MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

Mkuu naona unajaribu saana ku divert issue..hamna mtu anayelalamika majibu kutopatikana kwa wananchi..issue ni kwamba iweje wizara iwatumie voda peke yake?? na pili kwanini voda icharge watu wakati wizara ina budget maalum ya kutangazia wanafunzi kama wanavyofanya kwenye magazeti? Unachoshindwa kuelewa wewe ni nini ??

Bwana Kapinga mie nakuelewa sana na hakuna issue ninayodivert hapa ila najaribu kukuelewesha manake imekuwa ni kawaida sasa watu kuanza kulalamika na kulaumu hata kama hana uelewa wa jambo analolalamikia! Kwamba kwa nini wizara imewatumia Voda peke yao hilo mimi wala wewe hatuwezi kulisemea labda kama hayo makampuni mengine ya simu yakiongea au kupeleka malalamiko yao TCRA ndio tutajua ukweli isije kuwa kuna terms ambazo walishindwa kutimiza.

Kuhusu kuwa na bajeti ya kutangaza matokeo kwenye magazeti hilo sio kweli kabisa. Nina uhakika hakuna hata chombo kimoja cha habari kinacholipwa kwa ajili ya kutangaza matokeo. Ila huo ni ubunifu wao ili waongeze idadi ya wateja wa magazeti yao. Lete hoja nyingine tujadili!
 
Jaribu kufuatilia products za Seminary after kutoka huko ndo uje na conclusion yako. otherwise mchawi mchukie lakini haki yake umpatie. Hawa waalimu wao mara nyingi ni watu highly qualified na mazingira wanayosomea si rahisi sana mtu kufeli. Beside madarasa yao ni madogo na wanaochaguliwa kuingia ni watoto wenye uwezo mkubwa darasani....mi si msemaji wao though argument yangu ni based na expirience ndogo ya kuchangamana na wana Maua Seminary, naweza sahishwa.
 
nakubali, lkn kwan ini high view walishtuka, walipanga mkakati? huku seminary hakufanyiki mkakati kama huo?[/QUOTE]

Unaonaje kama ungetafuta kwanza ushahidi kutoka NECTA au popote pale kuthibitisha kuwa huko kwenye shule za seminari hakufanyiki mkakati kama uliofanyika High View. Vinginevyo tutakuwa tunajadili hisia zako tu.
 
Jaribu kufuatilia products za Seminary after kutoka huko ndo uje na conclusion yako. otherwise mchawi mchukie lakini haki yake umpatie. Hawa waalimu wao mara nyingi ni watu highly qualified na mazingira wanayosomea si rahisi sana mtu kufeli. Beside madarasa yao ni madogo na wanaochaguliwa kuingia ni watoto wenye uwezo mkubwa darasani....mi si msemaji wao though argument yangu ni based na rxperience ya kuwa
lkn mbona wanapokua vyuoni buwa bogas? huwa 0 na hushindwa waliopata div 3?
 
Kiwango cha kumpima mwanafunzi yoyote kama ameelewa kinachotumika dunia nzima siyo mapambanisho ya hoja. Ni Exams pekee.

Wee! vipi?.Exam ni kipimo cha uelewa na akili ya mtu.Aliyefaulu vizuri masomo yake matarajio ni kuwa huku mitaani afanye vizuri katika mambo mengine.Hata ukimpa wizara atakuwa mzuri kuchambua mambo yanayohusika na wizara yake.
Exam kupata C,B,A tu haina maana yoyote.

 
Wee! vipi?.Exam ni kipimo cha uelewa na akili ya mtu.Aliyefaulu vizuri masomo yake matarajio ni kuwa huku mitaani afanye vizuri katika mambo mengine.Hata ukimpa wizara atakuwa mzuri kuchambua mambo yanayohusika na wizara yake.
Exam kupata C,B,A tu haina maana yoyote.


