Mateka wa Israel akimbusu kwa upendo Mpiganaji wa Hamas stejini wakati wa kuachiwa

Kwa nini hutaki kuwa Hamas kafanya hivyo. MOSSAD wapo mpaka ndani ya serikali ya Irani sembuse hao Hamas wanaofadhiliwa na Iran? Taarifa ikitolewa na kiongozi wa ngazi ya juu iwe Iran au Israel yenyewe ina baraka ya mkono wa ujasusi.
Ni vigumu sana kuamini kuwa hao Hamas eti waliwanyonga watoto wa Bibas!Haiingii akilini hata kidogo,Netanyahu ameudanganya Umma ili kufanikisha malengo yake ambapo ameonekana kufeli vibaya maana hakuna alichofanikisha Gaza kwa military operation!
 
Kwa nini hutaki kuwa Hamas kafanya hivyo. MOSSAD wapo mpaka ndani ya serikali ya Irani sembuse hao Hamas wanaofadhiliwa na Iran? Taarifa ikitolewa na kiongozi wa ngazi ya juu iwe Iran au Israel yenyewe ina baraka ya mkono wa ujasusi.
Acha kujichanganya,Hamas walisema hao watoto na mama yao waliuwawa kwa mabomu ya Israel!Israel wakasema hawawezi kuconfirm kwa wakati huo!
Baada ya kupewa miili,ndio Netanyahu anasema forensic inaonesha walinyongwa!Sasa hapo Mossad mara ujasusi vinaingiaje hapo?
Israel ina kipaji cha kutengeneza uongo,propaganda kibao kupush agenda zao!Wamefanya hivyo mara nyingi throughout the war!
Mateka wa Israel wanarudi na hali nzuri kiafya,Ila mateka wa palestina wanarudishwa wakiwa hoi kwa mateso!
 
Ni vigumu sana kuamini kuwa hao Hamas eti waliwanyonga watoto wa Bibas!Haiingii akilini hata kidogo,Netanyahu ameudanganya Umma ili kufanikisha malengo yake ambapo ameonekana kufeli vibaya maana hakuna alichofanikisha Gaza kwa military operation!
Wewe ni muandishi wa Aljazeera katika Jf.. propaganda za Masjid Taqiyya
 
Hueleweki lete evidence acha kuandika makala ndefu zisizo na tija.
 
Awa milokole ni mzigo mkubwa ndugu Embu waza zaid!!!! Leo Wameungana Walokole kibao Wakidai ile ni Propaganda!!!!! JApo Tukio lilikuwa Live !!! mshangao kwa awa!!!! wa
Upo sawa Kabisa Hamas ilitangaza kuuwawa kwa uyu Mama na Vitoto vyake tangu 2023

HAMAS lkn Vizuli Watu waelewe SERIKALI Y ISRAEL NA NETANYAHU wate Wanajua Ukweli kuusu Uyu Mama na Wengine kuwa Waliuwawa na Mejesh yao !!!!

Lkn sasa Siasa ndio inatumika kwasasa ili Familia Ijue ni HAMAS pia Wananchi Wajue ni Hamas kupunguza malalamiko ya ndani ya ISRAEL

Sasa ndio unasikia Netanyahu anatoa Matamko na mikwara kujiapiza Yote ni Siasa tu funika Kombe!!!

Kuuwawa uyu Mama HAMAS ikapata Wazzo jipya ilimwachia mama mwengine mwenye Watoto pia wawili free awakutaka Kubadilishana na Chochote

kijana wa Hamas alimsaidia uyo Mama mtoto m'moja adi Mpakani IDF ikamchukua!!!!! Zilikuwepo clip yake nyingi tu zilikuwa zinaonesha ilo Tukio kwenye YOUTUBE !!

lkn kwasasa zimefutwa nyingi kuzipata kwa Shida Sana!!!!! Lkn kweli uyo Mama kifo chake ni IDF kupitia ndege Vita zao Walipitanae !!!

IDF wanajiona wao Wana Haki ya kuuwa kiumbe chochote ndani ya GAZA kumbe wanawauwa na Waisrael Kikatili sana.

Sasa leo Wanataka kuuudanganya uma wa Israel kuwa Wamenyongwa !!! nani wamnyonge kwa faida yanani !!!

ikiwa lengo la kukamatwa kwao ni kutumika kwenye Kubadilishana na Mateka wa Kipalestina waliojazwa zaid ya 10000+
uko kwenye vizuizi vya Israel Wakipokea mateso makubwa!!! lkn pia Tujiulize Lini HAMAS Ilimnyonga muisrael mateka !!???
 
Awa milokole ni mzigo mkubwa ndugu Embu waza zaid!!!! Leo Wameungana Walokole kibao!!!

Wakidai ile ni Propaganda!!!!! Ilikupotosha watu japo Tukio lilikuwa Live !!! mshangao kwao !!!! Kwani ni uyu tu kaonyesha kulidhishwa na Ukalimu wa HAMAS !!!!!

yule Bim mkubwa mtu mzima Si alisema nae na Kuwasifia sana HAMAS akiwa ndani ya Israel toka apo Netanyahu akazuiya Wakiachiwa Wasiojiwe Live !!!!
shubamit zake!!

UISLAM NI NURU kubwa unajitangaza Wenyewe sio kuangaika kufanya propaganda Ukweli kuugeuza uwe uwongo!!

Nayeye Netanyahu awatendee Vizuli Wapelestina ili Wamsifie anawaachia apunguze Wivu wa kijinga!!!

sio Lina nuna kusifiwa HAMAS wkt ni kweli Hamas ni Waislam na Wanawaudumia mateka kufatana na miongoza ya Dini yao!!

Wao kule Israel mateka wa Kipalestina wanawakata adi miguu!!!! Afu unatemegea akusifie wkt nyinyi mnamiongoza ya kiJimbwa Jibwa

Utu kwenu Mwiko yani Maisrael ni migaidi kabisa wapo mateka Wakiume Wanalalamika kulawitiwa kike kubakwa wengine miguu imekatwa!!!!

Afu ndio taifa teule si bora ingekuwa taifa Teule liwe PALESTINA wana utu wakustaajabisha Duniani!!!!!

uku wao Wanauwawa kwa Maerufu na Israel wkt uwouwo wao Wanawaudumia Vizuli seem ya wauwaji wao!!!!! Duniani aijawai kutokea hiiii ya PALESTINA. Kwann Palestina isiwe taifa teule!!!!!
 
Huna hoja
Wewe ndio huna hoja unasema Netanyahu anaudanganya Umma. Kwahyo ni muongo na hiyo familia ipo hai enh? Hivi unajua group la madaktari wa kimataifa lipo kwa ajili ya uchunguzi wa miili imekufaje.. wewe upo Sigimbi unakataa hahahaha.

Ndio maana nakuita maandishi wa Aljazeera huna tofauti iblis
 
Hilo group la madaktari wa kimataifa ndio nalisikia kwako!
 
Ukiacha hii ya kumbusu.
Mateka wa ki Israel wanaonekana wana afya nzuri, itakuwa hamaswalikuwa wanawatizama vizuri.
Ila mateka wakipalestina afya dhohofu sana, inaonekana walikuwa wanateseka sana walipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…