makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
Nisaidieni mdogo wangu ana matokeo gani hapa S.4578/0004
nisadie mkuu kunitumia hapa faithpoul07@gmail.comYeah iko hivo mkuu simple tu
Umesema uarabu sio ngozi na nywele.Bro umeniona, unanijua?acha kuzihaki watu usiowajua, tulisoma kuondoa ujinga wenzako
Kwahiyo hujiiti Mwarabu kwakuwa tu umezaliwa Agha khan yakhee..?Siwezi kujiita mi mwarabu wakati nimezaliwa agha khan ingawa baba yangu kwao ni Iran
Umeishiwa hoja, tupo town kitambo vyeti tumeweka kabatiniKwahiyo hujiiti Mwarabu kwakuwa tu umezaliwa Agha khan yakhee..?
Ikiwa una uraia wa Tanzania twakuita Mtanzania mwenye asili ya Asia. Sawa?
Hatuwezi kuacha kumwita Rostam Azizi mhindi hata kama angezaliwa manyoni.
Sawa sheikh?
Umeona uarabu ni nini?
Asante sana mkuu, hii inafunguka
Kiongozi nipo safarini, hebu nichekie huyu dogo S0189/0038 Feza Boys.Ndio ipo, naomba namba yako ya mtihani na jina la shule nakupa sasa hivi ni bure kabisa.
Kumbe u msomi ila waandika kama teja wa magomeni yakhee?One ya 14 kibaha narudia, sikusoma ili kuajiiriwa kulipwa eti tumilioni 2
Nani kakuuliza kuwa upo twn au bush?Umeishiwa hoja, tupo town kitambo vyeti tumeweka kabatini
Kama kuna mtu hajacheck Tokeo alete index no nimchekie bila gharama yeyote ile.
Duh, hiyo ya mwisho naona kama inareflect jina lake!!!!"""
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NmekupmNdio ipo, naomba namba yako ya mtihani na jina la shule nakupa sasa hivi ni bure kabisa.
Nimekupata, CCM ndio wadogo zako na watoto.Ficha upumbavu wako
tuna wadogo zetu na watoto
mkuu nichekieP1264/0006Kiongozi nipo safarini, hebu nichekie huyu dogo S0189/0038 Feza Boys.
mkuu nataka ya yespa 4272Ya shule nzima hayo mkuu
Ngoja nikuombee msaada mkuu.mkuu nichekieP1264/0006
mkuu nichekieP1264/0006Yeah iko hivo mkuu simple tu