MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,093
- 7,229
Hongera kwa kuyapata mapema.Ilikuwa ya mdogo wangu na nimeshaona mkuu,asante sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kuyapata mapema.Ilikuwa ya mdogo wangu na nimeshaona mkuu,asante sana.
OkayUKINIFATA pm NAKUTUMIA UKITAKA JUKWAANI NAKUTUMIA....WHATSAP SITAKI KWAAJILI YA KWAMBA NIMESEMA SITAKI NAMBA ZA SIMU ZA WATU, KWANI MIE LENGO LANGU NI KUWASAIDIA WALE AMBAO HAWAJAPATA MATOKEO YAO WAYAPATE , NOTHING MORE.
Ustawi gan unauzungumzia ? Utakuwa hujafanya utafiti vizuri. Nchi hii shida haichagui.Ndio ni kweli, pia jamii yenye ustawi mzuri nchini Wakristo. Hivyo unaweza ona kipi muhimu.
PoapoaUKINIFATA pm NAKUTUMIA UKITAKA JUKWAANI NAKUTUMIA....WHATSAP SITAKI KWAAJILI YA KWAMBA NIMESEMA SITAKI NAMBA ZA SIMU ZA WATU, KWANI MIE LENGO LANGU NI KUWASAIDIA WALE AMBAO HAWAJAPATA MATOKEO YAO WAYAPATE , NOTHING MORE.
Si elimu bure mnararamika nnShule za serikali chalii,hii ni aibu kubwa sana.
Oi mwenye good access with intetnet aniangalizie S.3278/0041
Jielewe we kiazPorojo gani sasa unazotaka kwani we hujui kuwa waislamu ndio matajiri wa nchi hii?
Asante mkuu kwa msaada wako kwa ambao hawajaona matokeo mtumieni jina la shule na namba ya mtihani ya muhusika ili mkuu meinkempf awasaidie tafadhaliUKINIFATA pm NAKUTUMIA UKITAKA JUKWAANI NAKUTUMIA....WHATSAP SITAKI KWAAJILI YA KWAMBA NIMESEMA SITAKI NAMBA ZA SIMU ZA WATU, KWANI MIE LENGO LANGU NI KUWASAIDIA WALE AMBAO HAWAJAPATA MATOKEO YAO WAYAPATE , NOTHING MORE.
asante sana kwa mrejesho mkuu.Ngugu MeinKempf kanisadia kunitazamia yangu, muombe tafadhali
nashukuru sana mkuu. kwa pamoja tuijenge JF yetu.Asante mkuu kwa msaada wako kwa ambao hawajaona matokeo mtumieni jina la shule na namba ya mtihani ya muhusika ili mkuu meinkempf awasaidie tafadhali
Shule za serikali chalii,hii ni aibu kubwa sana.
Na mimi kanisaidia. Ni mtu mwema sanaAsante mkuu kwa msaada wako kwa ambao hawajaona matokeo mtumieni jina la shule na namba ya mtihani ya muhusika ili mkuu meinkempf awasaidie tafadhali
Nashukuru sana mkuu.... @mods wanaweza pandisha na uzi wangu juu ili wadau waon mapema na kutuma taarifa zao.Ambao hamjapata matokeo muombeni Mkuu Meinkepf awatazamie, kanisaidia. Ndani ya dk 1 tu kanitumia.
Asante sana... Nimeshapata..Ndio ipo, naomba namba yako ya mtihani na jina la shule nakupa sasa hivi ni bure kabisa.