Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Nayacheki sasa hv kwa app ya n3cta
 

Attachments

  • 2017_01_31_16.39.44.png
    2017_01_31_16.39.44.png
    20.4 KB · Views: 171
shule za kikatoliki.....wapwan wanao soma ktk hizo shule ni wa kuhesabu. ungewekwa utaratiba wenyeji wapewe vipaumbele ktk hizo shule
Tatizo hawana vigezo,nadhan kabla hujajiunga na shule wana mitihani yao unapofauli basi unakuwa moja kwa moja umefuzu vigezo vyao
 
Ngoja waendelee kufatilia maisha ya zari na dimond kwanza wakimaliza watajua nini cha kufanya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wapo wanaojiita team Kiba na team diamond,sijui team Wema,Acha wavune walichopanda mkuu
 
Hivi hizi feza ndo zile za gaidi wa uturuki zilizochunguzwa na rais na kuzifuata hapo juzi na kwamba anazifunga?
 
Back
Top Bottom