Unataka kutiaminisha kuwa waislam wanaweza kuwavamia watu wakaua ndugu na marafiki zao,wakawaficha kwenye maandaki kinyume na walivyozoea kuishi,lakini baada ya kuwateka kwa zaidi ya mwaka mateka wanabadilika kuusifia uislam na magaidi ya kiislam?
Jaribuni kitu kingine ila I assure you kwamba handing over ikiisha Hamas hawatakuwepi kbs
Awa milokole ni mzigo mkubwa ndugu Embu waza zaid!!!! Leo Wameungana Walokole kibao Wakidai ile ni Propaganda!!!!! JApo Tukio lilikuwa Live !!! mshangao kwa awa!!!! wa
Acha kujichanganya,Hamas walisema hao watoto na mama yao waliuwawa kwa mabomu ya Israel!Israel wakasema hawawezi kuconfirm kwa wakati huo!
Baada ya kupewa miili,ndio Netanyahu anasema forensic inaonesha walinyongwa!Sasa hapo Mossad mara ujasusi vinaingiaje hapo?
Israel ina kipaji cha kutengeneza uongo,propaganda kibao kupush agenda zao!Wamefanya hivyo mara nyingi throughout the war!
Mateka wa Israel wanarudi na hali nzuri kiafya,Ila mateka wa palestina wanarudishwa wakiwa hoi kwa mateso!
Upo sawa Kabisa Hamas ilitangaza kuuwawa kwa uyu Mama na Vitoto vyake tangu 2023
HAMAS lkn Vizuli Watu waelewe SERIKALI Y ISRAEL NA NETANYAHU wate Wanajua Ukweli kuusu Uyu Mama na Wengine kuwa Waliuwawa na Mejesh yao !!!!
Lkn sasa Siasa ndio inatumika kwasasa ili Familia Ijue ni HAMAS pia Wananchi Wajue ni Hamas kupunguza malalamiko ya ndani ya ISRAEL
Sasa ndio unasikia Netanyahu anatoa Matamko na mikwara kujiapiza Yote ni Siasa tu funika Kombe!!!
Kuuwawa uyu Mama HAMAS ikapata Wazzo jipya ilimwachia mama mwengine mwenye Watoto pia wawili free awakutaka Kubadilishana na Chochote
kijana wa Hamas alimsaidia uyo Mama mtoto m'moja adi Mpakani IDF ikamchukua!!!!! Zilikuwepo clip yake nyingi tu zilikuwa zinaonesha ilo Tukio kwenye YOUTUBE !!
lkn kwasasa zimefutwa nyingi kuzipata kwa Shida Sana!!!!! Lkn kweli uyo Mama kifo chake ni IDF kupitia ndege Vita zao Walipitanae !!!
IDF wanajiona wao Wana Haki ya kuuwa kiumbe chochote ndani ya GAZA kumbe wanawauwa na Waisrael Kikatili sana.
Sasa leo Wanataka kuuudanganya uma wa Israel kuwa Wamenyongwa !!! nani wamnyonge kwa faida yanani !!!
ikiwa lengo la kukamatwa kwao ni kutumika kwenye Kubadilishana na Mateka wa Kipalestina waliojazwa zaid ya 10000+
uko kwenye vizuizi vya Israel Wakipokea mateso makubwa!!! lkn pia Tujiulize Lini HAMAS Ilimnyonga muisrael mateka !!???