Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Hapana mkuu, analala Chato... So yupo safariniPasco kapotea jumla.....keshakamata shori wa kisubi basi wanagonganisha glasi Robert hotel....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu, analala Chato... So yupo safariniPasco kapotea jumla.....keshakamata shori wa kisubi basi wanagonganisha glasi Robert hotel....
-bwa ha ha ha ha sasa hivi FMES anakuja......mzee malecela kama ni mtindo wa nywele basi ni afro.....kapitwa na wakati.....
Naona small towns za Tz kumekucha. Hongereni Chadema. Naanza kuamini kwamba mwisho wa enzi umekaribia.
Hapana mkuu, analala Chato... So yupo safarini
achana na huyo kaona misalaba kwenye avatar yako kimemkera.....
anyway
hivi mmegundua hata wana CCM wenyewe hawaipendi CCM?am sure masatu kafurahia ushindi wa CHADEMA
Alaaa! basi makosa yangu inabidi nianze kuamini uwezo wa Chadema kusimama pekee, kumbe CUF na NCCR-Mageuzi pia walisimamisha wagombea?..Mkandara,
Lakini hii ya Biharamulo naona ilikuwa tofauti kidogo maana hata hao wapinzani wengine hawajapata kura kabisa kwahiyo issue ya kugawana kura hapa haikuwepo. Na kumbuka vyama vyote vyenye majina i.e TLP na CUF walisimamisha wagombea.
Alaaa! basi makosa yangu inabidi nianze kuamini uwezo wa Chadema kusimama pekee, kumbe CUF na NCCR-Mageuzi pia walisimamisha wagombea?..
Heee, Imekuwaje hawana hata asilimia moja!
Alaaa! basi makosa yangu inabidi nianze kuamini uwezo wa Chadema kusimama pekee, kumbe CUF na NCCR-Mageuzi pia walisimamisha wagombea?..
Heee, Imekuwaje hawana hata asilimia moja!
FMES Aliaga kwamba anakwenda kupumzika!!! sijui kwa kazi gani...
malecela is no longer a factor. Ana malizia tu muda wake kwenye siasa but he has no where else to go in terms of power and influence. Mzee anatakiwa apumzike.
Ni aibu mkuu wangu. Chadema ilipata kama 50% na ushee na CCM 49% na ushee. Ni kama vile vyama vingine havikuwepo. Vimegamana chini ya 1%. TLP walikuwepo na hata mzee mzima CUF alikuwepo.
Mkuu CUF nadhani hawakusimamisha mgombea ila walimuungamkono wa TLP pamoja na NCCR ambapo kwa ujumla vyama hivyo ndo tuseme vimepata kura 184?
Ila hiyo 49% ya CCM lazima ni chini ya hapo, kumbuka hapa mtoa data alisha sema ameshuhudia watu wengi wasio jua kusoma na kuandika, ambao wamefika bila watu wao, na hivo kuwa wanatapeliwa kura zao.. kwahiyo hapo kuna kura kibao tu zitakuwa zimepotea kwa njia hiyo.
Lakini pia kuna milioni 60 ambayo pia tumeambiwa iligawiwa jana kama njugu kwa wajumbe wa nyumba kumi kumi..
Ila nilicho furahi, mtoa data kasema kweli kwamba wana B'mlo pesa watachukua, fulana watavaa kura wanajua wa kumpa!
natamani watanzania wote tungejifunza toka kwa ndugu zetu hawa, ili hawa wanao kuja na visenti wakati wa uchaguzi tuna vilamba lakini kura hatuwapi!