Mateso ninayopitia hayabebeki wala kuzoeleka

Kitu ambacho si elewi we unataka ufanye ngono hadi lisaa kitu ambacho viumbe hai havijapewa huo uwezo.

Huko sawa wachana na video za ngono fanya kwa nafasi yako. Ukikojoa ndani ya sekunde mbili zinakutosha. Sema mnajitahidi wakati wa ngono mnapima hadi sekunde ulizotumia ahahahaha.
 
Pole sana mkuu.
Nakuelewa sana. Kuna tiba nitakupa bure kabisa.
Nunua asali ile ya nyuki wadogo ya lita moja, halafu nunua na vitunguu swaumu punje za kutosha kujaza mkono wako. Chukua na tangawizi punje kubwa tatu.
Changanya vitunguu swaumu na tangawizi kisha uziblend pamoja.
Baada ya hapo, changanya mchanganyiko huo na asali yako uliyonunua ya nyuki wadogo lita moja. Kwenye mchanganyiko huo pia ongezea unga wa mdalasini. Tikisa mchanganyiko huo hadi uchangamane vizuri.
Tumia mchanganyiko huo kwa kunywa vijiko viwili vya chakula mara tatu kwa siku (asubuhi, mchana, na jioni), kwa muda wa wiki tatu.
Utaona matokeo, na ulete mrejesho hapa.
 
Huna tatizo wewe! Utamu gani unaoutaka ss, kama hujawahi kuhisi huo utamu unauhakika gani kama upo? Wewe ni wewe, jikubali, jiamini na acha kusikiliza watu wengine.
 
Hahaaa wanakua na stop watch,anarecord mwanzo wa mchezo mpaka mwisho wa mchezo
 
Kama mashine inasimama usiwe na wasi wasi utakaa sawa tu kadri ya muda....! Usikimbie wanawake uwe unawapelekea moto hivyo hivyo tu
 
Iyo no 4 iyo. iyo no 4 . Matatizo mengi uanzia hapo na kukamia game sikufichi kuondoa iyo hofu sio rahisi inaitaji mwanamke anae kuelewa zaidi .afu achana na izo story za vijana wa kijiweni nyingi ni chumvi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usually sichangii mada kama hizi lakini ngoja nitoe hypothesis ambayo ni provable scientifically kwa asilimia kadhaa.

Kwenye maisha yako ulifanya kosa moja tu ambalo ni kutotumia au kuseize opportunity pale inapopatikana bila kupoteza muda.
Kipindi kile ambacho unaanza kukua na kuanza kuwa na hisia za kibinadamu ndicho kipindi hichohicho ulichotakiwa kuanza hizo shughuli.
Sababu pale ndio unakuwa unaanza hivyo unakuwa in your prime and get used to it.

Ulichokifanya ni kama kusubiri ufike miaka 70 kama biden alafu uanze kuingia gym kunyanyua vyuma na kujenga mwili alafu utegemee upate matokeo sawasawa na kijana mwenye miaka 18.

Mkuu hata kama kipindi hicho ulikuwa huna access na natural flowers, hukutakiwa kuacha kutumia hiyo opportunity kivyovyote vile sababu huo ndio ulikuwa muda sahihi wa kuanza kuzoea na kuona kitu cha kawaida kisicho na maajabu yoyote.
Achana na kwamba hujazoea wanawake, hili sio tatizo hapa.

Mimi siamini kama kuna mwanaume kamili ambaye hajawahi pita huko hata kwa mwaka badala kusubiria wet dreams zimsaidie.
Ubongo wako umezoea na kuwa wired kumaliza kazi mentally sababu hakuna namna yoyote ya kumaliza kazi physical, hivyo umekuwa wired namna hiyo.
Namba mbili ingeondoa kabisa hizo wet dreams na wala usingekuwa unatishika ukiona natural flower kwa mbali, well sababu ulishazoea kufanya kazi physical.

Naturally binadamu hatakiwi kuwa na nocturnal emission au wet dreams sababu lengo kuu la sex ni kufanya reproduction. bali wet dreams ni kama dharula tu ili kupunguza wingi wa sperms zisizo na kazi lakini biologically unatakiwa kuondoa sperms kwa kufanya sex physical sababu hiyo ndio njia pekee ya kufanya reproduction.

