Wew jamaa umesoma logic, unaijua kanuni ya "if". It is either true or false, hesabu za mwaka wa kwanza chuo kikuu. Kuna mwalimu mmoja anaitwa Ruge, ukimwambia kuwa kura moja fake ilikamatwa alafu uchaguzi ulikuwa sawa atacheka sana. Yeye husema if you find one f then false.ingekamatwa hata kura feki MOJA TU.
basi uchaguzi ungekuwa BATILI PIA.
acha malori yaliyokamatwa na kura feki.
Suala hizo kura wataziingiza vipi kwenye hesabu wanajua wao.
Suala ni kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?
ReportMsimamizi mmoja ananiambia kuwa kapiga kura zaidi ya mia mbili yeye pekee yake.
Narudia, una uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo!! Kwani ni nani aliyekudanganya kura zinaibiwa kwa option ya kutumia kura fake peke yake?!
Lakini kwa upande mwingine, hata ukitumia Kijerumani au Kigiriki bado haiwezi kufanya hoja zako ziwe na mashiko manake nimeona kila anayekuonesha kwamba ulichoandika ni upoyoyo baso lazima umpigie Kimalkia [emoji1787] [emoji38][emoji38]😀[emoji23][emoji23]!!!
Jimbo la magu walioandikishwa ni 158000, magufuli kashinda kwa kura 194000Mleta mada hajasoma hesabu ni politician, so kisiasa yuko sawa ila kihesabu atuache.
Eti mimi ndiye ninaona aibu, lakini mshua kasoma hesabu, kuna watu watapata adhabu.Jimbo la magu walioandikishwa ni 158000, magufuli kashinda kwa kura 194000
Hesabu gani hizo?
Andika Kiswahili wewe manake kama nilivyokuambia hapo kabla hata ukitumia Kilatini bado haitabadilisha ukweli kwamba ulichoandika kinadhihirisha uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo!!!That’s all you can offer; obviously, you can’t offer what you don’t have. May the Lord have mercy on you!
Usichanganye lugha mkuu, ungeandika kwa kutumia lugha moja ungeeleweka tu.
Matusi na majungu ni elimu kubwa waliyo nayo wajinga, hata humu!Enjoy the beauty of JF. Humu hata ambaye hakuenda shule ni msomi kuliko professor!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?
Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Wakuu kama kuna watu walikuwa wasimamizi wa uchaguzi na mnawafahamu jaribuni kuwauliza walicho kifanyaTo cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Safi sana.To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Andika Kiswahili wewe manake kama nilivyokuambia hapo kabla hata ukitumia Kilatini bado haitabadilisha ukweli kwamba ulichoandika kinadhihirisha uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo!!!
Acha. Udwanzi hesabu zenyewe hujuiWaliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Mkuu, kuna mahala huwa mnawakosea sana watz kudhani kuwa mawakala pekee ukiondoa wa ccm ni wa cdm. Yaani vyama vingine hawana mawakala. Kulikuwa na wagombea 17, sio wawili so hao nao hawakuweka mawakala au waliongwa?Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Ni ushamba kutumia Kiingereza ili kujaribu kuthibitisha kwamba upo vizuri kwavile tu raia wamekuchana kwamba ulichoandika ni upoyoyo!!Ni Kanuni gani ya JF unayotumia kunipangia lugha ya kutumia?
Show us your prowess as an analyst!
i) Tundu Lisu kapata kura ngapi?Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Punguza viingereza, hakuna kituo kilichozidi wapiga kura 500, tambua hilo kabla ya kuongeaThe only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?
Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Ulipiga kura? If yes, uliona mawakala 17?!Mkuu, kuna mahala huwa mnawakosea sana watz kudhani kuwa mawakala pekee ukiondoa wa ccm ni wa cdm. Yaani vyama vingine hawana mawakala. Kulikuwa na wagombea 17, sio wawili so hao nao hawakuweka mawakala au waliongwa?
Naomba mtufundishe vizuri jinsi ccm wanavyoiba kura.