matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Umetoa ushauri mkubwa sana kana kwamba nina visheni za ka kuwa mtu na nabii wa kimataifa. Wakati mimi ninatelekeza wajibu wangu katika ngazi ya uumini tu bila kujali nitawafikia watu billioni au mmoja.Sasa ulichokataa ni nini na unachokubali ni nini?
Hizi ni hisia na mawazo binafsi (personal opinion)A: Sperms hutumika sana kuvunja nguvu za kiroho baina ya Ke na Me kiuzinzi.
B: Kuaminiana/Uaminifu ni 0 baina ya Ke na Me waliozini kabla ya ndoa sababu ya kumbukumbu za jinsi walivyozini.kabla ya ndoa.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usijekusema sikusema.Mafundisho ya mitume na manabii fake
Sawa.Jamaa huwa anasimuliwa na yeye anakuja kutusimulia
Sawa.Hizi ni hisia na mawazo binafsi (personal opinion)
Katika imani huwa hakuna mtu wa kawaida.Umetoa ushauri mkubwa sana kana kwamba nina visheni za ka kuwa mtu na nabii wa kimataifa. Wakati mimi ninatelekeza wajibu wangu katika ngazi ya uumini tu bila kujali nitawafikia watu billioni au mmoja.
Ila nakushukuru kwa ushauri.
Acha kutisha watu we Kama hutaki ngono before marriage usifanye ..vitu wanavyofanya behind close doors, curtains and windows, so fatilia yako1: Ataendelea kuzini na wengine akipata nafasi.
2: Msingi wa ndoa utakuwa ni mashaka na kujishtukia. Msingi huo utaarika kurogwa na limbwata kwa mwenzi ili ajiongezee konfidensi.
3: Tendo la ndoa ndani ya ndoa huarika malaika wa baraka na utele. Tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa huarika majini ya majanga, majuto na uharibifu. Ndoa ya wazizi huunganishwa pamoja na majini yao.
Nini cha Kufanya.
Usioe mwanamke uliyezini naye. Usiolewe na mwanaume uliyezini naye.
Ni hayo tu.
Asante kwa mchangoAcha kutisha watu we Kama hutaki ngono before marriage usifanye ..vitu wanavyofanya behind close doors, curtains and windows, so fatilia yako
Milele AminaMambo ya MUNGU yamefunikwa na pazia zito...
Wengi hawayaelewi
Tumsifu YESU KRISTO
Nimuite kiranga au niacheKatika imani huwa hakuna mtu wa kawaida.
Kiimani huwa kila mtu anahesabika ni askari wa Bwana.
Rejea katika kitabu cha Waamuzi.
Mwanamke aitwaye Yaeli aliweza kumuua mfalme na mtesi wa Israel..(Sisera) kwa kumpigalia kigingi kichwani baada ya kumhifadhi nyumbani kwake.
Hivyo mama wa nyumbani aligeuka kuwa shujaa wa taifa kwa wakati ule.
Kuwa bora/kuwa na uelewa sahihi haidhuru kitu bali ni faida hata kwa huyo mmoja utakayemfikia na kumfundisha.
Narudia tena...boresha kiwango chako wala hakuna madhara wala hasara katika kufanya hivyo.
THIBITISHAHizi ni hisia na mawazo binafsi (personal opinion)
Hata wachungaji wanazini sana tu.Anayeweza kushinda hii dhambi ya uzinifu onyooshe mkono juu.
Mathayo 5:28
lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Utofautishe kwanza Kati ya UZINZI NA UASHERATI? Then andika upya1: Ataendelea kuzini na wengine akipata nafasi.
2: Msingi wa ndoa utakuwa ni mashaka na kujishtukia. Msingi huo utaarika kurogwa na limbwata kwa mwenzi ili ajiongezee konfidensi.
3: Tendo la ndoa ndani ya ndoa huarika malaika wa baraka na utele. Tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa huarika majini ya majanga, majuto na uharibifu. Ndoa ya wazizi huunganishwa pamoja na majini yao.
Nini cha Kufanya.
Usioe mwanamke uliyezini naye. Usiolewe na mwanaume uliyezini naye.
Ni hayo tu.
Tofauti yake ni Nini?Utofautishe kwanza Kati ya UZINZI NA UASHERATI? Then andika upya
sanaaaaHata wachungaji wanazini sana tu.
1: Ataendelea kuzini na wengine akipata nafasi.
2: Msingi wa ndoa utakuwa ni mashaka na kujishtukia. Msingi huo utaarika kurogwa na limbwata kwa mwenzi ili ajiongezee konfidensi.
3: Tendo la ndoa ndani ya ndoa huarika malaika wa baraka na utele. Tendo la ndoa nje ya ndoa au kabla ya ndoa huarika majini ya majanga, majuto na uharibifu. Ndoa ya wazizi huunganishwa pamoja na majini yao.
Nini cha Kufanya.
Usioe mwanamke uliyezini naye. Usiolewe na mwanaume uliyezini naye.
Ni hayo tu.