Mateso anayonipa jini mahaba

Mateso anayonipa jini mahaba

Sababu si-nimesha kueleza kuwa jini Anakuwa amekupenda Anataka umuoe unataka sababu ipi tena !?

Ukiona mtu ana fuatwa na jini mahaba sababu kuu huwa ni huyo Jini kutaka mahusiano na Mtu huyo Nasio kingine , Ndio maana anaitwa jini mahaba
Bado haujasema sababu kuna sababu kuu na sababu ndogo ndogo wewe unaeleza sababu ndogo nataka uelezee sababu kuu, unajua ni sawa na mto na vijito kila mto una vijito sasa wewe baada uelezee mto unaelezea kijito nataka sababu kuu, jambo lolote linapotokea halitokei hivi hivi sawa ametoka huko kwenye ulimwengu wa Siri (tuseme ni ulimwengu wa Giza) akaja kwenye ulimwengu huu tunaoishi (tuseme ni ulimwengu wa Nuru)

Sasa elezea sababu kuu inayomfanya atoke kwenye ulimwengu wake wa Siri (Gizani) aje kwenye ulimwengu huu na kumuingilia mtu kwenye ulimwengu huu wakati yeye ana ulimwengu wake, sababu kuu ni nini?

Acha kusema sijui amempenda au amekupenda anataka umuoe na maelezo ya kusema amekupenda anataka umuoe sababu kuu ni ipi amekupenda kivipi na kwa lipi ni ipi sababu kuu?

Wewe mfano mzuri ambae mkasa umekupata alipouliza sababu kuu ya huyo kiumbe kukupenda na kutaka umuoe uliezwa sababu kuu ni ipi?

Kwanini asiwapende viumbe wengine akupende wewe? Ni ipi sababu kuu ya kukupenda wewe na kutaka kuishi na wewe na wakati huo yeye huko kwenye ulimwengu wake ana viumbe km yeye kwanini asiwapende hao viumbe walio kwenye huo ulimwengu anapotoka?
 
Umeshindwa? Maana njia ya muongo ni fupi sana ukimuongezea njia hafiki popote lazima apotee

Soma

 
Soma ufungue maarifa ya ubongo

 
Umeshindwa? Maana njia ya muongo ni fupi sana ukimuongezea njia hafiki popote lazima apotee
Sipo hapa kwaajili ya kubishana na Mtu Ndiye nijuaye How I'm living my life , pia sipo hapa kwaajili ya kukufanya wewe uniamini cause uniamini au usiniamini there's nothing I can earn , So Tuchukulie kuwa ni uongo nilikuwa Nina danganya . Happy now !?
 
Soma ubongo wako ufunguke

Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
 
Sipo hapa kwaajili ya kubishana na Mtu Ndiye nijuaye How I'm living my life , pia sipo hapa kwaajili ya kukufanya wewe uniamini cause uniamini au usiniamini there's nothing I can earn , So Tuchukulie kuwa ni uongo nilikuwa Nina danganya . Happy now !?
Sasa ndugu kwanini hufunguki wewe umejifungia unaulizwa eleza sababu kuu unaeleza sababu ndogo, ntakupa mfano wewe ukimuona mwanamke kuna sababu kuu inayokufanya uvutiwe nae na pia kuna sababu ndogo ndogo zinazoelekea kwenye ile sababu kuu, sasa nimekuuliza eleza sababu kuu unanieleza sababu ndogo mengine unayaficha na ile sababu kuu hauielezei, hivi unafikiri sijui km unaficha maana kuna mawili ima unaficha au unasema uongo kwa hio huna njia ya kutokea
 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Sasa km unayaishi mboni hauelezi unachoulizwa au umeambiwa iwe Siri yako ni moja ya masharti uliyopewa na huyo Jinn na mganga wako?

Soma na hii

 
Hebu funguka usaidiwe,anakufanya nini huyo unayemuita ni jini mahaba
 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Soma na hii conspiracy theory ya dini unayoiishi

 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Tomaso nakuongezea maarifa soma na hii conspiracy theory ya dini unayoiishi

 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Soma

 
Mimi ninayaishi hayo maisha Acha ujinga wewe 😁😁

Unaniletea theory wakati Mimi nikitu ambacho Nina kiishi in physical, Wewe kweli Thomaso achana na hizo conspiracy
Soma

 
Mbona heading na description haviendan
 
Back
Top Bottom