Matokeo chanya kwa Simba

Mikia mngeshinda huu mji leo ungekumbwa na tetemeko! Yaani nyie kila siku mnaonewa mechi inayokuja basi refa awe Haji Sunday.
 
Binti hivi wewe unalijua soka au udandandia kwa vile "IMESIMAMA" .......???
Chukua hii ujue maana ya kubebwa.
1.Inatakiwa mufunge magoli kisha uone yamekataliwa.
2.Unastahili penalti lakini refa anapeta.
Mkuu upo very shallow! Ina maana kubebwa haiwezi kuwa kinyume chake, kwamba mpinzani wako akapewa goli, akapewa penati, akaachiwa acheze offside, akaachiwa acheze rafu nk? Sio lazima kila mtu awe mchambuzi, ungenyamaza tu
 
Refa alipanga kumaliza mpira dakika ya 85, bahati mbaya akashtukizwa na goli la Kichuya, sasa sijui atamwambia nini YM, na hela ameshatumia!
 
Mkuu upo very shallow! Ina maana kubebwa haiwezi kuwa kinyume chake, kwamba mpinzani wako akapewa goli, akapewa penati, akaachiwa acheze offside, akaachiwa acheze rafu nk? Sio lazima kila mtu awe mchambuzi, ungenyamaza tu
Wakati huo huo anakuacha wewe ufunge,bila kulazimisha kuwa umezidi au kukupa kosa lolote litalokunyima goli.........Huku sio "kubebwa" kama anakubeba pia atahakikisha hufungwi.
 
Safari bado ndefu tokamae na ligi mechi zinazofuata..tukutane marudiano
 
Harafu kumbe refa Ni mdogo WA mzee Akilimali....TFF chenga Sana
 
leo nimechukia saana , waamuzi wameiua simba makusud
 
Mechi ilikuwa nzuri sana ispokuwa umakini mdogo wa maamuzi umepunguza sana radha ya Mechi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…