Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

MATOKEO KIDATO CHA 4

Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.

- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.

Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu.

Shule za Dar zaongoza washika mkia matokeo ya kidato cha Nne.


Matokeo yote yapo hapa >> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
Haya matokeo ni vepe???
 
Kwani uarabu ni nini?, kama ngozi na nywele kama za kiarabu mbona mimi ninazo lakini sijui hata neno moja la kiarabu unataka utuaminishe uarabu ni ngozi na nywele na kila mwarabu ni tajiri, ila ni ukweli matajiri wengi ni waislamu kwa dini
Hilo swali napaswa nikuulize wewe na Faiza Foxy ambao huwa mnasema ninyi ni WAARABU lakini mna nywele ngumu na ngozi nyeusi

Kwangu mimi ukiwa na nywele nyeusi za kiafrika na ngozi nyeusi wewe si MWARABU ila ni MWAFRIKA.

Sasa leo tuambie wewe kama uarabu si ngozi, pua ndefu na nywele, je ni nini?

Go ahead..
 
Kwani uarabu ni nini?, kama ngozi na nywele kama za kiarabu mbona mimi ninazo lakini sijui hata neno moja la kiarabu unataka utuaminishe uarabu ni ngozi na nywele na kila mwarabu ni tajiri, ila ni ukweli matajiri wengi ni waislamu kwa dini
Swali la kwanza la kutaja hao waislam weusi, wabantu walio matajiri na waliowaajiri wakristo UMESHINDWA KABISA KUWATAJA.

Sasa tuambie wewe unakuaje Muarabu ilihali una ngozi nyeusi, pua pana ya kibantu na nywele nyeusi za kiafrika?
 
Haya ndo makeo ya sera ya makondo:
walimu wapande daladala bure, wanafunzi walipe nauli.


karibu bunda~nyasura
 
kufanya vibaya kwa dar naamini kuna changiwa na mambo makuu 2: miundo mbinu ni shida dar, watoto wanakaa muda mrefu barabarani. la pili udhibiti wa kuvuja mitihani. hili niwape sifa baraza la mitihani.
 
Back
Top Bottom