Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Umeona na Precious blood ya Arusha mkuu?kama chuo duuhh
hapo lazima ufaulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona na Precious blood ya Arusha mkuu?kama chuo duuhh
hapo lazima ufaulu
dio ya kweli kijanaYa kweli haya?
mbona hukusema nyengineILE YA KIISLAMU YA KILIMANJARO ILIYOINGIA TOP 10 FORM TWO MBONA SIIONI HAPO?
Umeona na Precious blood ya Arusha mkuu?
nahc kufunguka hapo hadi ucku aseee,,cha muhim n subiraa maana mda wowote link itafungukaaHata website ya necta ipo hio breaking news but link haifunguki
ihi link mbona haikubali
hii link jawa,haifunguki mkuu
Hilo swali linaweza kukuletea kesi ya uchocheziShule 10 bora hakuna shule ya serikali
Kaa jidanganye kazi kujisifu mumesoma tetemeko limewaumbua jengeni nyumba zenu kwa division one , ulishawahi kusikia bagamoyo kuna njaa, kwanza vijiji vingi tanzania ndio wanaishi masikini sasa waislamu wengi wanaishi kijijini, wafuate nini?Hapana sijui hilo, ninachojua ni kuwa watanzania wenye asili ya Asia ndio matajiri Tanzania.
Waislam weusi ni matajiri wa mboyoyo mingi mingi
Hata mimi nahangaika toka asubuhi siipatiHilo link haifunguki mkuu
wanapaswa kujiuliza upya.Elimu ni bure ama ni gharama?hizo kumi bora hapo juu hakuna hata moja ambayo ni bure.Kwa sasa suala la Elimu ya Msingi na ile ya Upili imekuwa ni jukumu la sekta binafsi
Sekta binafsi ndio inajenga mazingira bora ya elimu na watoto kufanya vizuri kuliko serikali.
Lakini "Social Contract" kati ya wananchi na serikali kila baada ya miaka mitano ya kuomba kura huwa ni malipo ya elimu bora,afya bora na huduma bora za maji na maisha.
Serikali imekuwa mdau mkubwa wa kutokufuata masharti haya ya "Social Contract" kati yake na wapiga kura.Kuwepo na ukosefu wa shule za serikali ktk kumi bora,ni moja ya uvunjwaji mkubwa wa "mkataba wa kijamii" kati ya serikali na wananchi.Na hapa Serikali inapswa kuadhibiwa.
Unawekaje kipimo sawa kati ya mwanafunzi anayesoma kwa kibatari na chemli kule Iselamagazi Tabora na yule anafanya study Tour Uturuki huku akiwa na mazingira bora ya kusoma?
Na hili kudhihirisha hivyo,kwa sasa huwezi kukuta viongozi wa serikali wakipeleka watoto wao ktk shule za serikali kwa maana na wao hawaamini ktk ubora wa elimu inayotolewa na shule za umma.
Ilboru,Tabora Boys,Mzumbe,Kibaha,Weruweru,Tabora Girls,Kilakala,Msalato na Korogwe Girls zimebaki magofu ya historia ya elimu bora ya Tanzania.Majengo ni toka ya mkoloni.Hakuna jitihada za kimkakati za kurudisha ubora.
Elimu imekuwa biashara badala ya Huduma.Na hao watunga sera wanaopaswa kuirudisha elimu ktk mstari mnyoofu ndio wafanyabishara wa elimu.Waziri anamiliki shule,mbunge anayeisimamia serikali naye anamiliki shule au kuwa na hisa ktk biashara ya elimu.
Katika nchi zilizoendelea,Elimu ya msingi na upili sio biashara,bali ni huduma.Ni huduma kwa sbb ni haki ya kimsingi ya kila mtu kupata elimu ya msingi na ya upili.Ndio maana nchi kama Sweden ni fahari kuwa sehemu ya shule ya serikali kuliko binafsi.
Mazingira ya kielimu ya mtoto aliyeko Kwa Msisi Handeni,ambapo zaidi ya kuwaza masomo,anawaza wapi atapata maji ya kuoga na kunywa si sawa na Marian Girls,ambapo mpaka pedi mtoto anaikutq kati vyoo vya shule,hawa hawawezi kuwa sawa kieleimu na kimtazamo.
Hii ni sawa na kuwaweka ulingoni Dula Mbabe anyecheza ngumi za amacha na Myweather
Its like feather weight boxer vs heavyweight boxer!!Kwa hili tujitathmini upya
mkuu nitumie jina la shule na index namba ya mwanafunzi husika ili nikupe majibu yako haraka.Hata mimi nahangaika toka asubuhi siipati
Hata mimi nahangaika toka asubuhi siipati
what wenti rongoSeminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani
Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
Halafu Dar wanaongoza kwa tuition! Utakuta watoto hawaendi SHULE wanaishia mchikichini na MWENGE kwenye vituo vya tuition!Watoto wa DSM wanashinda instagram kupiga umbea na udaku na kutukana mitusi
In haki yao kuburuza mkia