Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

Kuamini bing bang ni Matatizo ya akili ya kiwango cha juu kabisa

Mtoa mada uko sahihi kabisa yani
 
Mungu mnayemtajataja si huyo aliyekuwepo,huyu mungu wa wanasiasa ndo mnamuabudu nyie.
 
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
Nmekukubali mkuu hao wasio kili uwepo wa Mungu tunawaita manugu
 
MLeta mada uko sawa sawia..Hata Muumba husema wale wenye akili timamu ndo hukaa na kufikiria uumbaji wangu na kunitukuza.
 
Angalia Jellyfish alivyoumbwa hapo ndio utaelewa angalia viumbe vya bahari..mungu yupo! yupo!
downloadfile.gif
5071_c289.gif
yupo!
 
Kuna hoja hapa.
Yeah biblia nayo indirectly imetaja uwepo wa miungu miwili.
Kuna yule Mungu wa Ibrahim na kuna Mungu mkubwa alie juu Mungu wa Melkizedeki alie kua kuhani na mfalme wa Salem sasa Jerusalem.
Pitia mwanzo 14 halafu jiulize wakazi original wa Salem walikua wana imani ipi.
 
Back
Top Bottom