Matokeo ya darasa la Saba kwa Mwaka 2024 yatoka, ufaulu wapanda kwa asilimia 0.29

Matokeo ya darasa la Saba kwa Mwaka 2024 yatoka, ufaulu wapanda kwa asilimia 0.29

ARMs14

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2014
Posts
316
Reaction score
233
Wakuu matokeo ya mtihani wa darasa la vii kwa mwaka 2024 yametoka.

Matokeo ya Darasa la saba yatangazwa leo Oktoba 29, 2024 yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Necta Dkt. Said Ally, ambapo watahiniwa 974,229 kati ya wanafunzi 1,230,774 waliosajiliwa kufanya mtihani wamefaulu kwa kupata madaraja A, B na C.

Aidha, imeeleza kuwa kwa mwaka huu wa masomo 2024, ufaulu wa jumla umepanda kwa asilimia 0.29 na kufikia asilimia 80.87 kutoka asilimia 80.58 mwaka 2023.

BONYEZA HAPA KUSOMA MATOKEO
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Wakuu matokeo ya mtihani wa darasa la vii kwa mwaka 2024 yametoka.
View attachment 3138047
Matokeo ya Darasa la saba yatangazwa leo Oktoba 29, 2024 yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Necta Dkt. Said Ally, ambapo watahiniwa 974,229 kati ya wanafunzi 1,230,774 waliosajiliwa kufanya mtihani wamefaulu kwa kupata madaraja A, B na C.

Aidha, imeeleza kuwa kwa mwaka huu wa masomo 2024, ufaulu wa jumla umepanda kwa asilimia 0.29 na kufikia asilimia 80.87 kutoka asilimia 80.58 mwaka 2023.

BONYEZA HAPA KUSOMA MATOKEO

Duuh yametoka fasta sana ,mimi nakumbuka enzio zetu yalikuwa yanatoka karibia na xmas.
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mkuu wewe unamsongo wa mawazo unakusumbua,kama wewe huoni umuhimu Kuna wengine wanaona,harafu Kila mtu ana matumizi yake ya pesa usimpangie mtu,hao wanao somesha huko hawajawahi kukuomba hata mia.

Acha kushughulika na maisha ya watu
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

EM wakifika form one wanakuwa na basics nyingi sana ,haumizi kichwa ila kayumba akifika form one ni mtihani kweli kweli.
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Huna Akili
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Huu ni mtizamo potofu, wengi hawapendi watoto wao wasome Kayumba, tatzo ni kipato.
 
Back
Top Bottom