Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kama muda wao walikuwa wanautumia kubet mikeka watavuna walichopanda.kiroho kimedunda utadhani ni yangu....madogo ninao wengi walio maliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama muda wao walikuwa wanautumia kubet mikeka watavuna walichopanda.kiroho kimedunda utadhani ni yangu....madogo ninao wengi walio maliza
vp?Hata mimi nahangaika toka asubuhi siipati
Kwa hiyo unayaona wewe peke ako tu au wewe ni hakimuKama kuna mtu hajacheck Tokeo alete index no nimchekie bila gharama yeyote ile.
Tatizo ni kuwa hizi SHULE za private wanachuja mapema! Wadhaifu wote huondolewa kabla ya kufanya mitihani ys mwisho!Shule 10 bora hakuna shule ya serikali
Sasa ndio ujiulize wewe kwanini huyaoniKwa hiyo unayaona wewe peke ako tu au wewe ni hakimu
Unapata one unakuja kulipwa 1 miilion wenye 0 wanamiliki yadi hilo jibu tosha kwa munaojiita WASOMIJibu yale niliyokuuliza.
Feza siyo ya waislam, haina uhusiano na taasisi yoyote ya kiislam Tanzania! Ni ya mwekezaji wa uturuki, ni ya binafsi japo mmiliki wake ni mwislam!na feza ile nn..
Haya matokeo ni vepe???MATOKEO KIDATO CHA 4
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.
- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu.
Shule za Dar zaongoza washika mkia matokeo ya kidato cha Nne.
Matokeo yote yapo hapa >> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.htm
Nani Kasema SHULE ya kiislamu.....Feza siyo ya waislam, haina uhusiano na taasisi yoyote ya kiislam Tanzania! Ni ya mwekezaji wa uturuki, ni ya binafsi japo mmiliki wake ni mwislam!
Hilo swali napaswa nikuulize wewe na Faiza Foxy ambao huwa mnasema ninyi ni WAARABU lakini mna nywele ngumu na ngozi nyeusiKwani uarabu ni nini?, kama ngozi na nywele kama za kiarabu mbona mimi ninazo lakini sijui hata neno moja la kiarabu unataka utuaminishe uarabu ni ngozi na nywele na kila mwarabu ni tajiri, ila ni ukweli matajiri wengi ni waislamu kwa dini
Nimeshayaona mkuuSasa ndio ujiulize wewe kwanini huyaoni
Swali la kwanza la kutaja hao waislam weusi, wabantu walio matajiri na waliowaajiri wakristo UMESHINDWA KABISA KUWATAJA.Kwani uarabu ni nini?, kama ngozi na nywele kama za kiarabu mbona mimi ninazo lakini sijui hata neno moja la kiarabu unataka utuaminishe uarabu ni ngozi na nywele na kila mwarabu ni tajiri, ila ni ukweli matajiri wengi ni waislamu kwa dini
S 4272.0014Nimeshayaona mkuu
Atakuwa katoboa tu, humuamini??Mmmmhhhh kuna mdogo angu alikuwa anasoma Popatlal ya Tanga.! Mmmhhh sidhani kama katoboa hii ngwe[emoji47] [emoji22]