwa ni chawa wa marehemu Mwendazake na hakuna anayekuzodoa??

Usijione wewe ni chawa wa hadhi ya juu! Uchawa ni uchafu. Nakushangaa unashindania uchafu!
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Mashine mpya, zifanye kazi halafu unasema zikiwa mbovu zitawezaje kulazimishwa kufanya kazi wakati ni mbovu? Mshashindwa mnatafuta mchawi. RIP
 
Hata wangekuwa 100% ni wale wale tofauti ya uongozi ina influence kubwa sana how people behave.

Magufuli alikuwa hands on kwenye domestic challenges, well informed on what is going serikalini saa zingine kabla ya matukio ya upigaji kutokea na anataka maelezo na solution (options) mambo yakienda mrama.

Huyu mama toka sakata la umeme, sukari na report za CAG kama vile sio yake, yeye ni raisi wa Tanzania ya kufirika sio ile yenye ardhi na watu anaotakiwa kuwaongoza na kuwasimamia. Anachojua ni kusafiri, kuteua, kuhudhuria makongamano na kutoa pongezi za mafanikio ya michezo tu. Yale magumu ya nchi hana habari nayo zaidi ya kuwatafutia hela za kwenda kutumbua huko serikalini.
SG at its best!
 
Ina maana hujui kama hayati Magufuli alikuwa Rais wa nchi? Hujui kama alimfurusha Muhongo kwehye uwaziri kwa sababu za Tanesco?

Ova
Mbona husemi kwamba kipindi chake chote hatukuwa na mgawo. Unamaanisha tulikuwa tunatumia mashine mbovu.
Hizo nzima za awamu hii mbona hatupati umeme?
 
Bila kumwonea kabisa Dr Samia kwenye hizi lawama ni kuwa 90% waliopo madarakani na kwenye nyenzo zote muhimu ni wale wale wa Magufuli.

Mfano mwingine ni Bunge[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mkuu aliona watu 80% kwenye serikali, kwa nini asibadilishe. Mbona amebadilisha wengi tu. Hakuna mtu wa Magufuli, inachotakiwa ni style tu ya uongozi na kuwa firm kwenye kila jambo. basi
 
Kwahy hizo mashine za kufua umeme zimeshindwa kufanya kazi baada ya JPM kufa.? Yn kwann zimesubiri kifo chake ndipo nazo zianze kushindwa kufanya kazi.?
Huelewi mambo
 
Wewe mat*ko ndio taila hizo shahawa bora baba yako angemwaga chooni tusingepata lihitu lijinga kama wewe wewe hauna tofauti na paka wangu ninayemfuga akili zako zipo mat*koni
Hicho ndio kipimo cha ujinga wako kajirekebishe upo chini mno.
 
Unakuwa kama ‘artificial intelligence’ (AI) uwezo wa kufanya tathmini unaishia kwenye programmed algorithms nje ya hapo uwezi reason given other factors.

Yaani karibu miaka minne baadae bado unalaumu marehemu

Ndugu na bado kinachoendelea sio bahati mbaya ni uwezo mdogo wa raisi na team yake; the worst is yet to come.

Hakuna nchi inaendeshwa kama Tanzania ikapiga hatua, uongozi ni science na ushahidi upo wazi it will never work kwa style ya uongozi wa huyo mama.

Mimi nasubiria tu output ya SGR. Kwa uongozi wa awamu hii, hii itakua worst “white elephant” ya karne hii.
 
Sorry ni awamu ya 5 ya bullzoda sio ya nne! Awamu ya 4 ilikuwa baba wa demokrasia.

Kabla ya 2015 angalau kulikuwa na uhuru wa kusema, ukweli ulijulikana na uliachwa usemwe kwa kiasi kikubwa, na wataalamu waliachwa watumie taaluma yao kutoa miongozo, lakini alipokuja Magufuli yeye aligeuka kuwa engineer, docta, mchumi, na kila kitu.

Kuna mambo mengi watanzania wenye akili nyepesi nyepesi hawawezi kuyaona. Matatizo mengi tuliyonayo sasa hivi kama uhaba wa dola, umeme, ukosefu wa sukari n.k. yalitokana na utawala wa kuburuza mambo wa awamu ya tano.

Mfano umeme: Wakati wa Magufuli mashine nyingi za kufua umeme kwa kutumia gesi zilifanya kazi na kupitiliza wakati wake wa kufanyiwa ukarabati. Tanesco walilazimika kuendelea kufua umeme na mashine zilizokuwa zinahitaji kufanyiwa ukarabati kwani Tanesco wangeondoa baadhi ya machine ili kufanya ukarabati kungesababisha upungufu wa umeme na mgao kitu ambacho kingepelekea wao kufukuzwa kazi mara moja. Hivyo waliendelea kuzalisha umeme na mashine zilizokuwa hoi.

Leo karibu nusu nzima ya mashine za kufua umeme wa gesi pale Ubungo na Kinyerezi zimeharibika kwa mkupuo baada ya kulazimishwa kufanya kazi zikiwa mbovu! Matokeo yake leo hii tuna mgao ambao hata viongozi wetu hawana lugha nzuri ya kuulezea; watasema ni upungufu wa mvua hata pale ambapo El Nino zilikuwa tele kuanzia mwaka jana mwishoni. Hutasikia wakisema ukweli huu kuhusu ubovu wa mashine zitu, utawasikia wakisema ni ongezeko la matumizi ya umeme, hilo nalo ni uongo tu.

Matatizo ya sukari na dola yana mkondo huo huo. Nani asiyejua namna Magufuli alivyoharibu biashara kwa kuwabambikizia kodi wafanyabiashara, kuwapora mitaji na kuwalazimisha kufunga biashara zao kwa visingizio vya kodi? Matokeo ya hayo ndio leo tunayaona. Biashara kati ya Tanzania na nchi za nje ilidorora mno wakati wa Magufuli. Si mnakumbuka jinsi Magufuli alivyowachukia "mabeberu"? Unategemea nini kibiashara unapowachukia bussiness partners na kufunga biashara zao nchini?

Ila kwakuwa watanzania wengi wamelishwa uongo na hawana jinsi ya kugundua uongo huo basi wataamini kuwa Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa mazuri. Nawaambia, saa hii tungekuwa kwenye hali ya tahadhari na majanga makubwa kiuchumi na kijamii. Magufuli hakuwa na upeo mkubwa kiuchumi, yeye alilazimisha kila kitu kama alivyopenda bila kujali matokeo yake. Leo tunateswa na matatizo ambayo chimbuko lake ni awamu ya 5 na hakuna kiongozi atakayetuambia ukweli huu!
Huu ni ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom