Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hilo ni la muda mrefu hata sasa watu bado hawaoni matunda ya elimu kumekua na kundi kubwa la unemployment elimu yetu haimwandai kijana kwa ajira binafsi
Matokeo yanafanana na mwenye jina.
Siyo suala la kufurahia bali linatupa mtihani mgumu wa kutafakari mustakabali wa taifa hili chini ya chama cha mapinduzi. Wakiongelea elimu mara nyingi sana watatutajia idadi ya shule na shule zenyewe ndizo hizi. Tena bora hii hata kuna division one, two na Three nyingine ni balaa.
Majengo bila vifaa vya kufundishia, walimu wenye ari na uwezo wa kutosha, Mitaala yenye kukidhi haja na mfumo rafiki wa kupata elimu hakuna tunachokifanya. Mbaya zaidi tunakimbilia kupewa waziri mwenye Phd wizara nyeti kama hii wakati hata wizara yenye mambo machache na kukimbizana na makandarasi ilimshinda. Tutafika kweli???????? wanyonge ndio tutakaoumia maana hawa ndio hufaulu na kuishia kwenye shule hizi na mwisho wa dreams zao zinaishia hapa. Shame on the government
nawasalimu wanamember wenzangu wadadavuaji wa mambo..yani cjui macho yangu yameona vibaya au ni vipi?ni hivi katika gazeti la jana la nipashe-28th january 2011 nimeona kama kuna picha la skuli ya makamba katika darasa mojawapo,je waungwana mazingira kama haya ni mazuri na yatachangia matokeo mazuri au mwenyejina yusuph makamba anaona fahari kwa hayo matokeo,na ningemwona mwenye busara kama hayo matokeo angetolea ufafanuzi kama anavyokuwa mwepesi wa kufafanua mambo huku akinukuu vifungu vya holy bible na holy quran...wanajf ninachoomba kwa mwenye gazeti la jana anipatie picha ya hlo darasa la makamba sec. School...nawasilisha mada
Matokeo yanafanana na mwenye jina.
Siyo suala la kufurahia bali linatupa mtihani mgumu wa kutafakari mustakabali wa taifa hili chini ya chama cha mapinduzi. Wakiongelea elimu mara nyingi sana watatutajia idadi ya shule na shule zenyewe ndizo hizi. Tena bora hii hata kuna division one, two na Three nyingine ni balaa.
Majengo bila vifaa vya kufundishia, walimu wenye ari na uwezo wa kutosha, Mitaala yenye kukidhi haja na mfumo rafiki wa kupata elimu hakuna tunachokifanya. Mbaya zaidi tunakimbilia kupewa waziri mwenye Phd wizara nyeti kama hii wakati hata wizara yenye mambo machache na kukimbizana na makandarasi ilimshinda. Tutafika kweli???????? wanyonge ndio tutakaoumia maana hawa ndio hufaulu na kuishia kwenye shule hizi na mwisho wa dreams zao zinaishia hapa. Shame on the government
Ni mabadiliko ya uongozi maana jeuri walio nayo wanafunzi inasababishwa na mkuu wa shule,aSANTE KWA RESEARCH YAKO!
Unashauri nini kifanyike sasa?
Matokeo yanafanana na mwenye jina.
Siyo suala la kufurahia bali linatupa mtihani mgumu wa kutafakari mustakabali wa taifa hili chini ya chama cha mapinduzi. Wakiongelea elimu mara nyingi sana watatutajia idadi ya shule na shule zenyewe ndizo hizi. Tena bora hii hata kuna division one, two na Three nyingine ni balaa.
Majengo bila vifaa vya kufundishia, walimu wenye ari na uwezo wa kutosha, Mitaala yenye kukidhi haja na mfumo rafiki wa kupata elimu hakuna tunachokifanya. Mbaya zaidi tunakimbilia kupewa waziri mwenye Phd wizara nyeti kama hii wakati hata wizara yenye mambo machache na kukimbizana na makandarasi ilimshinda. Tutafika kweli???????? wanyonge ndio tutakaoumia maana hawa ndio hufaulu na kuishia kwenye shule hizi na mwisho wa dreams zao zinaishia hapa. Shame on the government
Nadhani Ujumbe Umefika kwa Wahusika next time Tender nadhani tutaziona kwenye Magazeti! Mission Accoumplished.