Hizi ndizo akili zenu, hamsomi mkifikiria C = A, For ur information Kupata A kwenye Exams siyo sawa na kupata C. ninakushahuri kama una mtoto anasoma makazanie afahulu vizuri. Achana na madrasa
 
Hizi ndizo akili zenu, hamsomi mkifikiria C = A, For ur information Kupata A kwenye Exams siyo sawa na kupata C. ninakushahuri kama una mtoto anasoma makazanie afahulu vizuri. Achana na madrasa

Ha ha ha ha watasikia basi wakiisha kunja zile suruali zao
 
Muhogomchungu anasema kwa uchungu,hata hivyo ayasemayo yaweza kuwa na ukweli.
Naangalia tunapopambana kwa hoja na hawa wanaosoma seminary mara nyingi sisi wa madrasa huwa tunaibuka videdea.Hawa watu wa seminary huwa wanaishia kurusha mawe kwa kukimbilia polisi.

Mnapambana kwa hoja zipi? Wapi? na kwa malengo gani? Hivi kumbe siku hizi kuna mapambano katika shule za sekondari nje ya mitihani ya taifa?
 
Muhogomchungu anasema kwa uchungu,hata hivyo ayasemayo yaweza kuwa na ukweli.
Naangalia tunapopambana kwa hoja na hawa wanaosoma seminary mara nyingi sisi wa madrasa huwa tunaibuka videdea.Hawa watu wa seminary huwa wanaishia kurusha mawe kwa kukimbilia polisi.

mnapopambana nao kwa hoja juu ya nini? michezo? general knowledge? ubishi wa kidini? sayansi?
 
lkn mbona wanapokua vyuoni buwa bogas? huwa 0 na hushindwa waliopata div 3?

Sina hakika na unachokisema ila mm na evidence waalimu wangu chuo kikuu zaidi ya watano walikuwa wanaseminary na wote wanasifika kwa ifundishaji mzuri na kutumia lugha ya kufundishia kwa ufasaha...
 
Mnapambana kwa hoja zipi? Wapi? na kwa malengo gani? Hivi kumbe siku hizi kuna mapambano katika shule za sekondari nje ya mitihani ya taifa?
Si kule kwenye viwanja vya Biblia!.
Hata kwenye wizara pia inayoongozwa na watu wa seminary ni ufisadi mtupu!.

 
Tatizo lako Muhogomchungu hujafanya uchunguzi wa kutosha kuhusiana na hizi shule za seminari. Kwa taarifa yako kwanza tu mwanafunzi kusurvive mpaka form four ujue ana uwezo wa hali ya juu mno, manake kila mwaka kuna alama zinazomwezesha kuingia darasa linalofuata, asipozifikisha anaondoka. Kwa hiyo kuna chekecheo la hali ya juu. Kwa hiyo ukiona mwanafunzi amefanya mtihani wa form four ujue hawezi kufeli hata kidogo.
Hii ni tofauti na shule zingine ambazo mchele na pumba vinawekwa pamoja kwa hiyo lazima matokeo ya mwisho yawe mchele na pumba vilevile.
 
ok, lkn bada ya necta kuona wazenj hawa wamefaulu na kukaribia tu kama seminary, necta iliruka, ikashtuka, ikavalia njuga. jee na huku smeinary ndio hivyo

Shule za seminari ni nyingi sana, na siyo zote zinazofanya vizuri angalia link ya mfano wa seminari zinazofanya vibaya, sababu ya shule za seminari zinazofanya vizuri iko wazi kabisa. Wao wana mfumo wa kuwapima wanafunzi mara kwa mara, ndiyo maana kama ilivyo changiwa kabla, wanafunzi wanaonza kidato cha kwanza wanaweza wote wasimalize kutokana na kushindwa kukidhi vigezo vya shule kimojawapo ikiwa kushindwa majaribio (tests), shule nyingi za seminari zinazofanya vizuri zina wanafunzi wachache, hivyo uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi ni mdogo 1: <40, upatikanaji wa vitabu vya kiada na ziada, walimu wenye ujuzi na mazingira mazuri ya shule. Jambo hili NECTA inalijua. Ila ikitokea Songea seminari ikifanya vizuri mtihani wa 2011, naamini NECTA watakuwa na kila sababu ya kufuatilia sababu, kwani matokeo yako ya mwaka huu ni mabaya.
http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/p0882.htm
 
