Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

Matatizo ya kiakili ndiyo yanayokufanya ukanushe uwepo wa Muumba

hakuna Mwenye Uhakika na hilo "" so inabaki kuwa ni coincidence tu "" kukosa kwetu kujibu maswali magumu haiwezi kuwa sabbu ya sisi kukimbilia " kusingizia uwepo wa Mungu ""....
Maswali gani hayo magumu?
Kwa hiyo kwa vile umeshindwa kujibu maswali magumu ndio ukaamua kuwa mpagani?
 
Dah! Umenifanya nitafakari upya, hakika hivyo vitu havipo kwa bahati mbaya.... Natangaza Rasmi kuhama kwenye kundi lile kweli kabisa ndugu yangu maana nilishaanza kupotoka hasa baada ya kuona Post za baadhi ya wachangiaji wakimtukana Mungu waziwazi na hakuna linalowakuta, basi itakuwa anawasubiri tu.
Hahaaaa. Tumia uwezo wako wa kufikiri. Usipede uambiwe alafu ufuate
 
Ajabu ni pale MTU anakanusha uwepo wa Mungu Ila anakubali ana ubongo ilhali hajawahi ona ubongo wake wala kugusa anategemea ushahidi wa wengine
Ajabu ni pale mnapokiri uwepo wa mungu kwa kutazama mnavyoviona huku mkisahau kujiuliza huyo mungu yeye aliumbwa na nani
 
Mfano mwingine ambao inaonyesha uwezo wa mungu ni kwamba kuna wadudu wadogo ambao matakoni mwao wakiruka hua wanawasha tea.Kwa waliowahi kuishi vijijini watakua wanawafahamu hawa wadudu,sasa jiulize taa inawakaje wakati hawana Betri,waya wala glopu matakoni?
Kwahiyo jibu ni kuwa mungu yupo?

Ama nimezaliwa kwa watu mambumbumbu
 
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
Hivi nikikwambia kuwa kiuhalisia hakuna kitu kinaitwa Tanzania utakubali?
 
Kaka ngoja nikupe faida ya kiligha kidogo. Tamko "Allah" ni tamko la kiarabu lenye maana ya "Mwenye kuabudiwa" ,tamko hili kiasili halina wingi,Allah sio Mungu,sababu tamko Mungu lina wingi. Kutokana na hali hiyo,katika dini ya kiislamu kuna somo linaitwa AQIDA kwa kiswahili tunasema ITIKADI,hili ni somo maalumu kwalo linaelezea sifa Mola wetu muumba kama alivyojielezea yeye na vile alivyoelezewa na mtume wake Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.

Katika somo hili kuna vitu vikuu vitatu ambavyo mja anatakiwa kujifunza na kuvifanyia kazi kwa ukamilifu.Navyo ni

1. Kumpwekesha Allah katika ibada,yaani hakuna anaye paswa kuabudiwa kwa haki ila yeye pekee.

2. Kumpwekesha Allah katika uumbaji,yaani yeye ndio muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo.

3. Kumpwekesha yeye katika majina yake na sifa zake. Yaani lazima ujue ya kuwa Allah hafanani na kiumbe yeyote na sifa zake ni kamilifu,kadhalika lazima ujue ya kuwa majina yake yanaelezewa au kutafsiriwa kama yeye alivyoyatafsiri kupitia mtume wake.
Allah ni mungu ,kwa wakristo yesu ni mungu je unakubali yesu ni Allah?
Kwa logic ya
If A=B=C,then C=A
 
Kwahiyo jibu ni kuwa mungu yupo?

Ama nimezaliwa kwa watu mambumbumbu
Wewe Tumia akili, Jibu ni kwamba hakuna kinachoweza kutokea chenyewe kwa umaridadi
wa aina hiyo bila kuwepo kwa aliyekiumba/ kitengeneza.
 
Mwenyezi Mungu ni MMOJA Tu ...Mungu wa Ibrahim ndo huyo huyo wa ulimwengu mzima na vilivyomo na hana mshirika katika ufalme wake.
Umeisoma hiyo Genesis 14:18-20 ukaelewa content yake vizuri.
Au umekuja na jibu hili kwakua wewe ni mwendaji kanisani tu, ukimezeshwa basi..
 
Kusema aina mbili ni Shia na Suni, si kungekua na aina moja tu inayomcha Mungu? angalia ukristu, madhehebu kibao, ni Mungu gani huyo? Ndio maana nikahisi dini zimetungwa na wajanja. Mimi nimeacha ukristu ila Mungu wangu ni siri yangu na ananiongoza vizuri. Imani za kiafrika nazipenda zaidi kuliko za kizungu
 
Allah ni mungu ,kwa wakristo yesu ni mungu je unakubali yesu ni Allah?
Kwa logic ya
If A=B=C,then C=A
Hahaha,kaka unapotea mlango ulioingilia ni wakutokea. Kwahiyo rudi ulikotoka ili upite unapotakiwa kupita.
 
