Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

Mathematics inaweza kutufunulia kuhusu siri za ulimwengu kweli...??

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..?

Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!.

Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu tunavyoweza kuitumia ili itupatie majibu sahihi,Pia nimeweza kuona hata yule injinia wa maswala ya umeme alishawahi kusema namba 3,6 na 9 ni funguo za ulimwengu!!!! By Nikola Tesla. Kwanini Nikola alinena hili..?

Swali langu ni kivipi na je,imeshawahi kufanya hivyo kutufunulia siri za ulimwengu..?
Kama zipo naombeni na mifano!.

Katika fikra zangu chache niliweza kufikiri kuhusu hili ila niliona kama ndio inawezekana japo sina hakika ila chaajabu nilikuja kuona kama hesabu zetu still zipo very low!

Msiulize kwanini maana bado nina Loading..😅
Yani nachoona kama still Kuna kanuni fulani hivi hatuzijui na ndio maana hata hesabu zetu kama zipo very low!.. hii ikanifikisha hadi kwenye fikra za kujiona kuwa sisi ni high intelligent ila nikaona sisi ni kama punje tu ya intelligent iliyopo ulimwenguni!.

Nahisi bado tuna safari ndefu mno ya kuisemesha lugha hesabu hadi itupatie majibu!.

Nimechokoza mada karibuni mnielekeze kuhusu hili..
 
Naleta swali hili kwenu nyinyi wataalum wa hesabu. Je, Mathematics inaweza kutufunulia siri za ulimwengu..?

Nimekuwa nikisikia kuwa hesabu na matendo yake kama tutaweza kuzitumia vyema basi tunaweza kutambua siri kadhaa za ulimwengu!!.

Inamaanisha hesabu ni lugha ya ulimwengu so ni vile tu tunavyoweza kuitumia ili itupatie majibu sahihi,Pia nimeweza kuona hata yule injinia wa maswala ya umeme alishawahi kusema namba 3,6 na 9 ni funguo za ulimwengu!!!! By Nikola Tesla. Kwanini Nikola alinena hili..?

Swali langu ni kivipi na je,imeshawahi kufanya hivyo kutufunulia siri za ulimwengu..?
Kama zipo naombeni na mifano!.

Katika fikra zangu chache niliweza kufikiri kuhusu hili ila niliona kama ndio inawezekana japo sina hakika ila chaajabu nilikuja kuona kama hesabu zetu still zipo very low!

Msiulize kwanini maana bado nina Loading..😅
Yani nachoona kama still Kuna kanuni fulani hivi hatuzijui na ndio maana hata hesabu zetu kama zipo very low!.. hii ikanifikisha hadi kwenye fikra za kujiona kuwa sisi ni high intelligent ila nikaona sisi ni kama punje tu ya intelligent iliyopo ulimwenguni!.

Nahisi bado tuna safari ndefu mno ya kuisemesha lugha hesabu hadi itupatie majibu!.

Nimechokoza mada karibuni mnielekeze kuhusu hili..


Nadhani Kinachoweza kufungua siri za ulimwengu hasa ni sayansi ya asili (natural sciences) hususan matawi ya Fizikia na kemia, hesabu (hisabati) ni nyenzo tu inayosaidia hayo matawi mawili.
 
Nadhani Kinachoweza kufungua siri za ulimwengu hasa ni sayansi ya asili (natural sciences) hususan matawi ya Fizikia na kemia, hesabu (hisabati) ni nyenzo tu inayosaidia hayo matawi mawili.
So namba 3,6 na 9 sio funguo za ulimwengu Kama ilivyonenwa na Nikola..?
Kama nazidi kuchanganyikiwa tu..😂
 
So namba 3,6 na 9 sio funguo za ulimwengu Kama ilivyonenwa na Nikola..?
Kama nazidi kuchanganyikiwa tu..😂


Funguo ya ulimwenguni juu ya kitu gani??, nadhani concept yake kuhusu hizo namba bado ni ambiguous kwani mtu anaweza kuuliza kwa nini siri ya funguo hizo isiwe namba 0 au namba 8 au namba zinginezo??!!, hizo namba 3,6 na 9 kazipanga katika mfumo huu; 3×1, 3×2, na 3×3. Sasa kimahesabu namba tatu zinazofuatia baada ya 3×3=9 ni 3×4=12, 3×5=15 na 3×6=18, hivyo utaona sequence hadi kufikia 18 ipo hivi; 3,6,9,12,15,18 -----. au labda aliposema namba hizo ni ufunguo wa siri ya ulimwengu alikuwa na maana kwamba; 3 (30°), 6 (60°) na 9 (90°), katika angles ni angle zinazojitoleza katika trigonometry.
 
Haya mambo ya kiroho kuhusu dunia na ulimwengu yamebaki kuwa siri ya wachache. Ukisoma hisabati hii ya kikwetu kwetu bado utaishia kukariri yale tuliyoletewa na mabeberu lakini ni ngumu kufumbua au kung'amua siri zilizofichwa juu ya ulimwengu huu.

Hata huko dunia ya kwanza wapo watalamu wengi wa hisabati ila hawajui funguo za ulimwengu huu, wanaojua huenda hata wengi wao hawana maarifa mapana ya hisabati ila wamebahatika kupewa nyenzo na taaluma toka kwa wajuzi wa siri za ulimwengu.

N:B. Siri za ulimwengu hazifundishwi kwa wote darasani kama vile tufanyavyo hapa kwetu bali ni wateule wachache hufunzwa kwenye mafunzo ya siri mno. Hivyo ndivyo nionavyo mimi, pia nimesema haya kwa vile nimesoma hisabati mpaka Elimu ya juu lakini sikuwahi ona kozi inayotanabaisha moja kwa moja siri au jinsi ya kupata funguo za yale yaliyofichwa.
 
Majibu wanayo wale wahuni waliojenga Pyramids,
Wale wazee wa Mathematics Kali ya kukata miamba Kwa laser tools!

Walishaondoka na Siri zao waliona wakiwaachia binadamu wataiangamiza Dunia ndani muda mfupi Bora wabakie primitive waendelee kutumia mapanga na mishale kuuana!

Secret!
 
Nadhani Kinachoweza kufungua siri za ulimwengu hasa ni sayansi ya asili (natural sciences) hususan matawi ya Fizikia na kemia, hesabu (hisabati) ni nyenzo tu inayosaidia hayo matawi mawili.
Hesabu siyo nyenzo ni lugha ya science
 
Hesabu siyo nyenzo ni lugha ya science


Mimi nimesema Hisabati (Maths) ni nyenzo inayosaidia natural science na wala sijasema Hesabu (Arithmetics) . Hisabati (Mathematics) Inaposaidia natural science ndipo tunapata kujua kwa undani au kwa njia nyingine hizo science hivyo ni nyenzo.
 
Na mie naomba kuchangia hii mada ya hesabati ju ya ufunguo wa siri za ulimwengu,
Hii ipo hivi, kiuhalisia hisabati ndio kufuli ya siri za ulimwengu na sio hisabati pekee masomo yote tunayofundishwa skuli kisaikologia yana kuwa ni kufuli za kuifunga akili ya mwanadamu isotoke nje ya ufahamu unaojengwa na mafunzo hayo,
Hesabati sio zao la uhalisi au nature, hisabati ni man-made structure kama ilivyo mifumo ya masaa tarehe,siku,miezi na miaka, hii yote ni mifumo ya kutunga na sio natural, na sababu za kutunga mifumo yote hii ni kutia kufuli akili ya mwanadamu isitoke nje ya box,akili ya mwanadamu isiwe free kuwaza mambo yake yenyewe na iwe imefungika kwenye hii mifumo ya hesabati na tarehe,n.k

Tuutazame mfano huu wa kufuli ya hesabati¡.
inalazimisha namba zianzie 0 mpaka 9 hii maana yake akili haiwezi tena kutoka nje ya namba 9 na akili haiwezi tena kuvumbua namba mpya zaidi ya namba 9, na haiwezi kuja na maarifa zaidi yatokayo nje ya 0 to 9, yaani kwenye akili zetu mwangaza upo kuanzia 0 mpaka 9 tu baada ya hapo ni kiza kitupu na blockage

Twende kwenye Siri za ulimwengu hizo zinazotarajiwa kufumguliwa kwa hesabati 😸,
Siri za ulimwengu haziwezi kufunguliwa na elimu au mfumo wowote tunaoufahamu sisi binadamu, yaani kiuhalisia hizi elimu na mifumo inayotujenga sisi binadamu ipo kwa ajili ya kutuweka mbali na ufahamu wa mifumo halisi ya ulimwengu, na mifumo yote tuliyofunzwa ya ulimwengu sio ya ukweli yote ni uzushi. Na hii mifumo ya uzushi imejengwa kwa kukubaliana na hesabati na kwenye akili zetu chochote kinachokubaliana na hesabati ni kitu halisi.
Kuanzia dunia yenyewe ilivyo, upatikanaji wa seasons, kinachosababisha usiku na mchana, uhalisi wa jua,mwezi,nyota na sayari, upepo ni kitu gani na unasababishwa na nini, mvua inapatikanaje na mengi mengineyo haya yote yanatolewa maelezo yake katika elimu za kutunga za kutunga na sio katika uhalisi wake.
Sisi binadamu sote dunia nzima tunaishi maisha yote hapa duniani hatuwezi kujua kabisa dunia ni kitu gani kiuhalisia, tunaelimishwa kwa kuoneshwa picha za kuchora na video za animations tu, na hakuna hata picha moja ya dunia ambayo ni ya kweli,binadamu hatutakiwi kuijua dunia ni nini na pia hatutakiwi kujua siri halisi za ulimwengu, mambo tunayofunzwa ni mambo ya kutupumbaza tu na kuupoteza wakati wetu wa maisha bure, na kutufanya tusijielewe hata sisi wenyewe ni nani hasa

Nadhani ntarudi tena baadae kuendelea
 
Na mie naomba kuchangia hii mada ya hesabati ju ya ufunguo wa siri za ulimwengu,
Hii ipo hivi, kiuhalisia hisabati ndio kufuli ya siri za ulimwengu na sio hisabati pekee masomo yote tunayofundishwa skuli kisaikologia yana kuwa ni kufuli za kuifunga akili ya mwanadamu isotoke nje ya ufahamu unaojengwa na mafunzo hayo,
Hesabati sio zao la uhalisi au nature, hisabati ni man-made structure kama ilivyo mifumo ya masaa tarehe,siku,miezi na miaka, hii yote ni mifumo ya kutunga na sio natural, na sababu za kutunga mifumo yote hii ni kutia kufuli akili ya mwanadamu isitoke nje ya box,akili ya mwanadamu isiwe free kuwaza mambo yake yenyewe na iwe imefungika kwenye hii mifumo ya hesabati na tarehe,n.k

Tuutazame mfano huu wa kufuli ya hesabati¡.
inalazimisha namba zianzie 0 mpaka 9 hii maana yake akili haiwezi tena kutoka nje ya namba 9 na akili haiwezi tena kuvumbua namba mpya zaidi ya namba 9, na haiwezi kuja na maarifa zaidi yatokayo nje ya 0 to 9, yaani kwenye akili zetu mwangaza upo kuanzia 0 mpaka 9 tu baada ya hapo ni kiza kitupu na blockage

Twende kwenye Siri za ulimwengu hizo zinazotarajiwa kufumguliwa kwa hesabati 😸,
Siri za ulimwengu haziwezi kufunguliwa na elimu au mfumo wowote tunaoufahamu sisi binadamu, yaani kiuhalisia hizi elimu na mifumo inayotujenga sisi binadamu ipo kwa ajili ya kutuweka mbali na ufahamu wa mifumo halisi ya ulimwengu, na mifumo yote tuliyofunzwa ya ulimwengu sio ya ukweli yote ni uzushi. Na hii mifumo ya uzushi imejengwa kwa kukubaliana na hesabati na kwenye akili zetu chochote kinachokubaliana na hesabati ni kitu halisi.
Kuanzia dunia yenyewe ilivyo, upatikanaji wa seasons, kinachosababisha usiku na mchana, uhalisi wa jua,mwezi,nyota na sayari, upepo ni kitu gani na unasababishwa na nini, mvua inapatikanaje na mengi mengineyo haya yote yanatolewa maelezo yake katika elimu za kutunga za kutunga na sio katika uhalisi wake.
Sisi binadamu sote dunia nzima tunaishi maisha yote hapa duniani hatuwezi kujua kabisa dunia ni kitu gani kiuhalisia, tunaelimishwa kwa kuoneshwa picha za kuchora na video za animations tu, na hakuna hata picha moja ya dunia ambayo ni ya kweli,binadamu hatutakiwi kuijua dunia ni nini na pia hatutakiwi kujua siri halisi za ulimwengu, mambo tunayofunzwa ni mambo ya kutupumbaza tu na kuupoteza wakati wetu wa maisha bure, na kutufanya tusijielewe hata sisi wenyewe ni nani hasa

Nadhani ntarudi tena baadae kuendelea


Je, Wewe umesahau kuwa elimu zote zenye manufaa zimetoka kwa Allah.??!!
 
Funguo ya ulimwenguni juu ya kitu gani??, nadhani concept yake kuhusu hizo namba bado ni ambiguous kwani mtu anaweza kuuliza kwa nini siri ya funguo hizo isiwe namba 0 au namba 8 au namba zinginezo??!!, hizo namba 3,6 na 9 kazipanga katika mfumo huu; 3×1, 3×2, na 3×3. Sasa kimahesabu namba tatu zinazofuatia baada ya 3×3=9 ni 3×4=12, 3×5=15 na 3×6=18, hivyo utaona sequence hadi kufikia 18 ipo hivi; 3,6,9,12,15,18 -----. au labda aliposema namba hizo ni ufunguo wa siri ya ulimwengu alikuwa na maana kwamba; 3 (30°), 6 (60°) na 9 (90°), katika angles ni angle zinazojitoleza katika trigonometry.
Kwahiyo alikuwa na maana yake..? Okay sijui kiundani zaidi lakini turudi kwenye namba Kama namba achana na Nikola je kwa fikra zako mathe inaweza kutufungulia siri za ulimwengu..?
 
Haya mambo ya kiroho kuhusu dunia na ulimwengu yamebaki kuwa siri ya wachache. Ukisoma hisabati hii ya kikwetu kwetu bado utaishia kukariri yale tuliyoletewa na mabeberu lakini ni ngumu kufumbua au kung'amua siri zilizofichwa juu ya ulimwengu huu.

Hata huko dunia ya kwanza wapo watalamu wengi wa hisabati ila hawajui funguo za ulimwengu huu, wanaojua huenda hata wengi wao hawana maarifa mapana ya hisabati ila wamebahatika kupewa nyenzo na taaluma toka kwa wajuzi wa siri za ulimwengu.

N:B. Siri za ulimwengu hazifundishwi kwa wote darasani kama vile tufanyavyo hapa kwetu bali ni wateule wachache hufunzwa kwenye mafunzo ya siri mno. Hivyo ndivyo nionavyo mimi, pia nimesema haya kwa vile nimesoma hisabati mpaka Elimu ya juu lakini sikuwahi ona kozi inayotanabaisha moja kwa moja siri au jinsi ya kupata funguo za yale yaliyofichwa.
Ohoo! So kwa mujibu wako mathe haina majibu juu ya ulimwengu na haiwezi kutupatia au..?
 
Majibu wanayo wale wahuni waliojenga Pyramids,
Wale wazee wa Mathematics Kali ya kukata miamba Kwa laser tools!

Walishaondoka na Siri zao waliona wakiwaachia binadamu wataiangamiza Dunia ndani muda mfupi Bora wabakie primitive waendelee kutumia mapanga na mishale kuuana!

Secret!
Haha! Mkuu nithibitishie kuhusu madai yako
 
Na mie naomba kuchangia hii mada ya hesabati ju ya ufunguo wa siri za ulimwengu,
Hii ipo hivi, kiuhalisia hisabati ndio kufuli ya siri za ulimwengu na sio hisabati pekee masomo yote tunayofundishwa skuli kisaikologia yana kuwa ni kufuli za kuifunga akili ya mwanadamu isotoke nje ya ufahamu unaojengwa na mafunzo hayo,
Hesabati sio zao la uhalisi au nature, hisabati ni man-made structure kama ilivyo mifumo ya masaa tarehe,siku,miezi na miaka, hii yote ni mifumo ya kutunga na sio natural, na sababu za kutunga mifumo yote hii ni kutia kufuli akili ya mwanadamu isitoke nje ya box,akili ya mwanadamu isiwe free kuwaza mambo yake yenyewe na iwe imefungika kwenye hii mifumo ya hesabati na tarehe,n.k

Tuutazame mfano huu wa kufuli ya hesabati¡.
inalazimisha namba zianzie 0 mpaka 9 hii maana yake akili haiwezi tena kutoka nje ya namba 9 na akili haiwezi tena kuvumbua namba mpya zaidi ya namba 9, na haiwezi kuja na maarifa zaidi yatokayo nje ya 0 to 9, yaani kwenye akili zetu mwangaza upo kuanzia 0 mpaka 9 tu baada ya hapo ni kiza kitupu na blockage

Twende kwenye Siri za ulimwengu hizo zinazotarajiwa kufumguliwa kwa hesabati 😸,
Siri za ulimwengu haziwezi kufunguliwa na elimu au mfumo wowote tunaoufahamu sisi binadamu, yaani kiuhalisia hizi elimu na mifumo inayotujenga sisi binadamu ipo kwa ajili ya kutuweka mbali na ufahamu wa mifumo halisi ya ulimwengu, na mifumo yote tuliyofunzwa ya ulimwengu sio ya ukweli yote ni uzushi. Na hii mifumo ya uzushi imejengwa kwa kukubaliana na hesabati na kwenye akili zetu chochote kinachokubaliana na hesabati ni kitu halisi.
Kuanzia dunia yenyewe ilivyo, upatikanaji wa seasons, kinachosababisha usiku na mchana, uhalisi wa jua,mwezi,nyota na sayari, upepo ni kitu gani na unasababishwa na nini, mvua inapatikanaje na mengi mengineyo haya yote yanatolewa maelezo yake katika elimu za kutunga za kutunga na sio katika uhalisi wake.
Sisi binadamu sote dunia nzima tunaishi maisha yote hapa duniani hatuwezi kujua kabisa dunia ni kitu gani kiuhalisia, tunaelimishwa kwa kuoneshwa picha za kuchora na video za animations tu, na hakuna hata picha moja ya dunia ambayo ni ya kweli,binadamu hatutakiwi kuijua dunia ni nini na pia hatutakiwi kujua siri halisi za ulimwengu, mambo tunayofunzwa ni mambo ya kutupumbaza tu na kuupoteza wakati wetu wa maisha bure, na kutufanya tusijielewe hata sisi wenyewe ni nani hasa

Nadhani ntarudi tena baadae kuendelea
Aisee! Ukweli ni upi Sasa..?
 
Haha! Mkuu nithibitishie kuhusu madai yako
mkuu Ile mathematics iliyotumika kukata mawe Kwa kuyashape na zile Kona za Pyramids hupati shaka ya kwamba Ile sio kawaida
Pia Mathematics iliyotumika kuzijenga Parallel kuanzia Mesopotamia,Misri na Mexico,konakry,mstari Mmoja
Ile sio kawaida mkuu!
 
Back
Top Bottom