Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Mateka Waliotekwa na HAMAS waanza kuokolewa rasmi

Danguro unalijua wew hao wote tunaozeshwa na kwa halali kabisa na Mwenyezi Mungu wewe nenda kaimbe mbinguni ndicho ulicho ahidiwa
Kwa hiyo huku 4 mudi akachukua 9 wewe kakuruhusu 4 tu. mbinguni bikira 70. Hahahahaaa Malaya haachi hasili yake. Majitu yanaendelekeza ngono mpaka yanahisi mbinguni Kuna ngono pia.
 
Avatar yako ya mzungu hehehe yaani miafrika, na bado mtakoma tu.
Huyo ni Andrew Tate, ni mtu mmoja anayeongea sana na simuoni special au bora zaidi yangu sababu ni mzungu au katoka Jupiter bali namuona kama mimi tu tunayefuanana mitazamo ya maisha na ndio maana nimemuweka hapo.


Kinachonishangaza ni wewe kunitolea mfano na kushindwa kutofautisha kati ya mimi na wewe mpuuzi unayewasujudu hayo mayahudi sababu yalichaguliwa na some fairly tale figure according to an ancient book full of shenanigans The chosen ones my fukin fist.
 
Jambo.jema sana.
magaidi wanaua wapalestina na wamewateka waisrael na wamewatawanya sehemu mbali mbali kwa mafungu, hili tu linafanya zoezi kua gumu kijeshi na wanajeshi waliopo humu wataelewa nini nasema, ila wanajesh waisrael kwa kusaidiwa na Mungu wanajitahid kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja,,wanazuia wapalestina wasiendelee kuuawawa na magaidi(savi wamefika ellfu 37), na pia kurudisha mateka either wakiwa wamekufa ama.hai, ndio.mana hatushangai gaidi mmoja anakufa na watu 274..au gaidi mmoja anakufa kuokoa mateka 4.

Kazi iendelee!
 
Safi sana mbele kwa mbele, nilijua hakuna mateka aliye hai wameshaliwa wote, hehehe hii hasara kwa wafia dini brazaj
Hawawezi na wakijaribu kuwaua wote watabakia na nini cha kujilinda nacho..ni mabikira 72 watakua wanawasubiri tu.
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Neno mazungu inaonyesha wewe upo upande wa maarabu na wale waumini wa imani yao........ambao wanasema wayahudi hawana historia wala aridhi ya mababu zao
 
Goddammit! Who fukin cares? Unafikiri hayo mazungu ya kiyahudi yanajali kama Somalia au msumbiji kama watu wanakufa kila siku? Au unafikiri yatajali kama wewe ukitekwa? No they don't and won't give a shit about you?

Acha kulamba miguu ya watu wasiokutambua wala kukujali. Pathetic.
Lot of people care except arab,s and muslim bro...!!!
 
Wale Washabiki wa Magaidi wa Hamas watakuja kubisha.
Hivi inahitaji akili kubwa kweli kumjua nani gaidi na nani ni muhanga? Hao mateka wanaonekana wakiwa katika afya njema kabisa, hivi kweli katika mikono ya kigaidi mateka atatoka akiwa na nuru kiasi hicho?

Acheni kuwa na akili kisoda jamani! ... yani Hamas ni magaidi wa kulipua mabomu ovyo ili tu waue watu lakini wakiteka mateka wanawatunza kama yai! ... Ugaidi na utu/uungwana si vitu vinavyoenda pamoja!. Definition ya ugaidi ni kusababisha khofu na kuondoa amani ya watu kwa mauaji na mashambulizi kwa raia kwa malengo ya kushinikiza ajenda fulani. Hivi kweli mwenye sifa hizi atatunza mateka kama anavyotunza watu wake?

Hali ya hao mateka inatosha wazi kukujulisha nani gaini na nani sio. Baba yenu tu USA angalieni anachowafanya mahabusu wa Guantanamo!

No wonder kwanini waafrika tulikuwa rahisi kutawaliwa! na bado sana tutaendelea kutawaliwa!
 
Ukiangalia idadi ya mateka waliouwawa kutokana na mbinu mbovu ya uokozi wanayofanya ni kubwa kuliko namba ya mateka waliofanikiwa kuwaokoa.
Suluhu ni kukaa mezani na hamasi wabadilishane mateka na wafungwa wajenge nchi zao.
 
Ukiangalia idadi ya mateka waliouwawa kutokana na mbinu mbovu ya uokozi wanayofanya ni kubwa kuliko namba ya mateka waliofanikiwa kuwaokoa.
Suluhu ni kukaa mezani na hamasi wabadilishane mateka na wafungwa wajenge nchi zao.
Huwezi kukaa meza moja na gaidi ukapata suluhu.
 
Huwezi kukaa meza moja na gaidi ukapata suluhu.
Hebu tuelimishe ndugu, Gaidi ni nani? na sifa zake ni zipi?

Naomba maelezo yako yawe fasaha na yaweze kutubainishia ni vipi tutamjua gaidi wa kweli kutoka pande hizi mbili.

NB. Sifa za huo ugaidi tusizipate kutoka upande mwengine unaofanyiwa huo ugaidi.
 
Back
Top Bottom