Mfano mwingine ambao inaonyesha uwezo wa mungu ni kwamba kuna wadudu wadogo ambao matakoni mwao wakiruka hua wanawasha tea.Kwa waliowahi kuishi vijijini watakua wanawafahamu hawa wadudu,sasa jiulize taa inawakaje wakati hawana Betri,waya wala glopu matakoni?
Hao wadudu wanaitwa vimulimuli au kimulimuli mkuu
 
kwanni Mungu amuache mwanaadamu amsemee wakati "" alisema kuwa nikiumbe dhaifu"....aoni kuwa udhaifu walionao kisha akawapa nafasi ya kumsemea itakuwa ni sababu ya mkanganyiko mkubwa mno baina ya wao kwa wao ""..je tukisema kuwa atakuwa anawaonea watu " atakao kuja kuwachoma moto tutakuwa tuna kosea "".... Maana kuna wengine hujikuta wanatenda dhambi kwa sbbu ya hizo contradiction zilizopo "",....
Ndo maana kwenye maandiko yanasema kuwa kila mtu atahukumia kwa kutokana na moto
 
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila kitu.

1. Nilianza kwa kuwatazama kuku ambao walikuwa mbele yangu. Hao wakanisafirisha
Kilomita kadhaa za fikra huku nikikusanya ndege Tofauti tofauti kichwani mwangu.
niliangalia Rangi na Tabia zao, lakini kilichonivutia zaidi ni Rani zao.
View attachment 798044
Hivi akili yenye utambuzi, akili iliyo salama inashindwa vipi kuona maajabu yaliyopo katika
Rangi za kuku? Tunafahamu kuanzia yai linavyokuwa mpaka kifaranga ambacho huzaliwa
Bila nakshi zozote? Ni upungufu tu wa akili ndio unaotufanya tusione kama huyo Kuku
na ndege wengine nitakaowaweka Hapa Rangi zao hazijaja kwa bahati, Ni wazi kuwa
hata hizo Rangi zimewekwa kwa Mpangilio, Ewe mpingaji wa Muumba huoni?
View attachment 798064
Upofu gani umekupata hata usione umaridadi, utaalamu tena wa kiwango cha juu
ambao umetumika kumpamba na Kumnakshi Ndege huyu? ni Upumbavu kusema
Huyu ndege amatokana na Bigbang sijui kitu gani... huko.

2. Wanyama, nilitafakari maumbile na Rangi za wanyama niagundua wazi kuwa
kukataa uwepo wa muumbaji ni dalili Kubwa ya Ukosefu wa akili.View attachment 798066

3.Wadudu
View attachment 798067
Hata wadudu wameshindwa kuifanya akili yako itambue Uwepo wa Muumba?

4.MIMEA
View attachment 798068
SHAABAAAAASH! AMETAKASIKA MOLA WANGU MBORA WA UUMBAJI
Kama unashindwa kuona maajabu ya mpangilio wa Rangi katika hili ua na
akili yako ikatambua kuwa Kuna MUUMBA Jihesabu wewe ni mwendawazimu.

AKILI SALAMA NI ILE INAYOTAFAKARI MAMBO, Usije kuwa na videgree vyako viwili mpaka
Vinne ukashindwa kutafakari mambo mepesi kama haya ukajiona mjanja, utakuwa ni mpumbavu tu ambaye umekariri mambo ambayo wametafakari wenzio.
Buree kabisa
 
..........Hakuna duniani atakeyeishi milele.soon sote kila mmoja kwa nafasi yake,wakati wake na style yake ataenda kujionea tena kwa ulazima sio ombi,lazima kwamba Mungu yupo au hayupo?

Ni muda tu na hivi dunia sasaivi imejaa vurugu,maradhi yasiyo tiba na ajali zisizoisha basi tusipigiane sana kelele.
Wewe amini usiamini muache yule aamini ila itakapokujia action ujue ni namna gani utavyo-deal nayo.

Kiumbe mjinga mjinga huwezi hata kuijua nusu saa ijayo kitakupata kitu gani unakaa kusema hakuna anayekupangia mtiririko wa maisha yako?unashindwa hata kujua kwamba kesho utafukuzwa kazi japo ni kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako?punguani kabisa.

Usini-quote,wala sitahangaika kubishana na wewe!
 
Mfano mwingine ambao inaonyesha uwezo wa mungu ni kwamba kuna wadudu wadogo ambao matakoni mwao wakiruka hua wanawasha tea.Kwa waliowahi kuishi vijijini watakua wanawafahamu hawa wadudu,sasa jiulize taa inawakaje wakati hawana Betri,waya wala glopu matakoni?
Kwa kuwafahamu wadudu hawa tu, nilikwisha jitafakari na kuamini kuwa Mungu yupo na yawezekana kwa asilimia 99% kuwa wapo Alliens (viumbe wengine wa ajabu) tusio waona..
 
Back
Top Bottom