Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

Nani uyo anasema hakuna Mungu.wakati mwili wake tu unaonyesha kuna injinia aliufanya ukawa ivyo.mtu nywele zinaota kichwa husikii maumivu yoyote,unakunja vidole vya mikono nakuvikunjua bila kuona mechanizim yoyote kubwa ikifanyika kufanya ayo,unakula chakula unaenda haja,michakato yote inayofanyika tumboni inajisimamia yenyewe.hii yote inaonyesha kuna injinia aliyefanya ayo na ili kuonyesha kua uyo injinia sio wa mchezomchezo nayeye ndiye mwenye mamlaka yote akatengeneza kitu kinaitwa KIFO,hapo ndo mwisho wa habari.sasa leo mtu aje akwambie hakuna Mungu.
 
Mwanadamu anapokuwa ndio msemaji wa mungu ndio lazima hayo yatokee.
kwanni Mungu amuache mwanaadamu amsemee wakati "" alisema kuwa nikiumbe dhaifu"....aoni kuwa udhaifu walionao kisha akawapa nafasi ya kumsemea itakuwa ni sababu ya mkanganyiko mkubwa mno baina ya wao kwa wao ""..je tukisema kuwa atakuwa anawaonea watu " atakao kuja kuwachoma moto tutakuwa tuna kosea "".... Maana kuna wengine hujikuta wanatenda dhambi kwa sbbu ya hizo contradiction zilizopo "",....
 
Yeah biblia nayo indirectly imetaja uwepo wa miungu miwili.
Kuna yule Mungu wa Ibrahim na kuna Mungu mkubwa alie juu Mungu wa Melkizedeki alie kua kuhani na mfalme wa Salem sasa Jerusalem.
Pitia mwanzo 14 halafu jiulize wakazi original wa Salem walikua wana imani ipi.
Mwenyezi Mungu ni MMOJA Tu ...Mungu wa Ibrahim ndo huyo huyo wa ulimwengu mzima na vilivyomo na hana mshirika katika ufalme wake.
 
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.

Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
maneno mazuri the ila kuwaambia watu wasiokubaliana na ww awana akili basi ww ni guchipu
 
kwanni Mungu amuache mwanaadamu amsemee wakati "" alisema kuwa nikiumbe dhaifu"....aoni kuwa udhaifu walionao kisha akawapa nafasi ya kumsemea itakuwa ni sababu ya mkanganyiko mkubwa mno baina ya wao kwa wao ""..je tukisema kuwa atakuwa anawaonea watu " atakao kuja kuwachoma moto tutakuwa tuna kosea "".... Maana kuna wengine hujikuta wanatenda dhambi kwa sbbu ya hizo contradiction zilizopo "",....
Mimi namsapoti mungu kuhusu kutupiga kiberiti sisi ni dhaifu lakini ni hatari sana, wacha tupigwe kiberiti.
 
maneno mazuri the ila kuwaambia watu wasiokubaliana na ww awana akili basi ww ni guchipu
Mfano ni nchi ya Urussi wakati wa Ukomunisti,raia wengi walikuwa ni machizi kwa sababu ya kumkana mungu.
 
hahaha ...Lakini haujajibu swali mkuu""....daaahh
Mungu alituletea mitume ndio wawe wawakilishi wake kulikuwa hakuna shida yoyote baada ya mitume ndio mikono ikatiwa kwenye vitabu na kuchinjana kukaanzia hapo.
 
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
So wewe kukosa maswali ya majibu yako ndo unaamin kwamba ni mungu ,
 
Dah! Umenifanya nitafakari upya, hakika hivyo vitu havipo kwa bahati mbaya.... Natangaza Rasmi kuhama kwenye kundi lile kweli kabisa ndugu yangu maana nilishaanza kupotoka hasa baada ya kuona Post za baadhi ya wachangiaji wakimtukana Mungu waziwazi na hakuna linalowakuta, basi itakuwa anawasubiri tu.
So wewe imani yako mpaka uone mtu akimsema mungu anakufa au anakutana na mabalaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
What a weak faith
 
Mwanadamu anapokuwa ndio msemaji wa mungu ndio lazima hayo yatokee.
Yap unaweza kusema mungu yupo au hayupo for the same reasons hakuna aliyekua na uhakika
Lakin si huyu Wa kwenye mavitabu ambao binadamu wanamsimulia
 
kwanni Mungu amuache mwanaadamu amsemee wakati "" alisema kuwa nikiumbe dhaifu"....aoni kuwa udhaifu walionao kisha akawapa nafasi ya kumsemea itakuwa ni sababu ya mkanganyiko mkubwa mno baina ya wao kwa wao ""..je tukisema kuwa atakuwa anawaonea watu " atakao kuja kuwachoma moto tutakuwa tuna kosea "".... Maana kuna wengine hujikuta wanatenda dhambi kwa sbbu ya hizo contradiction zilizopo "",....
You nailed it
 
Kwahiyo wote wanaokiri uwepo wa mungu hawana matatizo ya akili?
 
Back
Top Bottom