Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Netanyahu anapambana na ugaidi.Sasa kwanini wanaita mauaji ya wayahudi ni HOLOCAUST if at all ni halali kuua raia? Au Akifanya Hitler ni kosa ila Netanyahu ni haki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netanyahu anapambana na ugaidi.Sasa kwanini wanaita mauaji ya wayahudi ni HOLOCAUST if at all ni halali kuua raia? Au Akifanya Hitler ni kosa ila Netanyahu ni haki?
Alwaz inakuwaje?Kutokana na njaa ya watu wa Gaza iliyolazimishwa kwao wakaona watumie na gari la misaada kuingia mpaka ndani kabisa kuwafanyia hujuma.
Ndio mbinu za kupambana na ugaidi.Kutokana na njaa ya watu wa Gaza iliyolazimishwa kwao wakaona watumie na gari la misaada kuingia mpaka ndani kabisa kuwafanyia hujuma.
Waacha weee kifaa cha mudi hicho MAASHALLAH hahahahaaaASANTE ALLAH MUNGU WA KIARABU? 💩🙉🙊
Kwenye uvungu wa kitandaMateka wanafichwa wapi kwani kisheria?
Waacha weee kifaa cha mudi hicho MAASHALLAH hahahahaaa
View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=64Ti01B4CdzmqcbA
]
Allah AKBAR Allah AKBAR Allah AKBAR hahahaha
View: https://youtube.com/shorts/j3PjJ6nhQGo?si=lI1AdaVxAHZNsh8O
Netanyahu anapambana na ugaidi.
Hamtakiwi na wayahudi na wanasema wakristo mnastahili kuuawa kwa mujibu wa torah lakini bado mko kama vijibwa kujipendekeza kwao
View: https://www.youtube.com/watch?v=G26KrGcuZHI&pp=ygUrUmFiYmkgc2F5cyBjaHJpc3RpYW5zIGRlc2VydmUgZGVhdGggcGVuYWx0eQ%3D%3D
Uliona wapi myahudi ameua mkristo kutokana kwa sababu za kiimani?!
Wakijibu utavumilia?Alishindwa kuzuia wasitekwe
Uvumilivu ninao😀Wakijibu utavumilia?
Umewahi kuanzisha uzi kuhusu Kongo?vipi kuhusu kongo
Vizuri sanaUvumilivu ninao😀
Kwahiyo October 7 yalikua siyo mauwaji Yale?.Alkazeze ni kiyahudi dogo sio kiarabu.
Afu we unadhani waislamu wauwaji kama nyie na mashoga zenu wayahudi.
Hamas kwa wasio na akili wanawaona watetezi kumbe NJ sehem ya dili la kuchukua ardhi ya wapalestina. Jiulize kulikua na sababu gani kuua Ile tarehe 7 October? Na leo ardhi zaidi ya Ekta 980 zishachukuliwaHamas ni wapumbavu,badala waachie mateka mambo yaishe, wanawatoa sadaka wapalestina wasio na hatia
Awezi kukujibuSasa si wampige huyo anayetegemewa na Israeli? Shida iko wapi hapo.
Kubwa jinga hilo😂🤣🤣🤣🤣🤣 unajua propaganda kama TAREK WAZIR WA HABARI WA IRAQ ENZI ZA SADAMM HUSSEIN
Aendelee kurusha Sasa kwanini kaachaMbona Netanyau na genge lake walikimbilia kujificha kwenye mashimo baada ya Iran kurusha makombora?