born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,336
- 1,491
Uwezo wako Wa kufikiri ni mdogo mno...samahani lakini huo ndo ukweli.Ninachokiona, kura za vituoni hazijakwenda kujumlishwa NEC... Kura za vituoni na zile kule NEC ni tofauti...
Ushindi halali kabisa wa kimatokeo ni ule wa jimbo la Nkasi Kaskazini... Alikoangushwa yule babu mwenye kelele Kessy....
Lugha iliondoka na meli ya Malkia wa UingerezaDuh.
Halafu ukiwakosoa kidogo tu jamaa wanakuwaga mbogo kweli kweli.Lugha iliondoka na meli ya Malkia wa Uingereza
Si watumie kiswahili tuHalafu ukiwakosoa kidogo tu jamaa wanakuwaga mbogo kweli kweli.
Hakuna hata sehemu moja. Nilienda eneo lenye wananchi wengi na ni maarufu. Ni kama msibaAliyeona sehemu watu wanashangilia ushindi wa magufuli aniambie na Mimi nikashangilie.
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Kuhusu watu wazima waliyojiandikisha sioni unabisha nini. TZ katika kila watu wazima wawili kuna watoto wastani wa wanne. Do the math. Ama sivyo, consult National Statistics Bureau utapata hesabu kamili.Nakuhakikishia kuwa almost katika kila kituo, waliopiga kura hawakuzidi theluthi moja.
1. Pita sehemu walipobandika matokeo angalia idadi ya walioandikishwa na waliopiga kura. HIVYO basi waliopiga kura watakuwa ni theluthi moja tu ya milioni 29.
2. Maeneo ambayo mawakala wa chadema walitolewa wakati wa kuhesabu kura usitegemee kura za Lissu kubaki kama zilivyo.
3. Kilichofanyika vituoni ilikuwa ni kuhalalisha tu, kilichotakiwa kutoka kila kituo ni idadi tu ya wapiga kura na sio matokeo kwani matokeo (kwa asilimia) walishakuwanayo (rejea matokeo ya NEWALA MJINI na TARIME MJINI yaliyofanana kila kitu)
4. Ushahidi wa kura bandia upo. Na huu ilitokana na kusajili "hewa" kwenye daftari la mpiga kura hivyo kuwa na uhakika wa idadi ya ambao hawawezi kupiga kura. Kiuhalisia nchi yenye watu milioni 60 haiwezi kuwa na watu wazima milioni 29 (karibu nusu). Haiwezekani idadi ya watoto kuwa sawa na ya watu wazima. LAZIMA watoto wawe wengi.
5. Kuzima mitandao..............
Hivi vyama vingine vya upinzani havikuwa na mawakala? Kwa nini hao mawakala wengine wasiulizwe?Kwahiyo wewe hufahamu kua Kuna mawakala waliondolewa vituoni?
Tatizo la chadema wako kama laymen .issue ya figures na facts kwao hawana kabisa yaani wana argue kama watu hawajakanyaga hata la pili .Lissu anajiita ati msomi lakini arguments zake hazi amount anyting hajui kama Tanzania ina watu waelewa sana .duu mtu makini angetafuta facts za technical siyo arguments za kujaziwa kura na usalama jadi wanawaaibisha kule kwingine waliowatumaTo cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Ukiona unakuwa provoked by facts basi jua huna base za complain zaidi ya emotions...Tulia, kunywa maji halafu tafakari kama kweli madai haya ya wizi yana mashiko au hisia tu mbaya...
Your arguments do not hold. Just be open, give specific examples with proof (screen shot) where there were more votes for presidency compared to those who voted for parliamentarians.katika uchaguzi huu kuna vitu vingi ambavyo ww mtoa mada utakua hujavisoma nje ya pazia!
kwanza watu hao 14 milioni wanaosemekana kupiga kura si kweli ukiangalia watu waliojitokeza.
hilo linajibiwa na idadi ndogo ya kura za wabunge maeneo mengi ukizichanganya kura zote hazizidi 70 elfu lakini za urais nec inasema ni laki 2 (huu ni mfano), yaan kwamba watu 200% wampigie rais tuu?? wabunge wawakatae?
haijawahi kutokea hili. hii pia ni hesabu ya kujua wapi tumetoka. hapa unapata picha ya kura za kubumba ambako hakuendani na kubumba kwa kura za ubunge.
utauliza kwa nini wameongeza figa? jibu ni moja kwamba ingekua ni aibu kwa tume kuwa na wananchi wachache wanaojitokeza kwenye kura, na kilichorudisha sana nyuma ni uchaguz wa wenyeviti.
Hawataki. Wanataka eti angalau waonekane wasomi, duh.Si watumie kiswahili tu
Wewe pimbi mahakama ipi, wakati likatiba lenu lakifala limeweka kinga kuwa uchaguzi wa raisi haupingwi mahakamani? Safari hii utapingwa nje ya mahakama. LIWALO NA LIWE. Tumechoka ushenzi wenu.Nendeni mahakamani? Hao mawakala wenu walikuwa wapi haya yote yakifanyika?
Walikuwa na njaa wakakaribishwa ubwabwa wenye usingizi. Ghafla wamelala kazi ikaendeleaKuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
HahahaaaWewe pimbi mahakama ipi, wakati likatiba lenu lakifala limeweka kinga kuwa uchaguzi wa raisi haupingwi mahakamani? Safari hii utapingwa nje ya mahakama. LIWALO NA LIWE. Tumechoka ushenzi wenu.
Nina kubaliana na wewe. Ushindi wa asilimia 84 (kura milioni kumi na mbili na nusu) ni mkubwa sana kwa rais Magufuli, vile vile kura milioni mbili ni chache sana kwa Tundu Lissu. Hata kama tathmini ikifanyika sidhani kama Tundu Lissu anaweza akawa amechaguliwa na watanzania walio wengi. Kurudia uchaguzi sio haki kwa watanzania walio mchagua rais Magufuli.To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Hapana, hao watu milioni kumi na saba tayari walikuwa wame jiandikisha. Hawa kupiga kura kwa hiari yaoWaliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
I think the disparity in votes counted between President Magufuli and Tundu Lissu is just too large. Tundu Lissu was just not elected by the majority of TanzaniansThe only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?
Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniTo cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Lakini tofauti ya kura milioni kumi ni kubwa sana. Tundu Lissu hawezi kusema kwamba ameshindwa kwasababu ya udanganyifu. Hali halisi ni kwamba haku chaguliwa na watanzania walio wengi.Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane