Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Chukulia, kura halali ni Milioni 5
Lisu - Milioni tatu
Magu - Milioni Mbili
###########
Halafu tume itangaze hivi,
###########
Magu - Milioni 4 Laki 9
Lisu - Laki moja

Matokeo yakishatangazwa hakuna pakupinga. We utafanyaje?
 

Pathetic!

You gotta be very open minded. Just because you voted for your variant of Mr. Savimbi, it doesn’t mean the majority of Tanzanians has! Can’t you tell even from this platform that not everybody agrees with you?

For the sake of argument, even if all followers of Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema) agree with you, your total headcount is nowhere close to the majority of Tanzanians. Obviously, there’s no reason to believe that your variant of Mr. Savimbi won this election.

Just call upon your colleagues to concede and move on. There’s life after election!
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Kutokupiga kura maana yake ni kukubali status quo. Wangekuwa hawataki utawala uliopo, wangepiga kura kuonyesha chaguo lao. Lissu hakufanikiwa kuwahamasisha watu kupiga kura dhidi ya Magufuli.
 
Chukulia, kura halali ni Milioni 5
Lisu - Milioni tatu
Magu - Milioni Mbili
###########
Halafu tume itangaze hivi,
###########
Magu - Milioni 4 Laki 9
Lisu - Laki moja

Matokeo yakishatangazwa hakuna pakupinga. We utafanyaje?
Ndoto
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe

Then chadema inabidi iwalalamikie hao 17mil ambao hawakujitokeza kuwapigia kura badala ya kusema wameibiwa bila uthibitisho.
 
Hiyo difference ya 10milioni kulikua na vituo zaidi ya 85,000+ hivyo kila kituo namaanisha kituo sio vile sub vituo vimepiga zaidi ya kura 117 au zaidi je unazan vimeshindwa, kwa mfano kawe mtu mmoja kakutwa na kura bandia 500
 
Lakini tofauti ya kura milioni kumi ni kubwa sana. Tundu Lissu hawezi kusema kwamba ameshindwa kwasababu ya udanganyifu. Hali halisi ni kwamba haku chaguliwa na watanzania walio wengi.
Anapata ground za kusema hivyo kwani kulikuwa na matukio ya kuingiza kura feki. Walioshiriki kutekeleza hayo tunaishi nao.
 
They need to tally in coming voters and later on match it to the actul votes counted.
 
Huenda Lissu alitaka ashinde hata kama angepata kura laki moja ilmradi ashinde. Hata wakirudia uchaguzi ukasimamiwa na umoja wa mataifa Lissu atashindwa japo kwa upande wa wabunge japo upinzani una hoja kuwa umeibiwa wazi wazi kama ilivyojitokeza kwenye baadhi ya majimbo yaliyokuwa na vigogo wa upinzani. Hili halina shaka wala mjadala. Lissu kwanza licha ya kutokuwa na hoja wala sera, hana mipango yoyote na taifa wala hajui hata alichokuwa akitafuta zaidi ya kiki baada ya kukaa hospitali kwa muda mrefu.
 
I think the disparity in votes counted between President Magufuli and Tundu Lissu is just too large. Tundu Lissu was just not elected by the majority of Tanzanians
What about the disparity between total Presidential Votes v/s Total Votes for Parliamentary Seats?
 
Kutokupiga kura maana yake ni kukubali status quo. Wangekuwa hawataki utawala uliopo, wangepiga kura kuonyesha chaguo lao. Lissu hakufanikiwa kuwahamasisha watu kupiga kura dhidi ya Magufuli.
Kutokupiga kura maana yake ni hata wakipiga zitaibwa tu.
 
Nendeni mahakamani? Hao mawakala wenu walikuwa wapi haya yote yakifanyika?
Mahakama ipi? Hujui kuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais haupingwi katika mahakama yoyote hata kama hajashinda kihalali?
 
Nadhani hayo maswali ungewauliza NEC.
Hivi serikali ilishawahi kukataa kuwa HAKUNA NOTI FEKI?
sasa kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?.
Kuwepo kura feki inawezekana ikawa ni Jambo la kawaida.
Ila KWANINI WANAKATAA WANASEMA HAKUNA KURA FEKI?.
wanamtetea NANI?hapa ndipo shida inapokuja.
 
Kura feki zilizokamatwa sio zote ZIMECHOMWA MOTO rekebisha kwanza hapo.
pili swali langu linabaki pale pale kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?wakati zinaonekanaaa .wanaficha nini?
NAOMBA JIBU.
 
Kweli mkuu watu wamepoteana mitaani.
Hamu ya SIASA imewatumbukia nyongo.
Hawawezi kushangilia udanganyifu..
ANGALIA kikwete alipoingia madarakani mwaka 2005 na aliporudi madarakani 2010.
Kama ulikuwa naamini uliona jinsi kulivvyo kuwa na amsha amsha.furaha,kila sehemu watu wanajadili ushindi wake ,
Ila Leo wapi umeona watu wanajadili ushindi wa magufuli?.
kimyaaaaaaaaaaaaa.
Yaani Kama hakukutokea uchaguzi.
MAGUFULI JITAFAKARI KUNA MAISHA BAADA YA KUMALIZA URAIS WAKO.
Hakuna hata sehemu moja. Nilienda eneo lenye wananchi wengi na ni maarufu. Ni kama msiba
 
So unataka Tumpe Urais Lissu??? Au shida yako Nini????????

Lissu hawez kushinda jaman msiforce mambo.."





.." [emoji854][emoji854]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…