hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Naaam "" kweli kabisa...baada ya hapo ndio wakaanza kuchakachua kwajili ya maslahi yao ya kiutawala"" sass kama hivyo ndivyo basi niwazi kwamba ""...,binaadamu tuna kazi kubwa sana ",...Mungu alituletea mitume ndio wawe wawakilishi wake kulikuwa hakuna shida yoyote baada ya mitume ndio mikono ikatiwa kwenye vitabu na kuchinjana kukaanzia hapo.