snap
Member
- Jan 4, 2016
- 65
- 65
"Maisha yenyewe mafupi" Sio ajabu kujibiwa hivyo kila Ukileta thread za kuonyesha madhara ya vitu mbalimbali vinavyoharibu na kudhoofisha miili yetu. Tumekuwa watu wakujifariji sana Lakini pale yakikutokea yakukutokea ndo utakapoona umuhimu wa maisha na afya kwa ujumla. Kwa kifupi matokeo ya hiyo kauli huwa ni mabaya sana. Ndo pale utakapoanza kuja na thread za kuomba msaada na njia za kujinasua.
Tubadilike afya ni utajiri mkubwa sana acha nature ifanye kazi yake.
Tubadilike afya ni utajiri mkubwa sana acha nature ifanye kazi yake.