shimboni mene
JF-Expert Member
- Sep 11, 2022
- 264
- 290
Ngoja tuonae, Wasukuma washachukua, bado Wachaga na watani zangu WahayaWe jua haitatokea kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuonae, Wasukuma washachukua, bado Wachaga na watani zangu WahayaWe jua haitatokea kamwe
Punguza udini na dharau,dini hizi tuliletewa na Wazungu na Waarabu.Sema unatusumbua, hata wewe una dini yako unayoitetea
Kuhusu data tulitaka tuhesabiane kwa dini
Unajua nani walikataa wazo hilo?
Hata kama, ila si kila moja ana yake?Punguza udini na dharau,dini hizi tuliletewa na Wazungu na Waarabu.
Ilikuwa Mchaga hatapewa nchi, sasa amekuwa Mhaya!! Ubaguzi wa kikabila utatufikisha wapi!? Hao Wahaya na Wachaga wanakosa nini kuwa Viongozi wa nchi hii??! Ubaguzi na Ukabila ni sumu ya maendeleo.
Hata Wasukuma ilisemwa hawatapewa uraisi.Ilikuwa Mchaga hatapewa nchi, sasa amekuwa Mhaya!! Ubaguzi wa kikabila utatufikisha wapi!? Hao Wahaya na Wachaga wanakosa nini kuwa Viongozi wa nchi hii??! Ubaguzi na Ukabila ni sumu ya maendeleo.
Nani anakwambia nataka ufuate dini yangu? Mimi wajibu ni kutoa elimu(Yohane3:16;Mithali18:8-14)Hata kama, ila si kila moja ana yake?
Si kila moja anatetea yake?
Hata wewe unatetea yako, huko kutokuwa na dini ndio dini yako hiyo na unaitetea na unataka watu waje huko, hiyo pia ni zarau?
Hivi vizee vilivyoishiwa hoja vina tengeneza mahesabu hewaHizi kura zinasema jambo moja. Kuna watu wanapoteza relevance. Ni jambo la ajabu kuona akina Makamba wamegaragazwa vibaya sana na ‘no bodies’. Tafsiri yake wakichukua na hao wengine form za Urais hawatoboi top 5
Si akina Lukuvi waliogaragazwa?Hivi vizee vilivyoishiwa hoja vina tengeneza mahesabu hewa
Pumbas,Nani anakwambia nataka ufuate dini yangu? Mimi wajibu ni kutoa elimu(Yohane3:16;Mithali18:8-14)
Tuliumbwa tumjue Mungu,Tumpende,Tumtumikie na baadae tufike kwake Mbinguni.Pumbas,
Unakataa nini halafu unafanya nini
Mdomo siyo kichwa labda kama unaimbwa kwayaNa domo lake lile?