Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

ingekamatwa hata kura feki MOJA TU.
basi uchaguzi ungekuwa BATILI PIA.
acha malori yaliyokamatwa na kura feki.
Suala hizo kura wataziingiza vipi kwenye hesabu wanajua wao.
Suala ni kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?
Wew jamaa umesoma logic, unaijua kanuni ya "if". It is either true or false, hesabu za mwaka wa kwanza chuo kikuu. Kuna mwalimu mmoja anaitwa Ruge, ukimwambia kuwa kura moja fake ilikamatwa alafu uchaguzi ulikuwa sawa atacheka sana. Yeye husema if you find one f then false.
 

That’s all you can offer; obviously, you can’t offer what you don’t have. May the Lord have mercy on you!
 
That’s all you can offer; obviously, you can’t offer what you don’t have. May the Lord have mercy on you!
Andika Kiswahili wewe manake kama nilivyokuambia hapo kabla hata ukitumia Kilatini bado haitabadilisha ukweli kwamba ulichoandika kinadhihirisha uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo!!!
 
Usichanganye lugha mkuu, ungeandika kwa kutumia lugha moja ungeeleweka tu.

Ninapokuwa na mengi ya kuandika ni rahisi zaidi kuandika kwa lugha ambayo simu yangu inaitambua!
 
Wakuu kama kuna watu walikuwa wasimamizi wa uchaguzi na mnawafahamu jaribuni kuwauliza walicho kifanya
 
Yani jinsi posti zinavyoandikwa unawezahisi watanzania ujinga wamezaliwa nao kumbe ni maisha too tough kila mtu anahisi unafiki utamlipa
 
Safi sana.
Hiki ndio kichwa kilichonyonya vyema maziwa ya mama
 
Andika Kiswahili wewe manake kama nilivyokuambia hapo kabla hata ukitumia Kilatini bado haitabadilisha ukweli kwamba ulichoandika kinadhihirisha uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo!!!

Ni Kanuni gani ya JF unayotumia kunipangia lugha ya kutumia?

Show us your prowess as an analyst!
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Acha. Udwanzi hesabu zenyewe hujui
 
Mkuu, kuna mahala huwa mnawakosea sana watz kudhani kuwa mawakala pekee ukiondoa wa ccm ni wa cdm. Yaani vyama vingine hawana mawakala. Kulikuwa na wagombea 17, sio wawili so hao nao hawakuweka mawakala au waliongwa?
Naomba mtufundishe vizuri jinsi ccm wanavyoiba kura.
 
Ni Kanuni gani ya JF unayotumia kunipangia lugha ya kutumia?

Show us your prowess as an analyst!
Ni ushamba kutumia Kiingereza ili kujaribu kuthibitisha kwamba upo vizuri kwavile tu raia wamekuchana kwamba ulichoandika ni upoyoyo!!
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
i) Tundu Lisu kapata kura ngapi?
ii) Waliokuwa maeneo tofauti na vituo walivyojiandikisha ni wangapi?
iii) Kura zilizoharibika ni ngapi?
iv)Wagombea wengine wa uraisi wamepata kura ngapi?
v) Waliokuwa kwenye maeneo waliojiandikisha lakini hawakupiga kura ni wangapi?
 
Punguza viingereza, hakuna kituo kilichozidi wapiga kura 500, tambua hilo kabla ya kuongea
 
Ulipiga kura? If yes, uliona mawakala 17?!

Mimi niliona watatu tu tena wapo hoi bin taabani huku wawili wakiwa busy na simu zao. Sikuona mtu serious mule ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…