Tatizo lako Muhogomchungu hujafanya uchunguzi wa kutosha kuhusiana na hizi shule za seminari. Kwa taarifa yako kwanza tu mwanafunzi kusurvive mpaka form four ujue ana uwezo wa hali ya juu mno, manake kila mwaka kuna alama zinazomwezesha kuingia darasa linalofuata, asipozifikisha anaondoka. Kwa hiyo kuna chekecheo la hali ya juu. Kwa hiyo ukiona mwanafunzi amefanya mtihani wa form four ujue hawezi kufeli hata kidogo.
Hii ni tofauti na shule zingine ambazo mchele na pumba vinawekwa pamoja kwa hiyo lazima matokeo ya mwisho yawe mchele na pumba vilevile.
.
ok, lkn bado najuliza hawa ndio wanaopta f1 class vyuoni?
 
Hizi ndizo akili zenu, hamsomi mkifikiria C = A, For ur information Kupata A kwenye Exams siyo sawa na kupata C. ninakushahuri kama una mtoto anasoma makazanie afahulu vizuri. Achana na madrasa

Hapa hueleweki unakusudia kufafanua nini?.Au ndio nyinyi mliohitimu seminary?
 
Hapa hueleweki unakusudia kufafanua nini?.Au ndio nyinyi mliohitimu seminary?

Hauwezi kunielewa leo ijumaa unafikiria kwenda msikitini, nafikiri tu discuss J3
 
mwaka 2008, Shule moja inayoitwa High view sec school inayomikiwa na mmoja ya mfanya biashar mkubwa visiwani Zanzibar iliongoza Zanzibar kwa kufanya vizuri yaani ilitoa div 1 zaidi ya 15, div 2 za kumwaga kati ya watoto wsiozidi 50. hii ni mara ya kwanza kwa shule hiyo kutoa idadi kubwa wanafunzi. nadhani hata Baraza la Mitihani la Taifa Necta ilishtuka, iljihoji na ilitaka kujua haya ni matokeo ya Kweli?
Mwaka uliofuta NECTA ilituma ujumbe mzito katika shule hiyo, kwa maneno ya vijana iliwabana vijana sana vijana shule hiyo kwa kuweka Ulinzi mkali kwa usimamizi, ufanyaji wa mitihani, baadhi ya wajumbe kutoka NECTA Makao makuu Walishiriki kikamilifu kusimamia exam shuleni hapo. nasema walishiriki kusimamia, kuchunguza na kuzuia kila aina ya Ujanja, walifikia hata kuwasachi kabla ya exam. matokeo yake wanafunzi waliofanya Exam matukio yao sio mazuri.(naamini hata NECTA kwa hili hawatakanusha).
lKN sijui kama NECTA hufanya mkakati kama huu ktk shule ambazo huwa zinaongoza hasa za seminary? sijui kama wanshtuka kama walivyoshtuka High view? sijui hutumia mkakati kama walivyotumia huko Zenj?

LKN cha kujiuliza jee hawa ndio wanaopta first class Vyuo vikuu? au ndio bogas


Umezungumzia habari za Ushahidi, lakini katika Ushahidi wako ulichoweza kuthibisha ni kwamba High View walikuwa wanafanya Cheatings ili wafanane na Seminary kimatokeo
 
Binafsi namsifu sana Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani wa sasa, Dr Ndalichako. Amepunguza sana uvujaji na wizi wa mitihani. Kazi bado ngumu lakini mafanikio yameanza kuonekana kwa wanafunzi kupata matokeo halisi ya walichokifanya. Tulifika mahala wazazi wajinga kwa kushirikiana na baadhi ya wamiliki wa shule kuchangishana ili kununua mitihani hii kwa ajili watoto wao.
Tumuunge mkono Mama Ndalichako kwenye mapambano haya. Tulishafika kubaya kama tulivyo kwenye ufisadi sasa.
 
Back
Top Bottom