Nimeandika kwa fasihi lakini kosa ulilofanya ni namba mbili, hapo ndipo ulipokosea kama una mengine sawa lakini hapo panachangia pakubwa.
This is a psychological problem you should rewire your brain again.
 
Kwenye maisha yako ulifanya kosa moja tu ambalo ni kutotumia au kuseize opportunity pale inapopatikana bila kupoteza muda.
Kipindi kile ambacho unaanza kukua na kuanza kuwa na hisia za kibinadamu ndicho kipindi hichohicho ulichotakiwa
Nimekupata mkuu na nashukuru sana.
 
Kwenye maisha yako ulifanya kosa moja tu ambalo ni kutotumia au kuseize opportunity pale inapopatikana bila kupoteza muda.
Kipindi kile ambacho unaanza kukua na kuanza kuwa na hisia za kibinadamu ndicho kipindi hichohicho ulichotakiwa
Nimekupata mkuu na nashukuru sana.
 
Acha papara mzee,,, Bado unahitaji kuwazoea wanawake.... Waone kama ni kitu cha kawaida...
 
Salaam wakuu

Hii ni stori yangu ya kweli kuhusu jambo linalonitesa na kuniumiza kwa muda wa mrefu sasa. Nitaweka kila kitu wazi katika angle zote ili niweze kupata msaada. Tafadhali sana, naomba kwa yeyote atakayeweza kunipa mawazo ya kunisaidia
Pole sana ila nikurekebishe hapa sio kwamba haupati raha ya kufanya mapenzi maaa raha ya mapenzi kwa mwanaume ni kumwaga yaani ule utam ukiwa unaachia bao ndio burudani kwako kitu ambacho pia na wewe unakipata, mambo mengine ni mbwembwe tu yaani ni furaha physical yaani unafurahi ile unaona umemkunja mwanamke unaempenda.

Ile unaskia anagugumia na kutoa sauti za mahaba anavyojinyonga nyonga ndio furaha ambayo pengine unakosa Ila ule utam wenyewe kwa mwanaume unapatikana wakati unamwaga tu, pia pengine hauna tatzo lolote kibaya umeshajijengea kisaikolojia kuwa uko hivyo tangu day one kwa hiyo kila ukikutana na mwanamke unakuta ndani ya nafsi yako tayari unamajibu ya mchezo kwa hiyo unachofanya ni kwenda kukamilisha tu ratiba ambayo tayari ushaipanga kichwani.

Ushauri usitumie pesa yako kwenda kununua dawa za nguvu za kiume UTAPIGWA, NARUDIA TENA UTAPIGWA HAKUNA KITU KAMA HIYO, nakupa akili ya ziada utanikumbuka Siku ukipata mwanamke hakikisha unakunywa pombe, na sio unywe pombe hakikisha unalewa ili pombe ikusaidie kuondoa mawazo ambayo yamejijenga kichwani mwako ambayo hukuletea matokeo katika tendo hakikisha umelewa haswa alafu anza shoo, ukishinda niletee pesa yangu PM ambayo ungetumia kununua dawa za wapigaji.
 
Kwa maelezo yako yote mawazo yangu yanaelekea katika ulimwengu wa kiroho. Nahisi una mke wa kijini ambaye ndiye anayesababisha hiyo hali maana ndio huwafanya wanaume hivyo. Kumbuka ulishachukua hatua ya kwenda hospitali, pia kuuweka mwili fresh kimazoezi but you never took a spiritual step against the situation you're going through. It's your big n right time now buddy
 
Unapokuwa na mpenzi wako, jaribu kuhamisha mawazo, hii itakusaidia. Kwa mfano wakati unaingiza kitendea kazi chako, jaribu kuwaza kule kwenu mzee amepigwa na nondo kichwani, huku ukiendelea ku-pump. Fanya hivyo hivyo baadaye utazoea
 
Daaaah! Wanaume tunapitia mengi sana.

Mimi nishakataga tamaa kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…