Watz wengi wanafosi kingi kwa kuondokea nchi jirani Malawi na KenyaKwa asili waarabu ni watesaji mno. Wana silka ya utesaji wanapopata nafasi. Wanaoenda huko ni vizuri wakawa na contacts na balozi zetu. Hata hivyo nakumbuka Rais Magufuli alishapiga marufuku kwenda kufanya kazi uarabuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said Mkuu.Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wasikimbilie hata ubalozini?Undeni hata magruop ya whatsap tu muwe mnajuliana hali. Mbona vibali vya hao watu hasa wafanyakazi wa kazi za ndani vimetoka serikalini?
Mnawajua wote ila hamtaki kuwapa msaada wowote.
Wengine wamenyang'anywa passport na waajiri wao ili wasiweze kutoroka n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika ya kusini ni mgongano wa maslahi (uchumi) ambao unaweza tatulika. Ni watu wenye njaa wanaoshambulia wageni wanaodhani wanakula vya wenyeji wenye njaa. Na lengo ni kuwatisha wageni waondoke africa ya kusini.Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi sana mkuuHivi bado kuna Watanzania wanaenda kufanya kazi huko!?!?
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha ujinga wako.Hao ni Wazanzibari acha wapate tabu huko. Akipona hapo utasikia hii ni thawabu kuteswa na Mwarabu. Hii mijamaa inamwona Mwarabu kama ni nusu Mungu. Naishia hapa japo yapo Mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mimi nashindwa kuelewa waarabu wamewalisha nini ukimsema vibaya mwarabu kuna watu roho zinawauma sanaNyie jamaa waarabu waliwalisha nn mbona mmekuwa kama mazezeta mkisikia neno Mwarabu. Kwa hyo Mwarabu akiwatesa tukae kimya eti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you sure huyu ni Mzanzibari? Ficha ujinga wako.Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh
God first
Mbona sijaona mahali waliposema hapo ni Saudia!?Huyu pia ni maalabu akili ku matakoni anaudhi kweli haya
Serikali kupitia balozi za Oman na Saudi Arabia, muwe na vikao vya mara kwa mara na Watanzania waishio huko, wengi wanateswa na kuuawa pasipo msaada wowote kutoka Balozi zetu.
Muwe mnafanya vikao angalau mara mbili kwa mwaka, ili mjue changamoto mbalimbali wanazopitia watu wenu.
Nina uhakika idadi na taarifa zao mnazo ila ni uvivu tu wa kuwafatilia na kujua wanaendeleaje.
Maeneo au machinjio ya waafrika wengi ni Saudi Arabia na Oman....Haya ni maeneo hatari sana sio kama Dubai au Qatar, tafadhali Balozi za Oman na Saudi Srabia saidieni Watanzania.
View attachment 1070124
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unatetea nini hapo mtizame pale......wewe sisi tunazungumza tatizo lililopo wazi wewe unajifanya wakili wa hao watu wa saudia na oman. Haya mbona upo Tanzania. Kwann usiende ili utuonyeshe huo uzuri wao tusioujua?!Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga sana hilo fala....yaani sisi tunatetea raia wenzetu, lenyewe linatetea hao mafala wa kiarabu......limeniboa sana hilo boya.Sasa wewn JUAN MANUEL, Unatetea nini hapo? Kwakuwa Wasouth wanaua hivyo waarabu waue zaidi? Hovyoo sana wewe.
Huyo kenge hata msihangaike nae anaonekana hana akili sawa sawa.You're so stupid,kuuawa kwa Waafrika huko SA ndiyo iwe justification ya Waafrika kuwa tortured, tormented, abused and humiliated like the way that short video clip portrays? Are you sane?
Njia sahihi nawe ufungue thread ya abuses za SA na kwingineko na zitachangiwa kama kawaida, two wrongs don't make any shit right.
Ha ha ha ha haNawaza sijui niifungue maana huwa na hulka ya ubaguzi naweza pata hasira nikatukana waarabu na vibaraka wao nikapigwa ban
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga hilo achana naloKwa hiyo wewe hutaki watu walalamike?au wewe ni Mwarabu na inaonekana wewe ndiyo miongoni mwa wanyanyasaji.
Tatizo ni yale mapichapicha wanayotazama kwenye TV wakidhani kule mambo ni kama peponi, ukiambiwa kenge hasikii hadi atoke damu masikioni ndo kama hiiTatizo taarifa tunapata na video clip za kutosha ila watu bado wanakuwa wabishi wanataka tu kwenda huko bora tubaki hapa na master wetu CCM kuliko kwenda kuwa na master mwarabu wale wanadharau sana hasa watu wasio wa nchi yao
mpuuzi mpuuzi tu