Jambo.jema sana.
magaidi wanaua wapalestina na wamewateka waisrael na wamewatawanya sehemu mbali mbali kwa mafungu, hili tu linafanya zoezi kua gumu kijeshi na wanajeshi waliopo humu wataelewa nini nasema, ila wanajesh waisrael kwa kusaidiwa na Mungu wanajitahid kufanya kazi mbili kwa wakati mmoja,,wanazuia wapalestina wasiendelee kuuawawa na magaidi(savi wamefika ellfu 37), na pia kurudisha mateka either wakiwa wamekufa ama.hai, ndio.mana hatushangai gaidi mmoja anakufa na watu 274..au gaidi mmoja anakufa kuokoa mateka 4.
Kazi iendelee!