kuna masomo matano katika kila kozi isipokuwa sheria na education, katika masoma matano ukipata supp masomo manne yaani ukipata chini ya 50% wewe ni kwa heri ya kuonana au kama semister ya kwanza ukapata supp 2, na semister ya pili ukapata tena 2 jumla 4 pia unadisco. Hapo suala ni kupata supp 4 katika mwaka mmoja wa masomo. Sijajua kama utaratibu huu umebadilika lakini mpaka tuliomaliza mwaka jana ulikuwa unatumika.
ardhi inawezekana ..cjajua udsm but nao wana tathmini kwa mwaka not semesterKwa hiyo mkuu unataka kuniambia UDSM unaweza ukafeli masomo yote (kama ni 7; unafeli yote 7) na bado ukaendelea na semester ya pili? is it??
ebu naomba nifafanue hapa mzumbe university units zinafanana namaanisha kuwa kila somo lina units 2 so ukifeli masomo 4 kwenu ila vyuo vingne units za masomo ni tofauti somo moja linaweza kua na units 2 lingine1 lingine 3 kwa hiyo mfumo huu ili udisco lazima ufanye masomo yote ya semister mbili hlf watafute jumla ya units kama ukufikisha units fulani wanazozitaka ndio udisco ivyo huwezi kudisco kwa masomo ya semister moja
kuna masomo matano katika kila kozi isipokuwa sheria na education, katika masoma matano ukipata supp masomo manne yaani ukipata chini ya 50% wewe ni kwa heri ya kuonana au kama semister ya kwanza ukapata supp 2, na semister ya pili ukapata tena 2 jumla 4 pia unadisco. Hapo suala ni kupata supp 4 katika mwaka mmoja wa masomo. Sijajua kama utaratibu huu umebadilika lakini mpaka tuliomaliza mwaka jana ulikuwa unatumika.