Matokeo ya darasa la Saba kwa Mwaka 2024 yatoka, ufaulu wapanda kwa asilimia 0.29

Matokeo ya darasa la Saba kwa Mwaka 2024 yatoka, ufaulu wapanda kwa asilimia 0.29

EM wakifika form one wanakuwa na basics nyingi sana ,haumizi kichwa ila kayumba akifika form one ni mtihani kweli kweli.
Hii dhana ipo wakati huu sana, wengi wetu tumesoma Kayumba na hakukuwa na ugumu huu unazoungumzwa sana sasa.
 
Wakati wangu wanafunzi wl walipasua la saba na kwenda special schools, na wengine shule za kawaida na private, kwa Dar hapa shule kama Makongo, St. Anthony, Loyola, Shaban Robert, Mzizima, zilifanya vizuri na wanafunzi wengi tulitoka hizi Kayumba.
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hivi ni lini kweli
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hivi ni lini kweli shule ya msingi kuishia la 6?
 
Ndio maana nasema hakuna umuhimu wowote wa kujistress kulipa mamilioni kwenye shule za English Mediums.

HAYA sasa twende kazi. Toa watoto wako kwenye shule za EM wapeleke Kayumba haraka sana.

Thank me later.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Unamfokea nani we mzee wa hovyo?
 
Huo ndyo ukweli....

Watu wanapenda Elimu nzuri, Afya nzuri, huduma nzuri... Tatzo kipato
Nina kipato kinachovuka 2M kwa mwezi lakini kijana wangu yupo shule za serikali.

Huu ujinga wa kusomesha English medium sijaona faida yake maana unakuta mtu anajikakamua hadi kuingia madeni kusomesha English medium matokeo yake wanakuja kugombania ajira ya laki saba na aliyesoma bure.

Sio kweli kwamba kila ambaye anasomesha mtoto shule za serikali shida ni kipato bali ni namna mzazi anavyolitazama jambo husika kwa angle yake.
 
Huu ni mtizamo potofu, wengi hawapendi watoto wao wasome Kayumba, tatzo ni kipato.
Anajifariji huyo mzee. Tunaye mmoja mahali fulani kazi yake ni ulevi tu na hii ndio misemo na maneno yake.

Nina wasiwasi ni huyu. Anaona fahari kumpeleka mwanaye kwenye shule ina wanafunzi 1200 huku darasa analosoma dogo lina wanafunzi 100+. Yeye anapiga ulabu tu.
 
Huu ujinga wa kusomesha English medium sijaona faida yake maana unakuta mtu anajikakamua hadi kuingia madeni kusomesha English medium matokeo yake wanakuja kugombania ajira ya laki saba na aliyesoma bure.
Kwanza, Tatzo linaanza ukiamini kwamba watoto wanasoma ili wapate ajira....

Pili,Kwanini uingie madeni kulazimisha jambo ambalo huliwezi?

Shule za serikali tunaona namna zilivyo, hasa hapa mjini, watoto hawafiki shule wanazurura mitaani, walimu hawajali chochote. Watoto wanavuta bangi mchana kweupe...
 
Huo ndyo ukweli....

Watu wanapenda Elimu nzuri, Afya nzuri, huduma nzuri... Tatzo kipato
Hata ingetokea nina kipato cha 5M siwezi kumpeleka kwenye utapeli unaoitwa English medium.

English medium nyingi ambazo ni za kawaida ada zao hicheza laki 7 hadi milioni mbili kwa mwaka kitu ambacho hata mzazi mwenye kipato cha laki 4 kwa mwezi anamudu kumsomesha kwasababu shule zote sasahivi wanapokea ada kwa awamu hadi 4.

Kwahiyo suala la kipato napingana na wewe sema ni passion tu ya mzazi anavyolichukulia jambo husika.
 
Anajifariji huyo mzee. Tunaye mmoja mahali fulani kazi yake ni ulevi tu na hii ndio misemo na maneno yake.

Nina wasiwasi ni huyu. Anaona fahari kumpeleka mwanaye kwenye shule ina wanafunzi 1200 huku darasa analosoma dogo lina wanafunzi 100+. Yeye anapiga ulabu tu.
Anajifariji tu, Elimu nzuri lazima iwe na gharama.
 
Nina kipato kinachovuka 2M kwa mwezi lakini kijana wangu yupo shule za serikali.

Huu ujinga wa kusomesha English medium sijaona faida yake maana unakuta mtu anajikakamua hadi kuingia madeni kusomesha English medium matokeo yake wanakuja kugombania ajira ya laki saba na aliyesoma bure.

Sio kweli kwamba kila ambaye anasomesha mtoto shule za serikali shida ni kipato bali ni namna mzazi anavyolitazama jambo husika kwa angle yake.
Mkuu inategemea na shule. Shule yenye watoto 80 hadi 100+ na wastani wa watoto 20-30 kwa darasa moja hata mi nampeleka mwanangu ila shule yenye watoto 1200+ huko na darasa lina watoto 100+ bora nikope na niishi kwa madeni mtoto asome kwani hapo hataambulia kitu.
 
Hata ingetokea nina kipato cha 5M siwezi kumpeleka kwenye utapeli unaoitwa English medium.

English medium nyingi ambazo ni za kawaida ada zao hicheza laki 7 hadi milioni mbili kwa mwaka kitu ambacho hata mzazi mwenye kipato cha laki 4 kwa mwezi anamudu kumsomesha kwasababu shule zote sasahivi wanapokea ada kwa awamu hadi 4.

Kwahiyo suala la kipato napingana na wewe sema ni passion tu ya mzazi anavyolichukulia jambo husika.
Kipato ndyo tatizo, wengi wanajifariji kwa kuziponda English medium lakini ukweli ni kwamba Elimu bora ni gharama.
 
Back
Top Bottom