Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Mateso wanayopata Waafrika Uarabuni hasa nchi za Saudi Arabia na Oman

Si wazenji tu ndg ni kutoka pande zote za nchi hasa warangi soko lao kule ni kubwa kwa sababu wanatimba sana mzigo,kuna jamaa yangu ni wakala wa hiyo biashara kanithibitishia!
Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh

God first

East and west home is the best
 
Malizia usemi huu
Mkataa kwao ni ........

East and west home is the best
Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.
Huu unyama hauvumiliki kwa kweli, ila hio mijamaa nayo kama vile ni mifala tu hapo ipo miwili inashindwaje kumshikisha adabu huyo mvaa kanzu.

Maendeleo hayana chama
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo una justify hivi vitendo kwa sababu Blacks pia wanatofautianaga?

Una miss point hapo, bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa vizuri ndg yangu,
Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.
Huu unyama hauvumiliki kwa kweli, ila hio mijamaa nayo kama vile ni mifala tu hapo ipo miwili inashindwaje kumshikisha adabu huyo mvaa kanzu.

Maendeleo hayana chama
Nimekuelewa ndg yangu lkn tuwe tunaangalia na nchi gani tunaenda bro twende kote lkn si middle east hasa cc wenye elimu ya hapa na pale!

East and west home is the best
 
wakimtumia mange hii video itaenda viral balaa, lazima ubalozi wajitokeze kupinga dadeki!!!
Daaah kumbe Mange ana nguvu hv??? Juzijuzi tu bbc imemuandika kwenye makala ya maandamano yaloshindikana Tanzania.

Nadhan huyu mdada kwenye syllabus zijazo awekwe vitabuni aisee, japo instagram wamegoma kumpa verified tick
 
Nimekuelewa vizuri ndg yangu,Nimekuelewa ndg yangu lkn tuwe tunaangalia na nchi gani tunaenda bro twende kote lkn si middle east hasa cc wenye elimu ya hapa na pale!

East and west home is the best
Mkuu hata middle east kuna fursa nyingi tu, tatizo ni kuangukia kwa boss wa aina gani.

Kuna watu wametoka huku wako huko lakini ukiwaeleza kuhusu haya mambo wataona kama vile unawasingizia wavaa kanzu.

Ni sawa tu na mtu ambae yupo kijijini analetewa mjini kuja kufanya kazi, wengine huangukia kwa mabosi wapole na wakarimu hivyo maisha kwao yanakua poa, ila kuna wale wanaoangukia kwa mabosi ambao ni makatili kama wanyama hapo ndipo majuto huanza.
Yote kwa yote mabalozi wetu katika nchi nyingi wanazopelekwa hua hawaendi kufanya kazi walizotumwa zaidi wao ni kula bata tu.

Maendeleo hayana chama
 
Write your reply...Kuna watu hapa wanaingiza Uzanzibar ...siku ukijua huyo aliefanyiwa unyama huo ni mtanganyika mwenzako utakuja hapa kuomba msamaha ...sawa hatukatai tunawapapatikia waarabu ujue pia Watanganyika wanawapapatikia Wazanzibari na mnatuona kama waungu wenu ....kumbuka dunia hii ya Sasa sio kama ile ya Nyerere ukiyajua ya Wazanzibari nasi tunayajua ya Watanganyika ...Inapokuja mada uijadili kwa fikra huru kama una chuki zako peleka sehemu stahiki ...
 
Tatizo watu wakiambiwa huko si salama Sana wao wabishiii Sana wanaona wametusua, ubishi ndo unawasumbua, na dawa ya mjinga Ni kuumia tu

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Tena wanadai walaani hivi vitendo viovu sababu unachukia waislamu wenzao ...
 
Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale

Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.

Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii chungu sana kumeza[emoji123]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom