Matokeo As Vita vs Al Ahaly yaweje?

Moja kati ya vitu ambavyo siamini kabisa ni Simba kushinda moja kati ya mechi yoyote walizobakisha.

Wale Vita labda waje watafute droo na sio ushindi, wakitafuta ushindi hakika wanaupata Taifa.
 
Niwakumbushe tu kuwa Soura nao wanahitaji washinde ili kujiweka nafasi nzuri zaidi.
 
Niwakumbushe tu kuwa Soura nao wanahitaji washinde ili kujiweka nafasi nzuri zaidi.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Wana Nguvu moja wanalisahau hili Mkuu. Hawajui jamaa pia naye anahitaji matokeo
 
As vita kwanini asiweze kumfunga al ahaly? Kama Simba ameweza? Acha kuota Leo Simba anaweza kuwa namba 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…