Well said, tena ukimpa mimba mdada wa kiarabu au kihindi wanatoa mimba au katoto kakizaliwa wanakaua kakiwa na siku moja, So sad!.Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itawafikia tu wote, TAARIFA ZA UHAKIKA KWA MARA YA MWISHO UBALOZI WA TANZANIA KUFANYA KIKAO NA WATANZANIA OMAN ILIKUWA NI MWAKA JANA MWEZI WA 3, HADI LEO HAWANA MREJESHO WOWOTE WA KILICHOTOKEA KWA WATU WAO KWA MWAKA NA ZAIDI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...
Vijana Punguzeni chuki zenu, Mana hapa kuna watu wamevamia dini ya watu, waarabu, wazanzibari. Wakuu mbona mnakua na roho mbaya kiasi hiko. Huko SA watu wanauliwa mbona mumekaa kimya mnatoa tovu kwa mtu anaepigwa mikwaju?
Na pia siku ya pili mujue kutafautisha hao si waarabu hao ni wahindi. Inaonekanwa hilo tukio kama ni Pakistan. Na mara nyingi kesi za pakistan usikute jamaa aliekwa bondi wenziwe wameingia mitiini.
Pakistan hao ndio waislam pure. Basi pia Pakistan ni Islamic state
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.
Sent using Jamii Forums mobile app
WEWE HUMUWEZI MWARABU HATA USEME MPAKA UNYE MWARABU KATIKA ULIMWENGU YUPO TOP KWA KILA KITU BILA MAFUTA YA MWARABU WEWE USINGEPATA UGALI KWA MAMA LISHE NA KUPAYUKA HAPA WAMERIKANI WANATEGEMEA MAFUTA YA MWARABU KAA UKIJUA HUTAMUWEZA MWARABU ISHIA HUMU HUMU KUPAYUKA
Biashara ya utumwa na uislam vina uhusiano itakuwa. Kwasababu umejaribu kutetea lakini hao mawakala ni waarabu piaAcha uongo ...
Unafiki unakuzunguka mwilini pamoja na damu!
Mna shida sana ....mnaomwabudu mzungu...
Wazanzibar hawalazimishi uarabu ila itabaki kuwa hivyo wao ni dam mchanganyiko!
Naona umekurupuka tena hovyo hovyo ...kusema hili... uliza vizuri ..wengi wanaokwenda huko wametoka huko huko na wanaletwa hapa na wenzenu..watanga na watu wa singida jumlisha na wa mombasa ndio waliojaa huko.
Kumbe...Ndio maana mzungu aliwaita washenzi ...moja kati ya tabia za kishenzi ndio kama hii!
Mnyammwezi lake jembe...maana yake unaijua wewe?
Tipu tipu akiwafata huko huko...kuwapeleka kule kule utumwani!
Ulaya na Arabuni! mmesahau sio?
Huko wanaenda watwana ...
Hapo Dar kuna watu maalum wanafanya hiyo biashara ya binadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
suala la uelewa tu mkuu. Hizi kesi tumeshasikia mara kibao hawa watu kunyanyaswa huko Arabia na kama haitoshi kila siku nenda airport ndo utaelewa watu wanafurika huko kama nyugu na wengi wao ni hao Wazenji. Na nyongeza tu ni kuwa ukitaka ukosane na mzenji mtukane Mwarabu. Sasa watu kama hawa wanahitaji mental liberation. Ukweli ni kuwa wenzetu kule upande wa pili bado wanafikiri mwarabu ni mtu pekee anayeweza iendeleza Zenj na sio nguvu zao wenyewe.Yaliopo ndani ya moyo wa mtu hudhihirishwa mdomoni mwake, ila kwa vile hapa watu wanatumia maandishi nawe umewasilisha yaliopo moyoni mwako. Mkuu wanzanzibari ni Watanzania wenzetu au hata wasingekua Watanzania basi bado ni binaadam kama binaadam wengine, by the way walikufanya nini hadi ukawachukia kiasi hichi?
Hilo mjiulize nyinyi kwa nini hamuiachii???Wazanzibar Wana nini mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna ujinga kama huo. Wazanzibar wanakitu gani mpaka watanganyika wawapapatikie. Hakuna kitu kama hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya kiCCM achaga kusema Watanganyika wote yaani muungano unafaida Kwa CCM sio watanganyika. Ungejua wale viongozi wa CCM Zanzibar wanategemea muungano ili waendelee kubaki madarakani sio watanganyika. Dr Shein bila muungano angekuwa Rais wa Zanzibar.
Kuna mahali pameandikwa kuhusu Madawa ya kulevya hapa?
Ivi huwa siwaelewagi hawa waarabu na dini Yao ya Kiislam ivi inawafundisha nini. Wanasemaga Wazungu ni racists nikuhakikishie Jamani waarabu na Wahindi ndio wanaongoza Kwa racism. Ni rahisi mzungu kuoana na mwafrika lakini sio waarabu au Wahindi. Ivi dini zao huwa sizielewagi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said, tena ukimpa mimba mdada wa kiarabu au kihindi wanatoa mimba au katoto kakizaliwa wanakaua kakiwa na siku moja, So sad!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok nmekuelewa Ila yaweza kuwa hata ndugu zetu Wana viburi Sana. Umeenda kufanya kazi but unataka uamshwe asubuhi, ukumbushwe kufanya kazi na mambo kama hayo. Ishu za kubakwa ndio shida. Yote maishaMbona wameoana sana,Ukienda Oman,ni damu mchanganyiko,mpaka mawaziri wanatoka Tanzania,na kiswahili na lugha za makabila ya Tanzania,yanaongelewa huko,kama uko Tanzania.Hata kama hujafika huko Oman,nenda airport Dar,uone abiria wanaoshuka kwenye ndege,ni watanzania wa damu mchanganyiko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mengi ambayo hayajibu swali, I wish ningekuwa nasahihisha mtihani hapa.Tumia akili,
1:Wengi walioko Oman ni waswahili,ambao wewe ukiwaona huku unawaita waarabu(ni damu mchanganyiko)ambao wengi ni watanzania,ukifika Oman utafikiri uko Tanzania,wengi ni wa Tanzania,na lugha zote za makabila ya Tanzania zinazungumzwa,kiswahili ndio kabisa,utafikiri ndio lugha ya taifa.Hao waswahili,ndio wanaochukuwa wafanyakazi wa nyumbani kutoka Afrika mashariki,na hawachukui wafanyakazi wa nyumbani wanaume.Na ukisema ni mfanyakazi wa kazi za nje(wanaume) pia sio kweli,kwasababu wao wenyewe wana matatizo ya ajira,kazi zinatakiwa zifanywe na wenyeji wa nchi hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app