Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

wakuu nisaidieni kuangalizia huyu mdogo wangu tafadhali s1922/0070 bujinga secondary school
 
mkuu nisaidieni kuangalizia huyu mdogo wangu tafadhali s1922/0070 bujinga secondary school
 
wakuu nisaidieni kuangalizia huyu mdogo wangu tafadhali s1922/0070 bujinga secondary school
S1922/0070

F

30

IV

CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' LIT ENG - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F
 
Seminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani

Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
nimesoma mm seminary nyegezi seminary mwanza kipind kile aseeee tulikuwa tunachujwa hata kwa somo moja wanakumanda kama sijui nn utafikiri umekula hela ya nauli... ..aseee ..ila siyo sasa maana ni pesa tyuuu pesaaaa pesaaaa pesaaaa helaaaaaaa helaaaaa thats y kipind kile tulibamiza sana aseeee ila siyoo sasa maana ni pesa tuu ndo inanunua sahii za wakuu..
 
Hizi shule za kata kufanya vibaya tatizo huwa ni nini hasa?
Wanafunzi?
Waalimu?
Mazingira ( miundombinu)?
 
shuleni kwao wamepata one wangapi?2 wangapi?3 wangapi?4 wangapi na zero wangapi?fanya kautafiti.

DIV-I = 48; DIV-II = 16; DIV-III = 7; DIV-IV = 1; DIV-0 = 0
 
mkuu nisaidie na Mimi
s0101/0250. Azania secondary school
S0101/0250

M

20

II

CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'C' COMP STUD - 'D' B/MATH - 'C'
 
mkuu nisaidieni kuangalizia huyu mdogo wangu tafadhali s1922/0070 bujinga secondary school
Hahaha hili jina la shule lime[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], kuna jina ukilisikia tu unakata tamaa
 
Point Mkuu ila najua wanayaelewa sana haya lkn wanayapuuzia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…