Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno!thread za kumjadili Mungu na kumkanusha zimezidi humu
Mungu hachunguzki jamn
Nmekukubali mkuu hao wasio kili uwepo wa Mungu tunawaita manuguSiwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.
1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.
2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066
3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?
4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.
AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
Tulia kilanga wewe dawa ikuingie tatizo umemezeshwa hata vitu vya kutumia akili yako kutambua huvionUnafahamu "logical non sequitur" ni nini?
Big Bang ni kuokota makopo.Kuamini bing bang ni Matatizo ya akili ya kiwango cha juu kabisa
Mtoa mada uko sahihi kabisa yani
Kuna hoja hapa.Mungu yupo lakini sio huyu wa waisraeli.
Yeah biblia nayo indirectly imetaja uwepo wa miungu miwili.Kuna hoja hapa.
Wahindu wa India wana miungu 4000 hahaYeah biblia nayo indirectly imetaja uwepo wa miungu miwili
Sasa kama siku wakiamua kuzichapa si ndio mwisho wa ulimwengu.Kuna yule Mungu wa Ibrahim na kuna Mungu mkubwa alie juu Mungu wa Melkizedeki
Sijajua lakini vitabu vya imani vina contradictions nyingi.Sasa kama siku wakiamua kuzichapa si ndio mwisho wa ulimwengu.
Mwanadamu anapokuwa ndio msemaji wa mungu ndio lazima hayo yatokee.Sijajua lakini vitabu vya imani vina contradictions nyingi.
hakikaMwanadamu anapokuwa ndio msemaji wa mungu ndio lazima hayo yatokee.