hehemnyalu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 703
- 691
Malizia usemi huuHalafu kuna kenge humu zinadai kua utumwa ulishakwisha.
Maendeleo hayana chama
Mkataa kwao ni ........
East and west home is the best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia usemi huuHalafu kuna kenge humu zinadai kua utumwa ulishakwisha.
Maendeleo hayana chama
Hao wa Zanzibar wanapenda kujikomba kwa hao magaidi wacha waipate fresh
God first
Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.Malizia usemi huu
Mkataa kwao ni ........
East and west home is the best
Jamaa aliwekwa bond na drug dealers jamaa wameuza mzigo pesa hawajalipa kwa mwarabu
Phsychological motivesNi kwann huwa wanapenda kufanya unyama huu uku wakijirecord? Wao wanaona hii ni sifa au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu miarabu inazurura tu huku,hakyanani ningesema kitu ila naogopa wasiojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo una justify hivi vitendo kwa sababu Blacks pia wanatofautianaga?Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa ndg yangu lkn tuwe tunaangalia na nchi gani tunaenda bro twende kote lkn si middle east hasa cc wenye elimu ya hapa na pale!Mkuu hakuna anaekataa kwao, harakati tu za kutafuta maisha ndio zinawafanya watu watoke sehemu moja kwenda kwingine.
Huu unyama hauvumiliki kwa kweli, ila hio mijamaa nayo kama vile ni mifala tu hapo ipo miwili inashindwaje kumshikisha adabu huyo mvaa kanzu.
Maendeleo hayana chama
Daaah kumbe Mange ana nguvu hv??? Juzijuzi tu bbc imemuandika kwenye makala ya maandamano yaloshindikana Tanzania.wakimtumia mange hii video itaenda viral balaa, lazima ubalozi wajitokeze kupinga dadeki!!!
Mkuu hata middle east kuna fursa nyingi tu, tatizo ni kuangukia kwa boss wa aina gani.Nimekuelewa vizuri ndg yangu,Nimekuelewa ndg yangu lkn tuwe tunaangalia na nchi gani tunaenda bro twende kote lkn si middle east hasa cc wenye elimu ya hapa na pale!
East and west home is the best
Tena wanadai walaani hivi vitendo viovu sababu unachukia waislamu wenzao ...Tatizo watu wakiambiwa huko si salama Sana wao wabishiii Sana wanaona wametusua, ubishi ndo unawasumbua, na dawa ya mjinga Ni kuumia tu
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Hii chungu sana kumeza[emoji123]Usiwaseme vibaya wa arabu, waafrika wanateswa hata hapo South Afrika tena wanateswa na kuuliwa na Waafrika weusi wenzao! Tuache unafiki, ubaguzi upo sehemu zote, ngozi nyeusi inateswa popote pale
Ila ikiteswa na ngozi nyeupe inakuwa nongwa kwelikweli. Waafrika wanaouliwa sasa HV huko Afrika kusini,kwa sababu wanaofanya mauaji hayo ni Waafrika weusi,sijasikia mwanasiasa yoyote mweusi wa SA, akipiga kelele, kwa sababu wanajua kinachopelekea hayo, hari ya mbaya ya kiuchumi ya wa Afrika kusini weusi,ni vita ya kugombea rasilimali ajira lakini mauaji hayo yangefanywa na weupe, kelele zingekuwa nyingi sana.
Black American akimuua Black american ni sawa,hutasikia kelele,lakini Black american akiuliwa na Mweupe,kelele na maandamano kibao,ukweli mchungu ni kwamba,Black Americans wanauliwa sana na wenzao weusi kuriko weupe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika hiyo clip ni waarabu hao?Bro tunanzie hili wa kufungana kwenye viti ndo hoja ya msingi kabisa!
Sisi tukianza kuwapiga hv waarabu si Dunia nzima itasema?
Halafu miarabu inazurura tu huku,hakyanani ningesema kitu ila naogopa wasiojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio waraabu hao ni wahindi, halafu ni masuala hayo hayo ya biasharaJamaa aliwekwa bond na drug dealers jamaa wameuza mzigo pesa hawajalipa kwa mwarabu
Mambo ya drugs hayo mkuu, wala hayahusiani na wafanyakazi wa Oman/Saudia, ni wahindi haoNi kwann huwa wanapenda kufanya unyama huu uku wakijirecord? Wao wanaona hii ni sifa au?
Sent using Jamii Forums mobile app